Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

Nyie ndiyo wamoja? Mbona walokole wanalalamika hawamo kwenye tume ya katiba wakati kuna Maaskofu na Wachungaji wamejaa bungeni unaongea kama punguani vile.

Kuna Maskofu wengine mashoga mbona ujawakataza au ndiyo umoja wenu.

Uislam unatukataza kuwa wanafiki.

Mwenyezi Mungu alitupa akili ya kujua jema na baya. Yatupasa kutumia akili zetu kuwatambua kwa matunda yao.
 
Hujielewi bado!!!!!!
CCM hawafungi mtu pingu kumlazimisha aseme au kufanya watakayo!!!!
Tatizo ni kuweka mstari kati ya dunia na akhera na hii mbinu imetumika kuwa discourage wasomi kuingia harakati za dini so waliobaki huko kwenue dini wengi ni maaamuma wa kidunia kama huyu wanaburuzwa tu!!!!
Waliosoma sides zote ni wakati sasa kushika uongozi

We unaejielew umechukua hatua gani kuhakikisha hao maamuma hawaburuzwi? hao pamoja na ujinga wao ni ndugu zetu ktk uislam
 
We unaejielew umechukua hatua gani kuhakikisha hao maamuma hawaburuzwi? hao pamoja na ujinga wao ni ndugu zetu ktk uislam
Moja ni kuchukua muda na kufikiri kuwa chanzo cha hizi shida ni kukosa uelewa mzuri wa dunia inavyoenda kwa baadhi kama sio wote viongozi????!!!!(Nakubali kurekebishwa kwa hoja)

Mbili ni kuwaambia ukweli kila ninapokutana nao kuwa kujua sana Qur'an sio kigezo pekee cha mtu kuwa kiongozi wa taasisi ya dini

Tatu ni kuacha kulalamikia mfumo kristo na badala yake tutambue priorities,resources needed,possible challenges na kupanga utekelezaji wa maamuzi
 
Sheikh mkuu wa mkoa wa dar es salaam amesema maneno ya mh lukuvi kutasfiriwa vibaya.ameonya waislamu kuwa waungwana na wasimwelewe vibaya lukuvi sbb hakuwa na nia mbaya,ni watu wachache au kikundi cha watu wenye nia ovu kutumia maneno ya lukuvi kisiasa na kiimani alisema sheikh.hi ni kwa mujibu wa magezeti asubuhi rfa

Nafikiri huyu Sheigh hajajua Lukuvi aliongea kama nani. Kwa Taarifa yake tu Lukuvi ni waziri katika Ofisi ya Waziri mkuu anayeshughulikia Sera. Kanisani alitoa kauli ya Serikali maana alikuwa anamwakilisha waziri mkuu. Na pale bungeni aliongea kama mjumbe wa bunge maalum. Yeye Lukuvi anataka tuamini alichokisema tena kwa kutoa kauli mara mbili, Knisani na Bungeni, Shehe anasema katafrisiwa vibaya! Atuambie maana!
 
Ni kuwaambia ukweli kila ninapokutana nao kuwa kujua sana Qur'an sio kigezo pekee cha mtu kiwa kiongozi wa taasisi ya dini

Utakutana na wangapi na kuwaambia ukweli? Hivi haya matamko ambayo hayajali maslahi ya uislam yameanza lini? mashekhe wangapi wamepita kabla ya huyu wa sasa na waliweka maslahi ya uislam nyuma? je tatizo ni mashekhe na ujinga wao au tatizo ni nguvu ya ushawishi inayotokana na mfumo flani?
 
Utakutana na wangapi na kuwaambia ukweli? Hivi haya matamko ambayo hayajali maslahi ya uislam yameanza lini? mashekhe wangapi wamepita kabla ya huyu wa sasa na waliweka maslahi ya uislam nyuma? je tatizo ni mashekhe na ujinga wao au tatizo ni nguvu ya ushawishi inayotokana na mfumo flani?

Cheche moja huchoma msitu!!!!!

Wewe kama unakubali kuna shida nawe strategize on eradication! !!!!
Unaona kama leo yeye mjuaji wa dunia kaleta hili hadharani sasa kama wote tunalalama.mwisho unakuwa nini??!!!
Lakini kama wewe una jinsi na wengine wakichangia mawazo then tunaanza kuondoa kadhia hii taratibu!!!!!

Haijalishi umetembea umbali gani ila kufuata njia sahihi ndio kutakufikisha uendako!!!
Yaliyopita yamepita na tumejifunza sana sasa ni kupanga mabadiliko kabla historia haijatujumuisha
 
Cheche moja huchoma msitu!!!!!

Wewe kama unakubali kuna shida nawe strategize on eradication! !!!!
Unaona kama leo yeye mjuaji wa dunia kaleta hili hadharani sasa kama wote tunalalama.mwisho unakuwa nini??!!!
Lakini kama wewe una jinsi na wengine wakichangia mawazo then tunaanza kuondoa kadhia hii taratibu!!!!!

Haijalishi umetembea umbali gani ila kufuata njia sahihi ndio kutakufikisha uendako!!!
Yaliyopita yamepita na tumejifunza sana sasa ni kupanga mabadiliko kabla historia haijatujumuisha

Thanks mkuu, inasikitisha kuona mtu anaweka maslahi yake mbele kuliko kutetea Uislam.
 
Kwa Matendo Ya Bakwata, Ndio Chanzo Kikubwa Cha Mizozo Na Misuguano Na Taasisi Nyingine!! Haiko Pale Ilipo Kwa Maslahi Ya Waumini Wa Kiislam Wa Tanzania!! Hivi Mtu Kama Huyo, Aitwae Sheikh! Tenaa Wa Mkoa Wa Dsm!! Kutoa Matamshi Yenye Ukakasi Kwa Kiasi Kikubwa!! Sijui Na Sina Hakika Na Hilo Daraja Lake Kitaaluma!! Lkn Pia Bakwata, Hivi Mbona Lipokuja Suala Au Masuala Yahusuyo Waislam Na Imani Yao, Mbona Hamuonekani Kutoa Makatazo, Kuulani, Kutetea, Kuongoza, Kutatua N.k. Mwakaa Kimyaaaa!! Waislam Wangapi Wamepata Madhira Kwa Kudai Haki Za Imani Yao Ya Kuabudu Na Zile Za Kikatiba?? Mbona Hiyo Nguvu Hatuioni!! Na Ikitokea Mmejitokeza, Basi Mtakuwa Upande Wa Serikali!! Au Mtatoa Tamko La Kulaani Kiunafiki Tu! Baada Ya Muda Mnakuwa Kimyaaa, Kama Hakuna Issue Yoyote Iliyopita!! Mnauza Mali Za Waislam, Waumini Wakihoji Mwawabambika Makesi Na Kushinikiza Wasipewe Hata Dhamana Mahakamani (Mf.Sheikh Ponda) Kama Mko Kwa Maslahi Ya Waislam, Hebu Leo Mtueleze Kosa Lake, Ambalo Haliwezekani Hata Kupewa Dhamana! Na Ninyi Mwachukua Hatua Gani!!?? Badala Yake Mko Kisiasa Tu, Leo Eti Sheikh Mkuu Wa Mkoa, Anatoka Na Kutaka Kumtetea Kiongozi Wa Serikali Na Kuwaona Waislam, Ambao Ndio Msingi Wa Uwepo Wake Hapo, Ni Wapuuzi, Wajinga, Hawajitambui, Walopokaji, Watu Wa Hovyo Na Wasio Na Elimu!! Sasa Kama We Ndiye Kiongozi Wao, Wasema (Kuwaona) Hivyo!!!! Je, Wengine Wasio Waislam Wataowaona Vipi!!? Ndio Maana Twasema Bakwata, Si Baraza Kuu La Waislam Wa Tanzania!! Kwanza Wanataka Kuwa Peke Yao!! Na Kuungwa Mkono Na Serikali, Ambayo Ndio Iliyoiweka Hapo!! Ndio Maana Taasisi Nyingi Ambazo Ndio Wadau Wakubwa Wa Baraza!! Serikali Nayo Yaikingia Kifua, Kwamba Kauli Ya Bakwata Ndio Ya Mwisho Hapa Nchini!! Hata Ikiwa Kinyume Na Imani Yao Waumini!!! Mbona Kule Kwa Wenzetu Wakristo Haiko Hivyo!!!? Taasisi Zote, Za Kimadhehebu Ziko Sawa, Na Serikali Inazitambua Na Kuziheshimu?? Sasa Hapo Bakwata Serikali Ina Maslahi Yapi!!!?? Hadi Iwe Kama Iwe Ya Serikali?? Sasa Viongozi Wamejidhirisha Kwa Kuwait Wazi Kuwatetea Viongozi Wa Serikali Na Si Waumini Wake!!! Muda Wenu Wa Kuwaburuza Wenye Baraza Lao Umekwisha!! Na Serikali Muda Wa Kuitumia Bakwata Kwa Maslahi Yenu Umekwisha!!!
 
Thanks mkuu, inasikitisha kuona mtu anaweka maslahi yake mbele kuliko kutetea Uislam.

Ni wakati sasa wa kuwaambia wazi mchana kweupe ya kuwa wanachofanya si kwa mujibu wa matakwa ya Waislam wala Uislam wenyewe!!!!!

Hapana tena kuwachukulia kama malaika wao ni watu kama sisi uongozi dhamana tu bila kuvunja sheria wala kuwakosea adabu haqi lillah iwekwe wazi machoni pao!!!
 
Kwani jamani amjui huyu bwana ni kibaraka was ccm na hiyo mineno ameandikiwa na akina kinana na nape
 
Bakwata ilianzishwa na Nyerere. Kuuwa Uislam Tanzania kama alivyoiua Tanganyika.

Lissu hajawapa hili somo? Maana sisi tukiwapa darsa hamkubali.
 
Mchonga alitumia nguvu kubwa mno ya ushawishi, fedha nyingi za umma(hongo na rushwa), ulaghai na vitisho kuua African Muslims welfere society na akafanikiwa ingawa haikuwa rahisi mno, aliwaeka kizuizini waliompinga na mwishoe akafanikiwa kuunda jinamizi la BAKWATA. Bakwata ipo against Islam and Muslims from the very 1st day, Sijawahi kuwa na imani na Bakwata na wala sitakuwa nayo abadan abadaa.
 
Back
Top Bottom