Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

Sheikh mkuu mkoa wa Dar aonya maneno ya Lukuvi kutafsiriwa vibaya

Yaani hawa BAKWATA wanakuwa kama mapunguani vile??? Wamejaa unafiki tuu na majungu. Huu sio uislamu nnao ujua mimi
 
Mimi ni muislam, huwa hainiingii akilini ndugu zangu waislam tunapodai kuna mfumo kristo ulioasisiwa na NYerere na CCM, then tunaendelea kuipenda, kuitetea na kuichagua CCM. Huo ni unafki wa hali ya juu. Shekhe mnafiki na sisi waislam wanafki. At least baadhi yetu tulishajua adui namba moja wa Islam na waislam ni CCM. Tuamke waislam
 
Wazuri wanakufa wabaya wanabaki,Pumzika kwa Amani Ilunga,ila hawa waliobaki wanaendeleza Sera yao ile ile ya kuwaumiza waislam wenzao kwa maslahi yao ya dunia.
 
Usikejeli dini na ya wenzako kwa chuki zako watu wakikijibu uwanja utachafuka.

Kaka hatutaki uwanja uchafuke wewe jibu kwa busara kama unaona anakosea na anavuka mipaka. Hvi kweli unaona yule shekhe ametumia busara kumsemea lukuvi anayeligawa taifa nakuhusisha dini nyingine na ugaidi? Nilini alianza kua mkaliman wa lukuvi tena kwa kugha inayoeleweka? Hvi nikweli zanzibar kwa uislam ni shida?
 
Na huyu Shekhe Mkuu wa Mkoa akitangaziwa fatwa sitamuonea huruma, sijui kwanini kuna watu wananunulika kirahisi na kuikana imani yao huku wakiwakwaza wengine.

Anajua maana ya FATWA au unaharisha tu?
 
Mimi ni muislam, huwa hainiingii akilini ndugu zangu waislam tunapodai kuna mfumo kristo ulioasisiwa na NYerere na CCM, then tunaendelea kuipenda, kuitetea na kuichagua CCM. Huo ni unafki wa hali ya juu. Shekhe mnafiki na sisi waislam wanafki. At least baadhi yetu tulishajua adui namba moja wa Islam na waislam ni CCM. Tuamke waislam

Hujielewi bado!!!!!!
CCM hawafungi mtu pingu kumlazimisha aseme au kufanya watakayo!!!!
Tatizo ni kuweka mstari kati ya dunia na akhera na hii mbinu imetumika kuwa discourage wasomi kuingia harakati za dini so waliobaki huko kwenue dini wengi ni maaamuma wa kidunia kama huyu wanaburuzwa tu!!!!
Waliosoma sides zote ni wakati sasa kushika uongozi
 
Mimi ni muislam, huwa hainiingii akilini ndugu zangu waislam tunapodai kuna mfumo kristo ulioasisiwa na NYerere na CCM, then tunaendelea kuipenda, kuitetea na kuichagua CCM. Huo ni unafki wa hali ya juu. Shekhe mnafiki na sisi waislam wanafki. At least baadhi yetu tulishajua adui namba moja wa Islam na waislam ni CCM. Tuamke waislam

Unaujua uislamu au unajipendekeza tu,uislamu hautambui CCM,CHADEMA,CUF wala ACT huyo sio sheikh ni shehena.
 
sasa yule Askofu Mtetemela mtu kama yule anafanya nini huko bungeni hana tofauti na kina Komba...

Niliwahi kuishi na mdogo wake Askofu Mtetemela ambaye sasa ni marehemu lakini namkumbuka sana kwa umahiri wake wa kufafanua mambo tofauti na Askofu huyu ambaye yaonekana ni mramba viatu vya watu ili tonge liende tumboni
 
Yule Sheikh wa Bakwata huyo sawa kuongea hayo maneno mwenzake Jongo alilia kabisa huyu akulia kweli.
Mkuu mbavu sina,hao ni wasanii per se zamani tukiwaita caricatures
 
Ameamua kuiuza akhera ya kudumu kwa dunia yenye kupita upesi.

Bakwata ni janga kwa waislam na taifa.
 
Mwenyezi Mungu awape fahamu na mzinduko wajue hii ni dunia kuna maisha mengine baada ya haya.
 
Kuna Maskofu wengine mashoga mbona ujawakataza au ndiyo umoja wenu.

Uislam unatukataza kuwa wanafiki.
HUO SIO UMOJA WETU NI UMOJA WA ALLAH NA MUHAMMAD


kama wewe si mnafiki ungewaambia watu ukweli kuwa MUASISI WA USHOGA NI ALLAH NA MUHAMMAD

Hao maaskofu uliowataja wameamuwa kumfuata allah na mtume muammad na kuacha mafundisho ya Yesu.
Mcheki MUHAMMAD anavyowafundisha wanaume ushoga.

Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.

Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah?
halafu sijaona mahali allah alipomkataza muhammad kumla denda mwanaume mwenzake!

Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam.

Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala. Hivi ndivyo Allah alivyo taka Ali afanyiwe na Nabii wake.


WANAUME WA KIISLAM WAMERUHUSIWA KUINGILIANA KIMWILI
Surah An Nisaai 21. Na mtachukuaje na ilhali mmekwisha ingiliana nyinyi kwa nyinyi, na wao wanawake wamechukua kwenu ahadi iliyo madhubuti?
 
Hatutawashinda maadui wa Islam kwa kuendekeza unafki. Huyo shekhe ni mfano wa wengi tu humu jf.
 
Back
Top Bottom