Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Sheikh Mkuu wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atenguliwa

Huyu alikuwa sheikh muhuni tu alikuwa anapanda mpaka majukwaa ya siasa
 
UTV wanalipoti muda huu kuwa shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alhaji ISSA salimu ametolewa kwenye nafasi yake sio tena shekhe wa mko...
Wamechelewa sana, katudhalilisha sana waislam kwa upuuzi wake, bado bakwata yenyewe
 
Uamuzi wa kumtengua Sheikh Alhad umekuja ikiwa imepita wiki moja tangu, kiongozi huyo alipotangaza kuivunja ndoa hiyo ya mtaalamu wa tiba mbadala...
Hivi Alhad ni jina la kiislam au ni cheo?
 
Uamuzi huu ulichelewa Sana
Huyu sheikh ubwabwa aliIgeuza bakwata dar kama Mali yake na kwenye uchawa wake kwny serikali ya chama tawala
 
Alichukua mke wa marehemu Chemundu gwao alikuwa pia mcheza show wake huyo mkewe Jasmeen ni mke wa Chemundu. Shekhe alidhulum. Akafie mbali huko.
Aisee chemundu ndio alimfundisha mziki Luiza Mbutu
 
Yaani ni majanga.Mwaka kawapa ngapi ?Au Chizenga ana chuki binafsi na Alhadi?
Kama wale washekhe walikwenda Arusha kumpa nguvu mchungaji aliyezini na mke wa mtu yalivyo y hovyo eti yanarudi yanasema hayajui yakiendaje kule wakati yalifuata pesa tu hapo Dk katoa kitu ishu imeisha hiyo


USSR
 
Back
Top Bottom