Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Soma Dini uelewe ulicho andika hakihusiani kabisa na kusoma,umeandika kutoa,suala la kutoa ni mtu husika kujua wajibu wako. Wapo watu hawajasoma "secular" na wana hela. Mola wetu muadilifu sana mzee. Amejaalia rizki katika njia nyingi sana.
 
Tuna Moslem University of Morogoro (MUM) mkuu...
 
Uliposema na Wakristu ulimaanisha na Wakatoliki? Unazifahamu shule zao au unasimuliwa?
 
Tuna Moslem University of Morogoro (MUM) mkuu...
Kuanzia walivyopewa hicho chuo,hawajawahi kupska hata Rangi ha majengo, pia Wana campus moja Mtwara,
Lakini SAUT ambao walipewa kwa siku mmoja pale Malimbe Mwanza,chuo wamekipanua Sana ,pia wamefungua campus kalibu kila mkoa,
Hebu nitajie Hospital ya Rufaa hata moja inayomil kiwa na waisilam
 
Tuna Moslem University of Morogoro (MUM) mkuu...
Sasa waislam mna chuo kikuu kimoja miaka 60 baada ya uhuru.

Wakristo wana vyuo vikuu 5 miaka 60 baada ya uhuru.

Bado huoni tatizo tu hapo?
 
Yaani unalinganisha Elimu ya Kiislamu na Elimu ya Kikafir? Wewe upo vizuri kichwani kweli? Sidhani. Elimu hii iliyotengenezwa na makafir unataka ndo tukae kuhangaika nayo badala ya kusoma dini tuifahamu vizuri na namna ya kuishi katika njia zake allah. Wewe siyo bure. Na wewe huwezi kuwa muislam hakuna muislam wa kuwaza namna hii. Unapaswa uombe toba. Chuo alikitoa mkapa kinasaidia nini? Angekuwa anatupenda waislamu si engetujengea msikiti mkubwa hapo Morogoro au Mkoa mwingine. Hicho chuo ni lengo lile lile la makafir kutuondoa kwenye reli. Tukasome ukafir wao.
 
Hiyo simu unayotumia imetengenezwa kutokana na elimu ya Kikafir.
Hata hii JF unayoitumia ni matokeo ya elimu ya Kikafir.

Au unadhani Simu zinatengenezwa kwa Elimu akhera?

Unaonaje ukaachana na hiyo simu na mitandao hii inayotokana na elimu ya makafir?
 
Kwa akili hizi Wakristo wataendelea kuwatawala milele
 
Ni rahisi tuu, anza na wewe mwenyewe na rafiki zako : mlivyokuwa shule ya msingi ratio ya Wakristo Vs waislam ilikuwaje? Sekondari ikawaje? University ikawaje? Etc....
Ok.
Shule ya msingi mkristo mmoja na muslims 44.
Secondary school wakristo 12 na muslims 33.

Right now bado nasoma nikimaliza secondary nitaleta takwimu za university.

Sasa wewe leta takwimu za kitaifa kati ya Muslims na wakristo.....?
 
Kutawala nini?

This is some kind of religious hypocrisy.
Sasa kama muislam mwenzako hapo juu kwenye comment yake anaita elimu ya darasani ni elimu ya Kikafir, si mtatawaliwa na wakristo milele? (ambao hiyo elimu ya darasani anayoiita ya Kikafir wakristo wanaipa kipaumbele kuliko kawaida)
 
Sasa kama muislam mwenzako hapo juu kwenye comment yake anaita elimu ya darasani ni elimu ya Kikafir, si mtatawaliwa na wakristo milele? (ambao hiyo elimu ya darasani anayoiita ya Kikafir wakristo wanaipa kipaumbele kuliko kawaida)
Almost 50 percent of the whole tanzania population are Muslims.

Yaani kabisa unadhani mtu mmoja tu (1) jamiiforums.
anaweza leta impact yoyote kwenye watu ambao ni karibu nusu ya taifa zima?

Unadhani kabisa hicho kitu kinawezekana?

Bado hujajibu hili swali.

Kutawaliwa kwenye nini?
 
Uliposema na Wakristu ulimaanisha na Wakatoliki? Unazifahamu shule zao au unasimuliwa?
Huko vijijini vishule vinavyozunguka jamii achana na hizo chache za kulipia. shule nyingi ni zile za kata. Zinafuatia za watu binafsi kundi la mwisho ni hizo za dini wala si nyingi kivile kiasi cha kuweza ku accomodate majority of christian.
Nimekaa sana vijiji vya wakiristo wengi nyanda za juu kusini.
Ni watu wachache tu ndio wenye uwezo wa kupeleka shule bora za kulipia wengi wanaenda kayumba na kuishia kupata maziro.
 
Ok.
Shule ya msingi mkristo mmoja na muslims 44.
Secondary school wakristo 12 na muslims 33.

Right now bado nasoma nikimaliza secondary nitaleta takwimu za university.

Sasa wewe leta takwimu za kitaifa kati ya Muslims na wakristo.....?
Takwimu inategemea na ukanda.
Huwezi niambia Tanga kuwe na wanafunzi wengi wakiristo kuliko waislamu.
Mbeya kuwe na wanafunzi wengi waislamu kuliko wakiristo, haiwezekani.
Jadilini kuboresha maisha ya Watanzania achaneni na hizi habari hazina tija yoyote.
Uwe msilamu uwe mkiristu, you have to struggle to achieve.
 
Sasa waislam mna chuo kikuu kimoja miaka 60 baada ya uhuru.

Wakristo wana vyuo vikuu 5 miaka 60 baada ya uhuru.

Bado huoni tatizo tu hapo?
Yaani hata kulinganisha tu Waislam na Wakristo katika maendeleo ya kielimu Tanzania unakosea sana.

Yaani in tofauti kama Giza na Nuru

Waislam wanatuzidi tu kusoma juzuu na kutawadha
 
Mtaa Nina oisho Mimi pale Moro Kuna shule za kikristo kama 6 hivi na hakuna hata moja ya kiislamu

Huo mfano tosha

Angalia hapo ulipo Hali ikoje.

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Shule watasoma za Katoliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…