Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Kuna vitu ambavyo havihitaji statistical tests maishani, just simple majority na frequency, prevalence na percentage vinatosha kutoa rat smell.
Are you even serious?

You came up with a big conclusion that contains almost 50 percent of the whole population.
And you're saying there's no need of any statistical test or research on something huge like that?

This is one of the reasons why I said your topic is based on your own deluded perspectives, opinions, religious hypocrisy and prejudice.

Now tell me I'm wrong.
Unafahamu wazi kuwa ukifanya research ya aina hiyo hutapata approval (IRB) ya protocol yako.
Then attempted to post your disparagement without any approval from anyone.

Without any decent evidence or research that why it's disparagement.


Why didn't you just perform the research then post it in here?
Lakini hata dissemination utakwenda kuifanyia wapi na utaipublish kwenye journal IPI
Ok so what exactly you think you're doing here?
Isn't this a dissemination?

Dissemination is not necessarily supposed to be in a newspaper or magazine even this is dissemination.

Weak justification to justify your reckless topic.
Wewe huna weledi hata kidogo ya unachoking'ang'ania cha kufanya utafiti. Inaonekana kuwa you are one part of the problem.
The fact that you're the one who attempted to proclaim on something without any decent evidence or research.

Obviously You're the one who's part of the problem.
 
So you concur that you have no idea what you're doing?
Are you even serious?

You came up with a big conclusion that contains almost 50 percent of the whole population.
And you're saying there's no need of any statistical test or research on something huge like that?

This is one of the reasons why I said your topic is based on your own deluded perspectives, opinions, religious hypocrisy and prejudice.

Now tell me I'm wrong.

Then attempted to post your disparagement without any approval from anyone.

Without any decent evidence or research that why it's disparagement.


Why didn't you just perform the research then post it in here?

Ok so what exactly you think you're doing here?
Isn't this a dissemination?

Dissemination is not necessarily supposed to be in a newspaper or magazine even this is dissemination.

Weak justification to justify your reckless topic.

The fact that you're the one who attempted to proclaim on something without any decent evidence or research.

Obviously You're the one who's part of the problem.
To know ,
So you concur that you have no idea what you're doing?
You are part of the sin, I can just plot the number of Moslem students in the class, lecturers in the departments, workers in the hospital, DCs in the country, Ministers in the country, Executive Directors and so forth against the number of other religions'. To hell with your research on it. Do you think Palestinians need to do an childish research in order to know that Israel is their greatest enemy.

You have so cheap argument
 
Let me make it a little short.

Umefanya research? Au hujafanya research?
We msukuma mkatoliki usiwe hivo unatia aibu

Tatizo nyie wakristo mnashindwa kuamini kua KWELI haifichiki halafu hapa jamvini sio wazembe kama kondoo wenu kule zizini🙈🙈🙈

Wewe unashindwaje kutuletea idadi ya wakuu wa wilaya tu kwa class ya dini zao ili umprove wrong huyo mwenzio?
 
Nyie jengeni shule na vyuo...
Tuacheni sisi tujenge misikiti mikubwa
Maisha ni kuchagua
 
You are part of the sin, I can just plot the number of Moslem students in the class, lecturers in the departments, workers in the hospital, DCs in the country, Ministers in the country, Executive Directors and so forth against the number of other religions'
Ok then Do it.

Do you think Palestinians need to do an childish research in order to know that Israel is their greatest enemy.
Your instance is invalid on this argument.

It's not just it doesn't make any sense. But actually shows the percentage of your reasoning capacity.

You have so cheap argument
The amount of your words alone can decide which one is the cheap argument and which isn't.

Down here is the sign of cheap argument and what it looks like.
To hell with your research on it


Now stop arguing and answer my questions.

Well you can't because your whole topic is 100% based on your own deluded perspectives, opinions, religious hypocrisy and prejudice.

So you have no points against my questions.
Which means everything you wrote is just disparagement.
 
Uislamu sio kama ukristo,ukristo uko umegawanyika madhehebu mengi sana,hata salamu wanatofautiana,kuna Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kristo,unafikiri wanaweza kuwa kwenye chuo kimoja.Ulizia ajira katika vyuo hivyo,kama utamkuta mwalimu au mfanyakazi wa dhehebu jingine labda awe mfunga milango.
Ninyi hamjatofautiana? ANSWAR SUNN,SUNN,SHIA sio tofauti? Wengine wanafungua EID Leo wengine kesho hiyo sii tofauti?
 
Leta results za research uliyofanya mpaka kufikia kwenye hii conclusion.

Na sio some religion hypocrisy.
Ni rahisi tuu, anza na wewe mwenyewe na rafiki zako : mlivyokuwa shule ya msingi ratio ya Wakristo Vs waislam ilikuwaje? Sekondari ikawaje? University ikawaje? Etc....
 
Kwanza tuchague Mufti mwenye PhD na sheikh wa mikoa wenye Masters na masheikh wa wilaya wenye degree au diploma hata ikibidi kuwatoa mashariki ya mbali. Sheikh ambae amuozesha bint yake mwenye miaka 12 hafai kuongoza waislam wa zama hizi. Mtume SAW aliposema itafuteni elimu hata ikibidi Uchina alijua kuwa zama za akina Mama Samia kuwa Rais zitakuja.

Maaskofu na mapadre wana elimu kubwa wakati masheikh sifa yao ni moja tu.
[emoji1666][emoji1666]
 
Jadili utolewaji wa elimu kwa jamii yote na si waislamu tu. Wamasai na waislamu wepi wamenyimwa elimu zaidi?
Tanzania elimu yetu kwa ujimla ipo nyuma, si wakiristu si waislamu si wapagani.
Mimi kama mtaalamu wa elumu nashauri ujadili elimu bora kwa kila mtanzania, suala la vikundi vikundi halina mantiki. Shule za serikali zipo kwa ajili ya kila mtu.
Bakwata walirithishwa na warabu kujenga msikiti na si shule.
Bakwata inaendeshwa na mashehe, unategemea watajenga shule ?
Bakwata wameshindwa kuzisimamia shule zilizopo , je wataweza kujenga zingine ?
Mind set ya waislamu inatakiwa ibadirike, waige warabu wa Dubai, wamefanya mapinduzi ya kifikra na kuachana na fikra za jadi ya kiislamu.
Waige wa Iran wametoka kwenye dhana ya kusubili akhera na kuijenga mifumo ya dunia ya kisasa.
Ukienda msikitini ni mawaidha ya hadithi za mtume tu, hakuna kujadili changamoto za kielimu,sayansi na teknolojia, hii ni kwa sababu uelewa wa mashekh ni hadith za mtume tu, habali za Globalization haziwahusu,uwekezaji hauwahusu.
Kila ijumaa unazikiliza hadithi ile ile mpaka unazeeka.Unatalajia jipya mkuu,.
samahani kama nimekukwaza ila uwongo kwangu mwiko.
Nani amekukataza wewe, tena mtaalamu wa elimu, usilete uzi wako unaojadili elimu kwa Watanzania wote?? Umeshikwa mikono usiandike?? Yeye kwa upande wake ameona alete uzi kuhusu hili ili kupata maoni ya Watanzania wenzake, sasa wewe unataka kumpangia cha kusema, wakati unaweza kuleta hayo mawazo yako na watu watachangia pia.
 
Vigezo vya kuiendesha BAKWATA iwe Master/Phd na elimu ya dini vyote kwa mpigo uone kama bakwata haibadiriki.
Mbona wasomi haohao wakislamu serikali inawatumia vizuri na kufaidika.
Wazee wa BAKWATA hawana tofauti na wazee wa yanga hawataki mabadiriko yafanyike kwa sababu BAKWATA ni shamba lao la kuvuna.
Shehe simba aliuza eneo pale DUCE ambalo ni strategic kiuchumi, akawauzia warabu mil50 na kumpa pori huko pwani . Pale DUCE wangeweza kujenga hostels au hotel au, shule au maduka ya kupangalisha wakaona wauze, hao ndio viongozi unaoweza kuwaamini ?
Nyumba za wakfu nyingi wanapiga hela ukiwauliza ugomvi.
Msikiti wa Njombe kumewahi tokea mtafaruku wa nyumba za wakfu na mali za msikiti.
Tatizo BAKWATA inaongozwa na viongozi wenye njaa na wasio na maono..
Bakwata hawaaminiki na waislamu wengi ni kama ccm isivyo aminika na watanzania wengi.
[emoji23] [emoji23] Daah yaani kama wazee wa Yanga??? Mfano yule Mzee Kilomoni msema hovyoo?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kujenga msikiti na madrasa zitazosomesha Qur'aan na Sunnah ni bora mara elfu kuliko kujenga shule.
Ndipo hapa tunapokwama... Kwa nini visijengwe vyote? Hii ndiyo inafanya waumini wanashindwa kujitegemea kimaisha kwani maisha ya dunia ya leo yanahitaji shule/elimu dunia. Juzi nilikuwa kwenye sala ya Eid, huwezi amini michango ya waumini kwa ajili ya kuboresha msikiti haikufika haya laki mbili wakati waumini wake kwa waume walijaza kiwanja kikubwa kabisa jirani na msikiti. Hii maana yake waumini hawana fedha na stable employments. Matokeo yake ni viongozi wa misikiti kugombea sadaka na mali za misikiti. Pia kwa viongozi wa BAKWATA inakuwa rahisi kurubuniwa kifedha na mali na wanasiasa, hivyo kushindwa kutetea Waislamu.
 
Unatumika. Hayo mawazo yako ni ya kishetani. Msikiti ni jambo la kheri na kupata thawabu kusaidia waja wa Mnyaazi Mungu wewe unakuja kupinga?shule zipo ngapi hapa nchini? Wewe ni Kafir. Na unatumika na shetani. Shule hizi ndo zinapunguza idadi ya waumini misikitini. Unaumia na nini kuona msikiti mkubwa ukijengwa?mbona yapo makanisa makubwa?

Na wala wewe si msemaji wa waislamu acha kuingilia mambo yasiyokuhusu. Umenichefua sana. Kwa nini usi deal na mambo yako pekee?
Hayo na wewe ni mawazo yako, usiwasemee Waislamu. Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake, kama umechefukwa ina maana hupendi mawazo mbadala kama ilivyo kwa viongozi wa BAKWATA. Hoja ya msingi iliyotolewa ni kwamba hapa duniani elimu ya kuyakabili maisha na kupata stadi za maisha ni muhimu. Tukienda misikitini tunatakiwa kusaidia ujenzi wa misikiti na madrasa, sasa tutaludanyaje hilo ikiwa hatuwekezi kwenye shule na vyuo ili waumini wapate ujuzi wa kuajiriwa, kujiajiri na hata kuajiri Waislamu wenzao? Hata biashara au viwanda au kilimo cha kisasa vyote vinahitaji elimu, sasa wewe tatizo unaliona wapi hapo? Kuna kipindi Waislamu walikuwa vinara wa kulalamika kuachwa nyuma kwenye uongozi wa nchi kuanzia wabunge, mawaziri, makatibu wakuu na nafasi nyingine. Je bila elimu ya kutosha rais atawachaguaje kumsaidia kuongoza nchi?? Inaonekana Mkapa alivyofanya uamuzi wa kukigeuza chuo cha Tanesco pale Msamvu Morogoro kuwa chuo kikuu cha Waislamu roho yako ilikuuma sanaaaaa maana Waislamu watakuwa hawaendi misikitini na kwenye madrasa (kwa mtazamo wako) si ndiyo?? Unafahamu faida waliyoipata Waislamu kwa uwepo wa chuo hicho cha MUM shehe wangu???
 
Ndipo hapa tunapokwama... Kwa nini visijengwe vyote? Hii ndiyo inafanya waumini wanashindwa kujitegemea kimaisha kwani maisha ya dunia ya leo yanahitaji shule/elimu dunia. Juzi nilikuwa kwenye sala ya Eid, huwezi amini michango ya waumini kwa ajili ya kuboresha msikiti haikufika haya laki mbili wakati waumini wake kwa waume walijaza kiwanja kikubwa kabisa jirani na msikiti. Hii maana yake waumini hawana fedha na stable employments. Matokeo yake ni viongozi wa misikiti kugombea sadaka na mali za misikiti. Pia kwa viongozi wa BAKWATA inakuwa rahisi kurubuniwa kifedha na mali na wanasiasa, hivyo kushindwa kutetea Waislamu.
Wakichanga nyingi zinaliwa na mashehe mkuu, mashehe wengi kazi zao hazijulikana.Kuhudimua dini sio kazi.
 
Hayo na wewe ni mawazo yako, usiwasemee Waislamu. Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake, kama umechefukwa ina maana hupendi mawazo mbadala kama ilivyo kwa viongozi wa BAKWATA. Hoja ya msingi iliyotolewa ni kwamba hapa duniani elimu ya kuyakabili maisha na kupata stadi za maisha ni muhimu. Tukienda misikitini tunatakiwa kusaidia ujenzi wa misikiti na madrasa, sasa tutaludanyaje hilo ikiwa hatuwekezi kwenye shule na vyuo ili waumini wapate ujuzi wa kuajiriwa, kujiajiri na hata kuajiri Waislamu wenzao? Hata biashara au viwanda au kilimo cha kisasa vyote vinahitaji elimu, sasa wewe tatizo unaliona wapi hapo? Kuna kipindi Waislamu walikuwa vinara wa kulalamika kuachwa nyuma kwenye uongozi wa nchi kuanzia wabunge, mawaziri, makatibu wakuu na nafasi nyingine. Je bila elimu ya kutosha rais atawachaguaje kumsaidia kuongoza nchi?? Inaonekana Mkapa alivyofanya uamuzi wa kukigeuza chuo cha Tanesco pale Msamvu Morogoro kuwa chuo kikuu cha Waislamu roho yako ilikuuma sanaaaaa maana Waislamu watakuwa hawaendi misikitini na kwenye madrasa (kwa mtazamo wako) si ndiyo?? Unafahamu faida waliyoipata Waislamu kwa uwepo wa chuo hicho cha MUM shehe wangu???
Waache waendelee kuuza kahawa mjini, waislamu tuliomka tusha achana na hadithi za ufukara.
Dini bila pesa ni kukufuru.
 
Wewe uko eneo lenye waislamu wachache,nenda maeneo yenye waislamu wengi,hamia mikoa hiyo.Ukaone shule na vyuo na wanafunzi wanavyosoma wa kiislamu.Kwa mfano iko wilaya ina waislamu,na wilaya ndogo,lakini ina shule za kiislamu zinafika 8,hapo hujahesabu shule za serekali,ambazo watoto wa kiislamu wanasoma kwa idadi kubwa,tembea,hapo sijamalizia wilaya nyingine,zinazofika 8,huko pia kuna shule za kiislamu.
Toa mifano mkuu, mimi niko Morogoro, ukiondoa Jabalhila (ambayo ni ya zamani) na chuo cha MUM bado shule za Kikristo ni nyingi sana kuanzia primary mpaka sekondari... Na ziko vizuri sana kwa performance. Angalia shule kama St Ann's pale Kihonda, yaani from chekechea mpaka sekondari, na wako very efficient....
 
Lakini Waislamu ndio matajiri wakubwa hapa nchini sijui nao wamependelewa na nani, na pia kwenye makampuni yao asilimia 90 ya wanaoajiriwa ni Waislamu nadhani ungeanzia huko kwanza mkuu.
Hapo najua unazungumzia Wahindi...
 
Back
Top Bottom