Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Hii tarawee mliiimba sana, mkahitaji majina rasmi yasitumike kwenye matokeo kidato cha NNE na SITA, mkawekewa viongozi wa kiislam NECTA na system ikaanza kutumia namba badala ya majina ya wanafunzi, lakini bado tu Shule zenu ni SIFURI mpaka leo.

Waislam na Elimu ni Paka na panya
Ndio mlipogeukia kuiba mitihani na vyeti feki,baada ya kubanwa huko kwenye namba.
 
Huko kuiba mitihani,ndipo mnapokabidhiwa majukumu ya kikazi,yanawashinda.Inabakia kutafuta vyeti fake.
Madhara ya kuiba mitihani ni kupata watoto wengi wenye ufaulu mkubwa fake kupata nafasi za kusoma vyuo vikuu na kuwanyima nafasi hizo wale shule za kata wenye ufaulu mdogo lakini halali.

Dhambi nyingine ni watoto hao wenye ufaulu mkubwa fake wanapata fursa ya kuingia vyuo vikuu vya umma vyenye ada ndogo.

Dhambi nyingine hapo ilikuwa bodi ya mikopo ya elimu ya juu ilikuwa inatoa mikopo kwa wanafunzi wenye ufaulu mkubwa tu.

Hivyo watoto wa kiislamu wanapigwa mapanga pande zote, lakini viongozi wa dini wanasomea dua viongozi wa kisiasa waishi milele. Hii nadhani sio sawa, ni woga na ukosefu wa weledi wa unachokisimamia.

Viongozi wa dini lazima wazalishe waumini ambao ni marubani wa kuwapeleka kuhiji Maka, madaktari, wahandisi, wanasiasa kama Samia na Jakaya wenye elimu akhera pia na raia wema wengi kwenye taifa. Na hicho ndicho wanachofanya wakatoric. Ndio maana marais wote watatu wakristo walikuwa wakatoriki, hii haikuwa bahati mbaya hata kidogo, ni mpango mkubwa sana unamkataza hata Rais muislam kuwa muislam. Jakaya Kikwete alikatazwa na wakatoriki kuruhusu Kadhi awepo nchini, simnakumbuka?
 
Mkuu nmesoma tu kichwa cha habari tu aafu nashuka kucomment apa
Mkuu ktk ma-mufti waliojitahidi kufanya kazi ya bidii wa kwanza ni uyu zuberi kuna mfuko wake unasomesha watoto kuanzia form 2 wanachukua waliofaulu vizuri shule za serkal wanapelekwa private shule kama kinondoni Islamic ambayo kwa mwaka ada yake ni zaidi ya M1.5 lakn mfuko wa uyu sheikh unasaidia mtoto atatoa ada ya 450k kwa mwaka mzima mdogo angu ni mnufaika wa mfuko huu na shuleni kwao wamechukuliwa wengi sana labda ulitaka ajitangaze?? Unajua gharama za kuendesha shule??
Khabari nzuri kama hiyo ni yakupongezwa lakini haitoshi kwa taifa ambalo karibu nusu yake ni waislamu. Juhudi kama hizo zilipaswa kujulikana kwa waislam woto nchi kupitia misikitini na vyombo vya habari vya kiislam na umma ili walengwa wawe na fursa sawa katika kuufikia huo mfuko wa Mufti. Hata mimi niliyeko huku Nanjilinji napaswa kupata khabari juu ya neema hiyo kidogo sawa na tone la damu kwenye bahari.
 
Jadili utolewaji wa elimu kwa jamii yote na si waislamu tu. Wamasai na waislamu wepi wamenyimwa elimu zaidi?
Tanzania elimu yetu kwa ujimla ipo nyuma, si wakiristu si waislamu si wapagani.
Mimi kama mtaalamu wa elumu nashauri ujadili elimu bora kwa kila mtanzania, suala la vikundi vikundi halina mantiki. Shule za serikali zipo kwa ajili ya kila mtu.
Bakwata walirithishwa na warabu kujenga msikiti na si shule.
Bakwata inaendeshwa na mashehe, unategemea watajenga shule ?
Bakwata wameshindwa kuzisimamia shule zilizopo , je wataweza kujenga zingine ?
Mind set ya waislamu inatakiwa ibadirike, waige warabu wa Dubai, wamefanya mapinduzi ya kifikra na kuachana na fikra za jadi ya kiislamu.
Waige wa Iran wametoka kwenye dhana ya kusubili akhera na kuijenga mifumo ya dunia ya kisasa.
Ukienda msikitini ni mawaidha ya hadithi za mtume tu, hakuna kujadili changamoto za kielimu,sayansi na teknolojia, hii ni kwa sababu uelewa wa mashekh ni hadith za mtume tu, habali za Globalization haziwahusu,uwekezaji hauwahusu.
Kila ijumaa unazikiliza hadithi ile ile mpaka unazeeka.Unatalajia jipya mkuu,.
samahani kama nimekukwaza ila uwongo kwangu mwiko.
Umeangukia mulemule mwa mleta mada.
 
Huwa sipendi kuchangia mada za hivi lakini ngoja niseme neno hapa.
Naomba nitumie mfano wa black Americans ambao nao wapo nyuma kwenye Kila kitu USA sawa na waislamu wa Tanzania.
Wengi wa black Americans ni wakristu Wala si waislamu lakin ukienda kuwachunguza matatizo yao ya kukosa elimu,ajira, huduma za afya, nk zinafanana Sana na waislamu wa Tanzania.
Swali ni je kama tatizo ni uislamu inakuwaje black American mkristu ashindwe kufanikiwa kama mkristu mwenzake wa Tanzania?
Kwa hiyo swala hapa si muislamu wa Tanzania Wala black American ila ni mfumo uliowekwa ambao hauzipi nafasi hizi jamii mbili moja ya Tanzania nyingine USA.
Wakati Nyerere anavunja East Africa Muslim walfare society na kuunda bakwata Kuna prof mmoja UDSM alitaka kugombea cheo cha mufti alipigwa vita na serikali ya Nyerere vibaya mno akatishiwa mpk maisha yake.
Mpk leo uchaguzi wa mufti serikali inaingilia mchakato wake sana.
Hakuna uchaguzi ulishafanyika bila serikali kuweka mkono ili mtu wao apite.
Swala la waislamu kuwa wachache ajira serikalini ni sabbau waajiri wengi ni wa dini nyingine. Fuatilia mchakato wa kuajiri katika taasisi za elimu ya juu Tanzania utachoka kabisa.
Mkuu wa institute ndiye anayepanga panelist wa interview anachofanya anapanga wengi wanakuwa wa dini fulani halafu wanakupa maksi za chini wa dini nyingine makusudi ili wabaki wa dini yao ( na inakuwa communicated kabla ya interview).
Hata sasa ambapo utumishi wanasimamia hizi ajira bado tatizo lipo.
Ukiwa mkuu wa institute unaweza amua nani apate ajira na bahati mbaya sana dini na kabila vimetumika sana kuwanyima watu wengine haki ya ajira ambayo mwisho wa siku inaamua mustakabali wa vizazi vijavyo.
Nashangaa Sana sheria za Tanzania nilishashuhudia mkuu wa institute moja akimuajiri mkewe simply sabbau alipanga panelist na kuwapa maswali ya kumuuliza.
Tunataka utumishi waangalie namna ya kuzuia wakuu wa institute kujipanga story itakuwa nyingine.
Naunga Sana mkono utumishi kutumia mfumo wa marks za written interview kuunganishwa na za oral interview kwenye kumpata mshindi tofauti na baadhi ya taasisi wanavyozitumia kama njia ya kuscreen wanaoingia kwenye oral interview ambapo ni rahisi Sana kuwapanga penelist.
Tumesoma na wakristu na tunafanya nao kazi Kuna wako vizuri Sana na wako vilaza mno si kwamba wote wako smart kuliko waislamu Kama ambavyo waislamu wapo vipanga na vilaza vile vile.
Katika mifumo ambayo iko lose namna hii unawezaje laumu jamii nyingine kuwa nyuma wakati kila kitu kiko wazi.
Kinachotokea kwa jamii za muislam za tanzania na Black Americans wa USA ni kile kinachofahamika kama vicious cycle, unapomnyima mtu fursa ya elimu unamnyima pia fursa ya maono na fursa za kiuchumi pia. Mtu mwenye elimu atapenda mtoto na mjukuu wake pia wapate elimu, mtu mwenye ajira atapata uwezo wa kiuchumi wa kuwekeza kwenye elimu nzuri ya watoto wake na kujipanua kwenye miradi ya kiuchumi kuliko mwenzake ambae hana ajira. Mtu mwenye ajira anaaminika kwenye vyombo vya kifedha kuliko asiyekuwa na ajira, watu wenye ajira ndio wale wanaoitwa kwwnye mikutano na semina mbalimbali za kikazi na kulipwa per dieum ambazo zinatumika kuwekeza zaidi kwenye miradi ya elimu za watoto wao, kunuanua ardhi na kupata mitaji.

Black Americans asili yao ni vibarua rahisi bila ujira au ujira kidogo sana usiowawezesha kupata mahitaji ya msingi na kusomesha watoto wao kwenye shule nzuri na vyuo vizuri ambavyo ni ghari sana kule USA, hivyo hadithi ya umaskini itaendelea milele kule kwenye jamii hiyo kama hakutafanyika mabadiliko. Obama alijaribu kuwatafutia nafuu kundi hilo lakini alipingwa sana.

Waislam wa Tanzania pia wanashida hiyo, kama wazazi wako hawana elimu ni vigumu kuithamini elimu ya mtoto, lakini kama huna kipato utashindwa kusomesha watoto wako kwenye hata shule za kata tu zisizokuwa na mabweni, chakula wala usafiri sembuse kuwasomesha shule za Academy za Feza, Tusime, St. Frolence, Marian, na Kifungilo? Hivyo mtoto wa asiyekuwa na ajira atazalisha watoto wakata majani ya ng'ombe, Shamba boys, house girls, waosha magari na wakamua maziwa kwa wenye ajira na elimu.

Kuna waajiri nchini wanathamini kuzungumza kiingereza zaidi ili upate ajira bila kujali ujuzi wa MTU, hivyo watoto wanaosoma shule za kiingereza ndio wataajiliwa zaidi.

Jamani tatizo no kubwa sana. Ajira ndiyo mtaji mkubwa wa wakrito nchini, MTU mwenye ajira hata sadaka yake kanisani no kubwa pia.
 
Hii bado si solution sababu wanachukuliwa wachache Sana.
Naamini Sana shule za kata zikikomaa kwa kuwekewa miundombinu zitaleta mapinduzi makubwa kabisa ndio maana walizipinga Sana wakati zinaanza zikadhihakiwa lakin sababu ilikuwa kukatisha juhudi za kuleta mfumo wenye usawa katika kupata nafasi za masomo kwa jamii zote.
Kaka wakristo, hasa wakathoric wamejipanga kibaguzi duniani. Baada ya serikali kuanzisha shilule nyingi za Kata ikaonekana kuwa watoto wa dini zote wanapata elimu na kustahili kuingia vyuo vikuu nchini. Serikali akaanzisha mfumo wa udahiri wa wanafunzi kuingia vyuo vikuu waliokuwa wakiuita Central Admission System (CAS) ambapo wanafunzi walikuwa wanaomba TCU kwa njia ya mtandao (online) na mfumo wa TCU ulikuwa unachagua watoto wenye ufaulu bila kubagua dini kwenda vyuo vikuu. Baada ya kuona mfumo huu haubagui dini au vyuo vya kusoma wamiliki wa vyuo vikuu binafsi vya dini wakamfuata mkuu wa nchi asimamishe Mara moja CAS ili vyuo vichague vyenyewe wanafunzi wao wanaotaka kuwachagua. Lengo kuu LA kufanya hivyo sio lingine bali kupata uwezo wa kufahamu na kuchagua idadi ya watoto na dini zao kwenye vyuo vyao badala ya kuletewa na TCU wanafunzi wasiojulikana dini zao. Kwakutumia CAS ya TCU waislam walionekana wengi sana pia kwenye vyuo vikuu vya madhehebu ya kidini.
 
Nimeshasema bakwata haikuundwa na waislam na wala haitatokea kuwatetea waislamu ...nyerere alihujumu sana uislamu na mkapa alikuja kugongea nyundo hila nyingi juu ya waislamu hata kuuawa kwa waislamu kuliko ratibiwa na mkapa ktk utawala wake kulitokana na waislamu kudai haki zao...ipo siku hii historia ya uonevu itakuja kuanikwa na vizazi vijavyo..

Mungu azidi kuwachoma Moto mkapa na nyerere kwa uonevu walioutenda.
Mkapa alizirudisha kwa wakristo baadhi ya shule zilizokuwa zimechukuliwa na serikali kwaajili ya watoto wote wa dini zote wasome. Huku akijua shule hizo zilijengwa na wakoloni kwa kutumia rasilimali za watanganyika wote na ziko kwenye ardhi ya watanzania wote na zinatumia maji na umeme wa watanzania wote na zinatumia mbao na nguzo za watanzania wote
 
Kaka wakristo, hasa wakathoric wamejipanga kibaguzi duniani. Baada ya serikali kuanzisha shilule nyingi za Kata ikaonekana kuwa watoto wa dini zote wanapata elimu na kustahili kuingia vyuo vikuu nchini. Serikali akaanzisha mfumo wa udahiri wa wanafunzi kuingia vyuo vikuu waliokuwa wakiuita Central Admission System (CAS) ambapo wanafunzi walikuwa wanaomba TCU kwa njia ya mtandao (online) na mfumo wa TCU ulikuwa unachagua watoto wenye ufaulu bila kubagua dini kwenda vyuo vikuu. Baada ya kuona mfumo huu haubagui dini au vyuo vya kusoma wamiliki wa vyuo vikuu binafsi vya dini wakamfuata mkuu wa nchi asimamishe Mara moja CAS ili vyuo vichague vyenyewe wanafunzi wao wanaotaka kuwachagua. Lengo kuu LA kufanya hivyo sio lingine bali kupata uwezo wa kufahamu na kuchagua idadi ya watoto na dini zao kwenye vyuo vyao badala ya kuletewa na TCU wanafunzi wasiojulikana dini zao. Kwakutumia CAS ya TCU waislam walionekana wengi sana pia kwenye vyuo vikuu vy madhehebu ya kidini.
[/QUOTE
Dah hilo sikujua ila wataacha hela kweli sababu wanafunzi ni hela wataachaje kuwachagua waislamu kama Wana sifa wakati watapata pesa ya ada? Nadhani kwa hili hawana pa kutokea sabbu wanazitaka hela za ada kama unavyojua kuendesha vyuo vikuu ni gharama.
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana kulinganisha na watu wa dini nyingine.

Bila shaka pamoja na mambo mengine ya kihistoria, imani, ukabila, ukanda na kiuchumi lakini idadi ndogo ya watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ukilinganisha na watoto wa dini nyingine inaweza kuwa sababu ya msingi ya shida hii

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia pia. Elimu hii ndiyo inayotoa wahandisi, madaktari, wauguzi, walimu, marais, mawaziri, wakurugenzi na watumishi wengine.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ujionee hali ilivyo. Pitapita huko uone idadi ya walimu wa vyuo vikuu huko.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi mbalimbali wengi ni wa dini fulani bila shaka watumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa na kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali bila shaka watakuwa kama wa dini za wanaowateua. Like dissolve like.
Yeye ni kiongozi wa dini ya kiislamu acha ajenge misikiti ili watu wakamwabudu MWENYEZIMUNGU

Viongozi wa kisiasa kupitia kodi za wananchi watajenga shule

Au wewe wasiwasi wako nini
 
Ndio mlipogeukia kuiba mitihani na vyeti feki,baada ya kubanwa huko kwenye namba.
Hahahaha... Maamuma wa kiislam unapaswa ujisikie hata aibu kuandika huu Uongo, someni.

Pelekeni watoto wenu shule na sio madrassat tu

Mtaendelea kulia mpaka siku ya kiama
 
Kaka wakristo, hasa wakathoric wamejipanga kibaguzi duniani. Baada ya serikali kuanzisha shilule nyingi za Kata ikaonekana kuwa watoto wa dini zote wanapata elimu na kustahili kuingia vyuo vikuu nchini. Serikali akaanzisha mfumo wa udahiri wa wanafunzi kuingia vyuo vikuu waliokuwa wakiuita Central Admission System (CAS) ambapo wanafunzi walikuwa wanaomba TCU kwa njia ya mtandao (online) na mfumo wa TCU ulikuwa unachagua watoto wenye ufaulu bila kubagua dini kwenda vyuo vikuu. Baada ya kuona mfumo huu haubagui dini au vyuo vya kusoma wamiliki wa vyuo vikuu binafsi vya dini wakamfuata mkuu wa nchi asimamishe Mara moja CAS ili vyuo vichague vyenyewe wanafunzi wao wanaotaka kuwachagua. Lengo kuu LA kufanya hivyo sio lingine bali kupata uwezo wa kufahamu na kuchagua idadi ya watoto na dini zao kwenye vyuo vyao badala ya kuletewa na TCU wanafunzi wasiojulikana dini zao. Kwakutumia CAS ya TCU waislam walionekana wengi sana pia kwenye vyuo vikuu vya madhehebu ya kidini.
Eti wakamfuata Mkuu wa Nchi asimamishe Mara moja.

Hahahahaha....unaweza kuweka ushahidi hapa?

Hebu thibitisha hili tuamini.

Wafuasi wa Bwana Mudy bana

Nasubiri uthibitishe hili

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yeye ni kiongozi wa dini ya kiislamu acha ajenge misikiti ili watu wakamwabudu MWENYEZIMUNGU

Viongozi wa kisiasa kupitia kodi za wananchi watajenga shule

Au wewe wasiwasi wako nini
Maaskofu wanamcheka, ibada na Kazi, Kazi na elimu. Yeye kabaki kulekuke kwa fungeni kwa kuuona mwezi.
 
Eti wakamfuata Mkuu wa Nchi asimamishe Mara moja.

Hahahahaha....unaweza kuweka ushahidi hapa?

Hebu thibitisha hili tuamini.

Wafuasi wa Bwana Mudy bana

Nasubiri uthibitishe hili

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ushahidi ni CAS kufa baada tu ya JK kumaliza muda wake na JPM (Mkathoric) kuanza Kazi, kwanini shule zirejeshwe kwa wakristo na Mkapa (cathoric) baada tu ya Mwinyi kumaliza kipindi chake.

Hakuna siri wala ubishi wakathoric ndio wenye shule na vyuo Vinci nchini. Pia wanaongoza kwa kukalia ardhi kubwa ya nchi hii.
 
Ushahidi ni CAS kufa baada tu ya JK kumaliza muda wake na JPM (Mkathoric) kuanza Kazi, kwanini shule zirejeshwe kwa wakristo na Mkapa (cathoric) baada tu ya Mwinyi kumaliza kipindi chake.

Hakuna siri wala ubishi wakathoric ndio wenye shule na vyuo Vinci nchini. Pia wanaongoza kwa kukalia ardhi kubwa ya nchi hii.
Kwanza Cathoric ndio nini?
 
Maaskofu wanamcheka, ibada na Kazi, Kazi na elimu. Yeye kabaki kulekuke kwa fungeni kwa kuuona mwezi.


Sio kufunga tu hata kufungua na si kuuona tu hata kusikia

Suala la elimu ni jukumu la mwanadamu kuitafuta elimu popote pale ilipo na ndivo maandiko yanavoamrisha

Acha mapadre wamcheke tu hiyo isikupe shida
 
Unaonekana kuwa hata hujui waislam walipewa majengo ya Tanesco kufungua chuo. Hili lilikuwa changa la macho ili kuwaziba mdomo baada ya Wakatoric kupewa/kurejeshewa majengo ya iliyokuwa shule ya Forodhani DSM, Walutheri kupewa majengo ya iliyokuwa Magamba secondary Lushoto na Anglican kupewa majengo ya iliyokuwa Mazengo secondary ilipo St. Jonh's University Dodoma. Kwa aibu ikamlazimu Mzee Mkapa kuwapa waislam majengo ya Tanesco. Lakini lengo kuu hasa ilikuwa ni Wakatoric kupewa Forodhani, wengine walikuwa by the way.
Kumbe walirudishiwa iliyo halali yao? Na nyie ombeni mrudishiwe vya kwenu
 
Kwenye suala la elimu waislamu acheni kutulaumu wakristo. Laumu haisaidii. Tatizo mnalijua je mnafanyaje? Wekezeni kwenye elimu dunia. Uwezo huo mnao. Wakatoliki kila wanapojenga kanisa hununua eneo lenye ukubwa Wa hekar kama tano. Hujenga kanisa kisha huongeza Huduma kidogo kidogo kadiri muda unavyokwenda. Muda ukipita wanaongeza shule, hosipitali Na mwisho vyuo. Huduma zote hizi ni kwa ajili ya waumini wao. Kwa upande Wa waislam msikiti unajengwa kwenye eneo la 30*20. Linakwisha lote. Kesho hata wafikirie kuongeza kitu hakuna pa kukiweka. Hatua ya kwanza ni kubadili mindset zao. Kukaa mkiwa mnalaumu haitasaidia. Educate your masses and then fight for the little slice of bread that is there. Don't complain without taking even a single step. Do something and do it now.
 
Kwanza tuchague Mufti mwenye PhD na sheikh wa mikoa wenye Masters na masheikh wa wilaya wenye degree au diploma hata ikibidi kuwatoa mashariki ya mbali. Sheikh ambae amuozesha bint yake mwenye miaka 12 hafai kuongoza waislam wa zama hizi. Mtume SAW aliposema itafuteni elimu hata ikibidi Uchina alijua kuwa zama za akina Mama Samia kuwa Rais zitakuja.

Maaskofu na mapadre wana elimu kubwa wakati masheikh sifa yao ni moja tu.

Tatizo sio elimu mkuu, Wengi wa hao mashekhe wanaelimu yakutosha, Wengi wao wana Masters, kwa uchache Degree. Tatizo ni Bakwata, Wapo pale kwa ajili ya Maslahi ya CCM na si maslahi ya waislamu.
 
Back
Top Bottom