Jadili utolewaji wa elimu kwa jamii yote na si waislamu tu. Wamasai na waislamu wepi wamenyimwa elimu zaidi?
Tanzania elimu yetu kwa ujimla ipo nyuma, si wakiristu si waislamu si wapagani.
Mimi kama mtaalamu wa elumu nashauri ujadili elimu bora kwa kila mtanzania, suala la vikundi vikundi halina mantiki. Shule za serikali zipo kwa ajili ya kila mtu.
Bakwata walirithishwa na warabu kujenga msikiti na si shule.
Bakwata inaendeshwa na mashehe, unategemea watajenga shule ?
Bakwata wameshindwa kuzisimamia shule zilizopo , je wataweza kujenga zingine ?
Mind set ya waislamu inatakiwa ibadirike, waige warabu wa Dubai, wamefanya mapinduzi ya kifikra na kuachana na fikra za jadi ya kiislamu.
Waige wa Iran wametoka kwenye dhana ya kusubili akhera na kuijenga mifumo ya dunia ya kisasa.
Ukienda msikitini ni mawaidha ya hadithi za mtume tu, hakuna kujadili changamoto za kielimu,sayansi na teknolojia, hii ni kwa sababu uelewa wa mashekh ni hadith za mtume tu, habali za Globalization haziwahusu,uwekezaji hauwahusu.
Kila ijumaa unazikiliza hadithi ile ile mpaka unazeeka.Unatalajia jipya mkuu,.
samahani kama nimekukwaza ila uwongo kwangu mwiko.