Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Sheikh Mkuu Zuberi jenga shule kubwa badala ya misikiti mikubwa

Taasisi ya Roman Catholic wana chuo kikuu. Kinaitwa St Augustine University, kipo Mwanza.

Taasisi ya Lutheran(KKKT) ina chuo kikuu, kinaitwa Tumaini University. Kina matawi mikoa mingi sana TZ.( KCMC ni tawi mojawapo la Tumaini University)

Taasisi ya Anglican ina chuo kikuu kinaitwa St John University kipo Dodoma.

Taasisi ya SDA(Wasabato) wana chuo kikuu kinaitwa University of Arusha, kipo Arusha.


TAAAISI ZA KIISLAM ZINA NINI?

Bado tu hujaona tatizo mlilonalo waislam kwenye kuipa elimu kipaumbele?
Uislamu sio kama ukristo,ukristo uko umegawanyika madhehebu mengi sana,hata salamu wanatofautiana,kuna Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kristo,unafikiri wanaweza kuwa kwenye chuo kimoja.Ulizia ajira katika vyuo hivyo,kama utamkuta mwalimu au mfanyakazi wa dhehebu jingine labda awe mfunga milango.
 
Kusalimiana kwenu tu kuko tofauti kuna Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kiristo.Ndio wataka kuniambia hamna utofauti.
Vijana wa Bwn Mudy Hamna akili, ndio maana hamuitaki elimu na elimu haiwataki

Unazungumzia salamu tu?[emoji23][emoji23][emoji23]

Ninyi mnavyotofautiana BAKWATA, BALUKTA , mpaka mnalialia tu kila siku kama watoto wadogo kuhusu BAKWATA

Mtabaki kuwa wa kulalamika na ubishi usio na maana mpaka siku ya mwisho
 
Uislamu sio kama ukristo,ukristo uko umegawanyika madhehebu mengi sana,hata salamu wanatofautiana,kuna Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kristo,unafikiri wanaweza kuwa kwenye chuo kimoja.Ulizia ajira katika vyuo hivyo,kama utamkuta mwalimu au mfanyakazi wa dhehebu jingine labda awe mfunga milango.
Ewe bin Muddy wacha Urongo weyeee
Screenshot_20210508-222240~2.jpg
 
Wanawaangusha vp Wakati mitihani inafanywa kwa namba?
Kila mwenye namba kwenye karatasi ya uhakiki kuna majina 3 ya mtahiniwa anapoweka saini kuthibitisha amefanya mtihani.

ndalichako iliwahi kutolewa madarakani na team yake yote endapo kumbukumbu ipo sawa.
 
Vijana wa Bwn Mudy Hamna akili, ndio maana hamuitaki elimu na elimu haiwataki

Unazungumzia salamu tu?[emoji23][emoji23][emoji23]

Ninyi mnavyotofautiana BAKWATA, BALUKTA , mpaka mnalialia tu kila siku kama watoto wadogo kuhusu BAKWATA

Mtabaki kuwa wa kulalamika na ubishi usio na maana mpaka siku ya mwisho
Hizo ni Taasisi sio madhehebu,tofautisha Taasisi na madhehebu.Wote hao ni Sunni.Povu ruhsa.
 
Bakwata ni taasisi kwel lakin si Kwa minajil ya waislam Kwanza muanzilishi wake si muislam dhima zake si za kiislam viongozi wake ni waislam lakin wanatumikia serikal na wanalipwa mishahara.
 
Hii Nchi inawasomi wengi sana ila kutengeneza hata sindano hawawezi
 
Huu uzi kuna huyu jamaa Tangantika ameutendea haki sana, anatumia lugha nyepesi sana inayoeleweka vyema sasa sijui kwanini mtu unaamua tu una-crush hoja kwa kutumia hoja ambazo umeshaambiwa mapema kwamba kwa wakati huu tunaoishi zipo outdated ila wewe unang’ang’ana ndo sahihi.

Tatizo watu, wengi wetu hata penye ukweli tunapenda sana kutia ugumu.mie sitakuwa biased,hoja hai zizingatiwe though aliyeshauri hivyo dhahiri shahiri inaonekana hii ndo imani yake na kusoma kwake kumemfungua akili amefanikiwa kuona kosa lilipo so mawazo yake yachukuliwe yale yanayofaa yafanyiwe kazi,mtu asijidanganye kwamba kuna siku atazuka mtu kutoka nje yenu kuwakumbusha haya muhimu hawa wachache waliofunguka hawa hawa wawekwe front line.

Kwa sasa ni hayo!!!
 
Wana chuo kinaitwa MUM kilichojengwa kwenye jengo la TANESCO walilopewa na Hayati BW Mkapa.
Unaonekana kuwa hata hujui waislam walipewa majengo ya Tanesco kufungua chuo. Hili lilikuwa changa la macho ili kuwaziba mdomo baada ya Wakatoric kupewa/kurejeshewa majengo ya iliyokuwa shule ya Forodhani DSM, Walutheri kupewa majengo ya iliyokuwa Magamba secondary Lushoto na Anglican kupewa majengo ya iliyokuwa Mazengo secondary ilipo St. Jonh's University Dodoma. Kwa aibu ikamlazimu Mzee Mkapa kuwapa waislam majengo ya Tanesco. Lakini lengo kuu hasa ilikuwa ni Wakatoric kupewa Forodhani, wengine walikuwa by the way.
 
Idadi ya wiaslamu wako kwenye vyuo vikuu, ofisi za umma na sehemu zote za utumishi ni ndogo sana kulinganisha na watu wa dini nyingine.

Bila shaka pamoja na mambo mengine ya kihistoria, imani, ukabila, ukanda na kiuchumi lakini idadi ndogo ya watoto wa kiislamu kwenye vyuo vikuu ukilinganisha na watoto wa dini nyingine inaweza kuwa sababu ya msingi ya shida hii

Badala ya kuwaza kujengewa misikiti mingi na mikubwa weka jitihada zako kwenye kujenga shule na vyuo vingi ambako watoto wengi wa kiislam watapata ilmu dunia pia. Elimu hii ndiyo inayotoa wahandisi, madaktari, wauguzi, walimu, marais, mawaziri, wakurugenzi na watumishi wengine.

Fanya sensa ya watumishi kwenye kila wizara, ofisi, shule Na vyuo vya umma Na binafsi ujionee hali ilivyo. Pitapita huko uone idadi ya walimu wa vyuo vikuu huko.

Mazoezi ya kuhifadhi Qur'an yaende sambamba na mazoezi ya kuhifadhi hisabati Na fizikia kwenye madrasa zao.

Kama viongozi wa ofisi mbalimbali wengi ni wa dini fulani bila shaka watumishi wanaotegemea maoni yao kwenye kuajiliwa na kuteuliwa kwenye nafasi mbalimbali bila shaka watakuwa kama wa dini za wanaowateua. Like dissolve like.
Laiti ushauri huu ungesikilizwa na kufanyiwa kazi, tungeondokana na malalamiko ya kipuuzi ya udini ambao kwangu nauona kama uduni.
 
Sio waisilamu tu, Hata wakiristo.
Wako busy kujenga makanisa, vishule vya watoto wao vipo hovyo.
Waislamu na wakiristo wote waamke akili, waache tabia ya mkoloni ya kuwadumaza akili misikitini na makanisani.
Watu wote tuboreshe shule zinazotuzunguka, kwa kweli ni kama magofu, hizo saint ni chache tu na wala sio tegemeo ka jamii kubwa bali wachache tu.
Wachungaji ba mashehe hawzhawahi kuitisha harembee ta shple zinaziwazunguka bal kuongeza majengo.
Tanzania haina uhaba wa misikiti na makanisa ila shule, hospitali na vifaa vyake.
Huwezi shindana na kanisa kwenye maswala ya elimu
 
Uislamu sio kama ukristo,ukristo uko umegawanyika madhehebu mengi sana,hata salamu wanatofautiana,kuna Bwana Yesu asifiwe na Tumsifu Yesu kristo,unafikiri wanaweza kuwa kwenye chuo kimoja.Ulizia ajira katika vyuo hivyo,kama utamkuta mwalimu au mfanyakazi wa dhehebu jingine labda awe mfunga milango.
Uko sahihi San mm leo Ni mluther lkn Ni vigumu Sana mmkutimba kwenye taasis za Catholic kupata Kaz uwez Pat ata Kam una uwezo wa kutisha hupati haki mungu uatapata katk dhehebu lako hvyo Kuna tatizo Apo Kama taifa Sana waingilie kati kuchanganya watu wa dini tofauti tofaut katk taasis wanazomiliki wao ..baba ulipotaja Apo Ni majanga apo mleta uzi c wa bwan asifiwe Ni tofauti kabsa na tumsifu yesu kristo nk
 
Back
Top Bottom