Hapana nina akili timamu ndio maana nina uwezo wa kuwaambia lugha hii nzuri, hii mbaya, msafianye hivi au mnapotoka mkisema vile, pale kuna fitna, hapa kuna hikma n.k.
Isipokuwa mnipe heshma na hekma,msinisabishe na MS, hilo tu ndilo ninalowaomba.
Asalaam aleykum Al-Akh,
Sheikh Mohammed Said kwa muda mrefu tumekuwa tukijadiliana kwa marefu na mapana kuhusu historia ya Tanzania. Ukaleta kitabu cha life and times of Abdulwahid Sykes watu wakakubeza. Kikaja kitabu chengine cha the Rise of Muslim Militants wakakubeza. Ukweli umeanza kujitokeza bungeni sasa baada ya Tundu Lissu kumwaga hadharani mtama kuwa kiini cha Tatizo la nchi hii ni nani na kwanini? Na mambo yanavyozidi kwenda mbele nadhani mengi yatajitokeza hadharani. Kassim Hanga alivyokuwa ametamkwa nilitokwa na machozi kwani kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiogopa kusema what happened to this person na who is responsible for his death. Na wengineo wengi.
Binafsi nakupa hongera ukweli umeanza kudhihirika. Na akina Nguruvi, Mwanakijiji na wengineo mtakeni Radhi Sheikh Mohammed kwa kumbeza na usoni mambo yatazidi kuja hadharani na mchakato wa katiba hii.
Nilikuwapo!
Ahsante, kama ukweli wangu ndio huo unaoita basi na iwe. Mumenialika wala sikuwa na haja ya kutokea hapa.Huyu Nguruwe ni mshenzi tu!
Humshughulishi mtu hapa,wacha tukutie majiti tu mpaka ukome!
Mohamed Said anajulikana kote Ulimwenguni kwa kazi zake bora kabisa!
Hii leo JF ikizima savers zake tutakusahu, hakuna anae kujua nje ya hapa!
Nakushauri utoe ule mwiba wa ---- kwanza kabla hujaendelea na mazungumzo haya. Kwenye hii mada huna HOJA bali ni UHARO tu unaandika!
Unatupa wasiwasi mtoto wa kiume kutumia neno "MKOME"Nashukuru kile kidogo nilichojaaliwa. Naomba unihifadhi al habib, kuninasabisha na MS mnanitia unyonge. Tafadhalini sana naomba mnipe stara kidogo.
Heshima kitu kidogo, nina waheshimu sana, nami naomba heshima yenu japo kidogo, mkome kuninisabisha na MS.
Ninachosema ni kuwa jina la MS lisiambatanishe na ID yangu. Hayo mengine mwasema ninyi.Nguruvi3
Duh! nimesoma bayana zako nimesikitika sana lakini sikushangai hili libichwa kuwa kubwa unapewa kule jukwaa la"great thinkers" na wale kina mchambuzi na wengineo,mimi nikisoma post zako sioni jipya.
Unaposema usinasibishwe na mzee MS nashindwa kukuelewa kwamba wewe ni "great thinker" zaidi yake au unapenda tafaghuri/sifa kwa huo uharo/uranium unao walisha wale wanaojiita "great thinkers" kule kwenye lile jukwaa lako/lenu.
Kama utakumbuka kwenye ule mjadala aliyeanzisha yule fundi mchundo aka Yericko tuliwararua raruraru mpaka mkakimbilia kwa mods,sasa leo haya yanayozungumzwa na Tundu Lissu ndio yale Yale tuliyasema kwenye ule uzi ni hayo tu.
Al khakir, mtendeeni haki Maalim MS. Ninyi ni wanafunzi wake, watu watajiuliza mwalimu yu hali gani?Hatuwez kukunasibisha na moh said
Infact huingii hata kwenye nafas ya viatu vyake
Tunakuombea duaa tuh uifaham haki na uwendawazimu ukutoke
Kwa sababu ktk akili ya kawaida huwez kushupalia copy n paste za tundu lisu kisha ukaja kuzishambulia na kuzibeza original facts kutoka kwa moh said n dr harith ghasamy
Nguruvi3 naona sasa umegeuka chanuoo,,kazi zako ni mbili tuh kuchana nyweleee na kusuka nyweleee...
Teh teh teh
Vip ming'oko itapanda lkn??naona ushaanza kukosa hata hamu ya kula...
Ogopa hizi sura nguruvi3...
We are capable of giving injuries to stones,hospitalising the rock..,,,madrasa product we are so mean we can make even the medicine sick...
Teh teh teh...
Pole nguruvi3...hata km ni chungu vumilia tuh ndivyo haqi ilivyo...
Huwa inachoma choma
Kwi kwi kwi kwi....
Hayo mwasema ninyi, mimi nimewaomba jambo moja tu, msihusishe ID yangu na MS.Hivi nje ya Jf nani anakujua? Yaani wewe kukaa kuwadanganya vilaza wenzio kwenye kijithread chenu cha Siasa unajiona ndio kila kitu,
Kithread chenyewe mmejifungia mnaulizana mnajibishana wenyewe nakujifanya mnajua sana mambo, mimi huwa nawaona kama mazuzu tu,
Sasa wewe kweli wakujifananisha na MS kwa lipi hasa? Au kaumaarufu ka Jf ushajiona na wewe Super star?
Naomba shekh unitendee haki, usihusishe ID yangu na MS. Kwaweli atakaye kutia jiti la moyoni ni pale anaponitaja halafu akamtaja MS. Huku najisikia mnyonge sana.Fitna hizo hizo ajabu amesimama lisu kuzisema mnapgia makofi teh teh teh
Kweli ni bora kukosa mali kisha angalau upate akili
Chutama nguruvi3 tumewaweka uchi mchana kweupee teh teh teh
Msicheze na huu moto nyinyi Mtaungua...
Oooh...
Unapoint nzuri but hapo kwenye kijani vipi............................?
Wewe kujifungia kule kwenye jukwaa lako unaandika uharo unataka kujifananisha na Mohamed Said, ha ha ha ha.Ni heri kuliko kuzunguka duniani nikieneza fitna.
Mkuu gombesugu,
Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh.
Ya nini nawe kujigeiya uzito kwa hoyo Ntuzu...?!!
Hizo dakika ulifanza Shar he, ungeliwajuza chochote kitu wanajamvi hapa lakini sijali maana pia wameokota faida.
Hoyo kiumbe mie nlimpita pahala nikamsabahi badali yake kafanza kama hapo juu,
Nikashika zangu safari.
Ghafula mwandie ndo nijuza kuwa ati leo ni siku ya KUCHEKACHEKA daah.... ! Nkastaajaba sana na kujiuliza hata MSUKUMA hunu ana haya leo...!?
Ntarejea.
Al khakir, mtendeeni haki Maalim MS. Ninyi ni wanafunzi wake, watu watajiuliza mwalimu yu hali gani?
Ninayoandika mimi MS hawezi kusoma kwa sauti kwasababu hata pronounciation hawezi.
Ninaandika ukweli siyo uzuzshi . Mimi sifungi safari nikaaga mke na watoto nikabeba mkoba kwenda Ibadan kuudanganya na kueneza fitna ulimwengu tena nikisema nafanya hivyo kwa imani ya Dini.
Dini imekataza kusengneya, uongo na kila aina fitna. MS kafunga safari kuzunguka duniani kueneza fitna, ushahidi ni Ibadan University. Mwambieni akaombe radhi kwanza.
Jamani niacheni mnapolinasiibisha jina langu na MS najisikia dhalili, najisiki mnyonge na najisikia mumenivunjia heshima.
MS ni kiongozi wa kundi la matusi, huko sipo mimi nina stara zangu.
Ninatumia akili, kundi la MS halipaswi kutumia akili, The Big Show chonde chonde muungwana, nistahi nduguyo. Kunifungaminisha na fitna ni kunitia wahka, napata simanzi mwenzenu.
The Big show, nazi koroma si nazi hiyo, ukiilinganisha na nazi wapishi hawakuelewi.
MS namwachia na vidaka, mimi nina stara zangu mkuu. Kuongea kama mtu aliyekunywa ndaza siwezi.
Najaalie hapo Ligula, inshallah naweza teremeka huko. Nikipata wasaa nitakuita tupate japo gahwa.
Salaam kwa ahli na watoto waambie miye mzeeni.
Wewe kauzu kweli hivi kuna mtu kaletwa JF na Mohamed Said? kila mtu kajiunga JF kimpango wake wewe umeletwa JF na nani Mbowe au Lema?Mkuu Nguruvi3 pole sn!
Ni mategemeo Yangu Mzee Mohamed Said ataweza kuja hapa Ktk hii thread na kutuliza Hali ya hewa. Lakini kama ataendelea kukaa kimya na kuacha Hawa wanaojiita zao la madrasa kuongea sana, basi wataharibu kabisa ile sifa ya Huyu Mzee na kufanya Yale madai kwamba ni gwiji Wa history itakwisha na kabuki Kua ni udini etc!
Na pia nyie mnaomtetea Huyu Mzee Mbona mnatoa lugha mbaya sana? Haya ndio aliyowafundisha Ms? Au haya ndio mnayofundishana Huko?
Mzee MS Nakuomba uje hapa utulize vijana wako vinginevyo hoja za Guruvi3 zitakua na Nguvu sana kwamba Wewe si Mwana history Bali ni mdini Na unaeneza chuki.
Nitakuwa muongo zaidi ya ule wa Ibadan?Tuoneshe japo moja uliloandika likachapishwa, tupe reference.
Ukishindwa ujuwe wewe ni muongo, mzandik, mnafik, fataani.
Nitakuwa muongo zaidi ya ule wa Ibadan?
Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema Nyerere kaja Dar 1950? Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema Abdul hakumjua Nyerere hadi 1964. Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyeleta takwimu za Daily news kama ushahidi?
Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema research ya uongo?
Nitakuwa muongo zaidi ya yule aliyesema balozi kahutubia bunge?
Sidhani!