shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Ndo ututhibitishie bunge na mahakama kutokua huruMahakama na Bunge haviko huru rejea uwepo wa Wanawake kumi na tisa Bungeni kama wabunge wa vitu maalum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ututhibitishie bunge na mahakama kutokua huruMahakama na Bunge haviko huru rejea uwepo wa Wanawake kumi na tisa Bungeni kama wabunge wa vitu maalum
Maamuzi yote hupangwa na Serikali kuu.Ndo ututhibitishie bunge na mahakama kutokua huru
Hasa Serikali ya chama cha mapinduziMaamuzi yote hupangwa na Serikali kuu.
Kupiga ramli chonganishiAtakuwa huko kakalia fuvu
Walikuwa wapi serikali mpaka yakapoteaAkitoa hotuba yake, Sheikh Muharam Mziwanda amedai kwamba Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena bandarini.
Kama ni kweli, je ujio wa DP unaenda kukata mirija ya hawa ndugu? Kuna tetesi kwamba maelfu ya makontena hupitia jina la kanisa hili kwa lengo la kukwepa Kodi.
Je kanisa linachepushaje makontena? Wanahofia kwamba DP Sasa inaenda kuwabana kwa sababu watakuja na teknolojia?
View attachment 2723583
Mwambieni huyu shekhe kwamba kanisa katoliki ndiyo lenye dunia.
Na dunia nzima inafahamu kwamba magaidi wote ni waislam. Akina shekhe Mselem wamekaa miaka 6 jela kwasabb ya ugaidi na siyo kupinga uuzwaji wa bandari.
Serikali ni kila mtu hata wewe unapopewa dhamana unakuwa ni sehemu ya serikali , ulihitajika kufanya kazi kama ulivyoajiriwa kwayo na sio kupendelea watu wa imani yako au marafiki zakoWalikuwa wapi serikali mpaka yakapotea
Mwizi mwafrika wa italy RomaSheikh mwarabu
CCM wapo tayari kuvuruga nchi kwaajili ya kunenepesha matumbo yao.Akitoa hotuba yake, Sheikh Muharam Mziwanda amedai kwamba Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena bandarini.
Kama ni kweli, je ujio wa DP unaenda kukata mirija ya hawa ndugu? Kuna tetesi kwamba maelfu ya makontena hupitia jina la kanisa hili kwa lengo la kukwepa Kodi.
Je kanisa linachepushaje makontena? Wanahofia kwamba DP Sasa inaenda kuwabana kwa sababu watakuja na teknolojia?
View attachment 2723583
Nakuapia una utapiamlo mkali wa akili.Kataa matamko ya wachumia tumbo TEC ..
Tupinge wachumia tumbo tangu ESCROW .
Tupinge udini kabisa.!!
Kichaa wewe kaone Dp world inafanya kazi hao matapeli wako hawataki kumzika Ole Mushi 🤣🤣...Kazi inaendelea hao wanadanganya wapuuzi kama wewe sio serikaliNakuapia una utapiamlo mkali wa akili.
TEC inaona mbali sana we mburura tena kwa ustawi wako na vitoto vyako.
TEC ni taasisi kubwa sana yenye maono na iliyosheheni wasomi kuliko taasisi yoyote.