Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

Walikuwa wapi serikali mpaka yakapotea
 
Walikuwa wapi serikali mpaka yakapotea
Serikali ni kila mtu hata wewe unapopewa dhamana unakuwa ni sehemu ya serikali , ulihitajika kufanya kazi kama ulivyoajiriwa kwayo na sio kupendelea watu wa imani yako au marafiki zako
 
CCM wapo tayari kuvuruga nchi kwaajili ya kunenepesha matumbo yao.
 
Uendawazimu mkubwa huu!
Huyu si ndio yule mwenye vinasaba vya ukichaa?
Wanasema kwao wana vinasaba vya ukichaa
 
Kataa matamko ya wachumia tumbo TEC ..

Tupinge wachumia tumbo tangu ESCROW .

Tupinge udini kabisa.!!
Nakuapia una utapiamlo mkali wa akili.
TEC inaona mbali sana we mburura tena kwa ustawi wako na vitoto vyako.
TEC ni taasisi kubwa sana yenye maono na iliyosheheni wasomi kuliko taasisi yoyote.
 
Nakuapia una utapiamlo mkali wa akili.
TEC inaona mbali sana we mburura tena kwa ustawi wako na vitoto vyako.
TEC ni taasisi kubwa sana yenye maono na iliyosheheni wasomi kuliko taasisi yoyote.
Kichaa wewe kaone Dp world inafanya kazi hao matapeli wako hawataki kumzika Ole Mushi 🤣🤣...Kazi inaendelea hao wanadanganya wapuuzi kama wewe sio serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…