tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu ,kazi Yao ni kupinga Kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Naona Shekhe baada ya kuchafua hali ya hewa huko twitter umeona umalizie huku JF