Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Bandarini

Kila mwezi nashusha kontena mbili tatu kutokea Canada na USA.

Wewe Pengine ushavaa mitumba ya nguo na viatu nnavookota Canada na kuvileta huko.

Unafikiri mimi Shivji mwenye kujaza watu ujinga?
Bila shaka utakuwa muajiriwa wa muda mrefu wa hao maboss wanaoshusha kontena mbili kila mwezi umeamua kujipa ukuu hapa jukwaani kwamba wewe ndie boss. Maboss wengi hapo kariakoo ninao wafahamu hawana hulka ya kubwabwaja mitandaoni kujikomba kwa watawala ama kusifia kama hufanyavyo wewe
 
Sasa mwaipopo na uchambuzi wa mikataba wapi na wapi? mambo mengine wawe wanakaa kimya wasijidhalilishe
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Sheikh Mwaipopo? ndio namsikia leo, huyu hapa anatoa povu kisa Udini tu na si hoja.
 
Kwa hiyo ccm wamemtuma huyu kumjibu hoja za Pro!CCM wameishiwa kila kitu Sasa wamebaki na udini
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
Wakina Faiza wameugeuza huu mjadala kama vita ya Jihad😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Huyu sheh naye anapenda kutafuta kik...

Ova
 
Qaliosomeshwa na Shivji ndiyo katika walioenda shule za kusomea ujinga.

Ndiyo maana Tanzania inadidimia kwa kuina mtu kama huyo ana maarifa.


Mie nilikuwa nahisi mtu mwenye maana kumbe poyoyo.

Unaoewaje maarifa na mtu asiye na maarifa? Unajazwa ujinga tu.
Wewe kwako maprofesa ni wale wa MUM tuu.Hawa wengine wanafundisha ujinga.
 
Shekhe Mwaipopo acha lugha za kibaguzi kama unapinga pinga hoja za Issa Shivji.
 
Hii nchi shida sana. Issue ya bandari ni nyeti na inamgusa au itamgusa kila mtu. Inashangaza sana mtu anakosa hoja za msingi anakimbilia kwenye kichaka cha udini. Sasa huyo Shehe Mwaipopo ana hoja gani ya maana au mchango wa kulinganisha na Professor Shivji. Akipata nafasi ya kukutana na Mwl. Nyerere aje aulize mchango wa Prof. Shivji. Unauliza Mwalimu wa chuo kikuu mbobezi eti ana mchango gani kwenye nchi hii!! Au anafikiria Profesa ni jina lake.
Hili suala la bandari halina dini ni watanzania wote. Na watanzania wanayo haki ya ya kuambiwa ukweli kuhusiana na uendeshaji wake.
Sasa huyo shehe kaingizaje udini hapo? Akitoa shehe maoni yake unasema udini ila wale wa dini nyingine wakitoa maoni yao au wakipinga kitu huwezi kusema udini!

Ni wapi huyo shehe kaingiza udini hapo? Au wewe ndio una udini.
 
Hawa kina Mwaipopo wakishashiba pilau na vitumbua halafu wakapigiwa makofi na wafuasi wao wanajiona wana akili sana, anatetea ugoro wa bandari kwa sababu ya udini hajui hata kilichoandikwa kwenye mkataba
 
Back
Top Bottom