Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Bandarini

Kila mwezi nashusha kontena mbili tatu kutokea Canada na USA.

Wewe Pengine ushavaa mitumba ya nguo na viatu nnavookota Canada na kuvileta huko.

Unafikiri mimi Shivji mwenye kujaza watu ujinga?
Bila shaka utakuwa muajiriwa wa muda mrefu wa hao maboss wanaoshusha kontena mbili kila mwezi umeamua kujipa ukuu hapa jukwaani kwamba wewe ndie boss. Maboss wengi hapo kariakoo ninao wafahamu hawana hulka ya kubwabwaja mitandaoni kujikomba kwa watawala ama kusifia kama hufanyavyo wewe
 
Sasa mwaipopo na uchambuzi wa mikataba wapi na wapi? mambo mengine wawe wanakaa kimya wasijidhalilishe
 
Sheikh Mwaipopo? ndio namsikia leo, huyu hapa anatoa povu kisa Udini tu na si hoja.
 
Kwa hiyo ccm wamemtuma huyu kumjibu hoja za Pro!CCM wameishiwa kila kitu Sasa wamebaki na udini
 
Wakina Faiza wameugeuza huu mjadala kama vita ya Jihad😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Huyu sheh naye anapenda kutafuta kik...

Ova
 
Wewe kwako maprofesa ni wale wa MUM tuu.Hawa wengine wanafundisha ujinga.
 
Shekhe Mwaipopo acha lugha za kibaguzi kama unapinga pinga hoja za Issa Shivji.
 
Sasa huyo shehe kaingizaje udini hapo? Akitoa shehe maoni yake unasema udini ila wale wa dini nyingine wakitoa maoni yao au wakipinga kitu huwezi kusema udini!

Ni wapi huyo shehe kaingiza udini hapo? Au wewe ndio una udini.
 
Hawa kina Mwaipopo wakishashiba pilau na vitumbua halafu wakapigiwa makofi na wafuasi wao wanajiona wana akili sana, anatetea ugoro wa bandari kwa sababu ya udini hajui hata kilichoandikwa kwenye mkataba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…