King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Huyo Sheikh ubwabwa Tabulasa aka Empty set ndiyo wa kuweka ligi na Prof Shivji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Sheikh ubwabwa Tabulasa aka Empty set ndiyo wa kuweka ligi na Prof Shivji?
Kisa profesa!!
Nop ,Hoja zao.
HATUKATAI UWEKEZAJI TUNAUKATAA MKATABA HATA WAKILIINGIZIA TAIFA BILIONI 50, yaani unamwachia mgeni geti kuu la nyumba yako kufanya lolote analotaka bila kuingiliwa duu kweli unyumbu ni hatariNaunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
View attachment 2674579
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.
Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.
Amesema Rais ampuuze Shivji
Musukuma sio profesa lakini ana kitu, so usimdharau sheikh mwaipopo kisa si prof
Inaitwa kutesa kwa zamuWaislamu wanapambania mabwana zao kupewa inchi
Ma prof wapo tangu enzi za uhuru na bado kapaWa vaa kobazi ni hopeless Ktk hii nchi
Who the hell is Mwaipopo?Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
View attachment 2674579
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.
Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.
Amesema Rais ampuuze Shivji
Like youWho the hell is Mwaipopo?
Nchi hii imejaza wajinga kila kona!
Wa vaa kobazi ni hopeless Ktk hii nchi
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
View attachment 2674579
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.
Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.
Amesema Rais ampuuze Shivji
huyu sio mjinga, bali ni mpumbavuHuyo sheikh apeleke ujinga wake huko
Wewe mla nguruwe na huyo mpuuzi mwenzio woote ni wadini. Nguruwe nyie
POINTWewe umechangia nini?,freedom of speech ipo wapi?,hayo ni maoni yake na huna mamlaka ya kuyapiga Nyundo, hoja ijibiwe na hoja iliyo bora sio vitisho, kama hukubaliani na hoja ya professor, njoo na hoja iliyo bora zaidi
Huyu tapeli na mganganjaa kama baba yake Abubakar Mwaipopo jambazi aliyesilimishwa na kuwaibia waislam hadi uarabuni. Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka. Hana alijualo zaidi ya njaa. Huyu anaweza kutoa hata nyumxxx mradi tonge liingie tumboni. Si shehe bali shehena tena la maviiiiNaunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.
View attachment 2674579
My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..
Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.
Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.
===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.
Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.
Amesema Rais ampuuze Shivji