Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Huyo Sheikh ubwabwa Tabulasa aka Empty set ndiyo wa kuweka ligi na Prof Shivji?
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
HATUKATAI UWEKEZAJI TUNAUKATAA MKATABA HATA WAKILIINGIZIA TAIFA BILIONI 50, yaani unamwachia mgeni geti kuu la nyumba yako kufanya lolote analotaka bila kuingiliwa duu kweli unyumbu ni hatari
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Who the hell is Mwaipopo?
Nchi hii imejaza wajinga kila kona!
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Huyo sheikh apeleke ujinga wake huko
huyu sio mjinga, bali ni mpumbavu
 
Sheikh, je wewe umesoma huo waraka au unatoa tu hate speech za kibaguzi?
Jibu hoja za Shivji badala ya kumnukuu waziri mkuu
 
Sheikh
Kwani mzaalendo na mchangiaji wa nchi ni yule tu anayeunga mkono serikali na sera zake?
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Huyu tapeli na mganganjaa kama baba yake Abubakar Mwaipopo jambazi aliyesilimishwa na kuwaibia waislam hadi uarabuni. Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka. Hana alijualo zaidi ya njaa. Huyu anaweza kutoa hata nyumxxx mradi tonge liingie tumboni. Si shehe bali shehena tena la maviiii
 
Back
Top Bottom