Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Sheikh Mwaipopo amuonya Prof. Shivji, amwambia hajawahi kuunga mkono jambo lolote la Serikali toka enzi ya Mwalimu

Qaliosomeshwa na Shivji ndiyo katika walioenda shule za kusomea ujinga.

Ndiyo maana Tanzania inadidimia kwa kuina mtu kama huyo ana maarifa.


Mie nilikuwa nahisi mtu mwenye maana kumbe poyoyo.

Unaoewaje maarifa na mtu asiye na maarifa? Unajazwa ujinga tu.
Kama waliosomesha na Shivji ni wajinga, sasa mtu kama wewe usiyeelewa chochote wala kujitambua,si utakuwa huko ulikosoma ulienda kusomea uwendawazimu? Mtu unabwabwaja bila content yoyote ya maana, si utakuwa zaidi ya taahira?
 
Ni mjinga asiejielewa hata Hivyo watu wote hawawezi fanana Mtizamo
Sasa kama unalifahamu hilo mbona mnamsakama shivji? Kwanini na huyo mwaipopo asiwe mjinga ila mjinga awe ni yule sheikh tuu aliye sema marais waislamu wameuza nchi.

Yaani huyo sheikh ubwabwa na elimu yake ya kukariri kiarabu eti na yeye ana guts za kumsema shivji kweli huyo ni sheikh mavi kabisa
 
Kwa nini unashabikia wanao washambuliwa watu wanaopinga IGA badala ya kujadili hoja zao? Au ndio UCHAWA wa kiwango cha PhD?

AIBU
Kumbuka na wewe ulishapitia kazi ya uchawa sema kwa sasa umepumzika
 
Sasa kama unalifahamu hilo mbona mnamsakama shivji? Kwanini na huyo mwaipopo asiwe mjinga ila mjinga awe ni yule sheikh tuu aliye sema marais waislamu wameuza nchi.

Yaani huyo sheikh ubwabwa na elimu yake ya kukariri kiarabu eti na yeye ana guts za kumsema shivji kweli huyo ni sheikh mavi kabisa
Anapotosha
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Tatizo la wachumia tumbo wanadhani kila mtu anapaswa asapoti kila jambo!!
 
Ww unaamini mchango wa mtanzania ni lazima awe rais, au waziri ndio unajua katoa mchangombu kwa nchi. Kwa taarifa yako mchango namba moja kwa nchi ni kulipa kodi. Na hakuna mtanzania asiyelipa kodi, iwe direct au indirect. Kama Shivji halipi kodi hapo ndio unaweza kusema hana mchango kwa nchi hii.
Huyo anayemkosoa Shivni ni zaidi ya mbumbumbu. Eti hajui Shivji amechangia nini nchi hii! Professa Shivji amefundisha maelfu ya watanzania sheria Chuo kikuu na hdo ni wataalam katika sekta mbalimbali, ameandika vitabu, machapisho katika majarida ya kitaaluma ya kimataifa,, alikuwa anateuliwa na marais katika tume mbalimbali za kitaifa, amekuwa mjumbe wa bodi za mashirika kadhaa kwa kuteuliwa wakili wa Mahakama kuu halafu wapuuzi wanasema ameifanyia nini nchi hii! Hicbo ni kipimo cha umbumbumbu wa hali ya juu. Kinachomuuma huyu shehe njaa ni kuwa Mwislamu Shivji amesima.mia ukweli.
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Ungejibu hoja zake badala ya kumjadili yeye
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Huyu mgalatia anajifanya Muislam sana kuliko Waislam wenyewe
 
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
Mwaipopo ni sheikh mmmh sheikh wa mchongo uyo mwaipopo na uislamu wapi na wapi mwaipopo watu dani ya ukristo tena mararian mbeya tukuyu[emoji16][emoji16][emoji51]
 
Nchi ngumu sana hii
Naunga mkono hoja ya Shekh Mwaipopo.

View attachment 2674579

My Take
Huyu Mjamaa Mzee Shivji ana mchango gani kwenye hii Nchi Hadi anastaafu? Anaejua atujuze..

Kiufupi hana tofauti na Lisu, kazi yao ni kupinga kila kitu.

Watu wa hivi ni useless kwenye jamii.

===
Sheikh Mwaipopo amesema Shivji hajawahi kusapoti jambo lolote la serikali tangu enzi za Mwalimu, yeye kazi yake ni kulaani na kukosoa tu.

Amesema kwa mujibu wa waziri Mkuu ni kuwa, TICTS ilikuwa inaipa Tanzania trilioni 7 kwa mwaka ambapo DPW italipa trilioni 20.

Amesema Rais ampuuze Shivji
😆😆😆😆
 
😂😂😂 sheikh ubwabwa , elimu la 7 . Anaongea nini sasa ?! Kwa prof wa Sheria . Jamani hizi Dini hizi

Musukuma ameishia la 7 lakini ana mambo makubwa ya msingi kumzidi hata mwenye degree, tena degree ya bongo sasa 🤣 may be ni wachache sana.

Hivyo acha dharau kwa masheikh n.k
 
Back
Top Bottom