View attachment 1702454
Sheikh Ponda ambaye ni miongoni mwa Masheikh wanaoheshimika sana na Waislam wa Africa kutokana na kupigania haki za Waislam bila uoga , amesema Juhudi za Makanisa kuwaelekeza waumini wao njia bora za kujikinga na Corona haziwahusu waumini hao pekee , bali zinawahusu wananchi wote wa Tanzania .
Amewaasa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona .
Chanzo : MwanaHalisi Digital
View attachment 1702454
Sheikh Ponda ambaye ni miongoni mwa Masheikh wanaoheshimika sana na Waislam wa Africa kutokana na kupigania haki za Waislam bila uoga , amesema Juhudi za Makanisa kuwaelekeza waumini wao njia bora za kujikinga na Corona haziwahusu waumini hao pekee , bali zinawahusu wananchi wote wa Tanzania .
Amewaasa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona .
Chanzo : MwanaHalisi Digital
How? Ina maana watu hawajiangalii sababu serikali haijasema? Mbona watu wa kawaida wanapeta na wanaendeleza libeneke? Huu ugonjwa hauna fundi so far. Kila mtu lazima ajiangalie vizuriWatu wenye ushawishi kama hawa wanapoamua kuingilia kati mambo haya wanazidi kuwaamsha raia
Shehe wa kweli wa kiislamu anayesimamia ukweli wa Mungu, na sio kama shehe Mkuu na wa mkoa wa Dar ambao ushehe wao ni kwa ajili na ccm na ubaradhuli wao woteHuyo ni wanasiasa sio sheikh...
Shehe wa kweli wa kiislamu anayesimamia ukweli wa Mungu, na sio kama shehe Mkuu na wa mkoa wa Dar ambao ushehe wao ni kwa ajili na ccm na ubaradhuli wao wote
Nasikia mkuu alishafanyiwa ndiyo sababu hajali wala haogopi!Ile itaanzia hapo Ufipa mnapong'ang'ania chanjo na wataanza na viongozi wako wa juu!
Kufanyiwa Nini mkuuNasikia mkuu alishafanyiwa ndiyo sababu hajali wala haogopi!
Freeman?Nasikia mkuu alishafanyiwa ndiyo sababu hajali wala haogopi!
Mbona unarukaruka kama bisi kikaangoni?Freeman?
Afya haina dini asante sheikhView attachment 1702454
Sheikh Ponda ambaye ni miongoni mwa Masheikh wanaoheshimika sana na Waislam wa Afrika kutokana na kupigania haki za Waislam bila uoga amesema Juhudi za Makanisa kuwaelekeza waumini wao njia bora za kujikinga na Corona haziwahusu waumini hao pekee, bali zinawahusu wananchi wote wa Tanzania.
Amewaasa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona .
Chanzo: MwanaHalisi Digital
Tv,Radio na magazeti yepi?Kutokutazama televisheni na kutokusikiliza radio pamoja na kuwa wavivu wa kusoma magazeti ni janga kwa kizazi cha watu fulani.