chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
View attachment 1702454
Sheikh Ponda ambaye ni miongoni mwa Masheikh wanaoheshimika sana na Waislam wa Africa kutokana na kupigania haki za Waislam bila uoga , amesema Juhudi za Makanisa kuwaelekeza waumini wao njia bora za kujikinga na Corona haziwahusu waumini hao pekee , bali zinawahusu wananchi wote wa Tanzania .
Amewaasa wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona .
Chanzo : MwanaHalisi Digital
Kuna mmoja hapa hata naogopa kusema “korona tanzania hakuna”