Yaani aibu yaoWalivyo kama wamepigwa upofu vile:
View attachment 2021274
Hivi inawezekana je kushindwa kutambua hupendeki kiasi hiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani aibu yaoWalivyo kama wamepigwa upofu vile:
View attachment 2021274
Hivi inawezekana je kushindwa kutambua hupendeki kiasi hiki?
Huyo mwenye kilemba na glass mkononi bila shaka ndiye yule "anayeupiga mwingi"Walivyo kama wamepigwa upofu vile:
View attachment 2021274
Hivi inawezekana je kushindwa kutambua hupendeki kiasi hiki?
Huyo mwenye kilemba na glass mkononi bila shaka ndiye yule "anayeupiga mwingi"
Hii ndiyo aina ya akili inatakiwa na ccm hapa tanzania. Na wangefurahia sana Kama kila mtanzania angekuwa na akili Kama ya huyu ZEZETA.Sawa gaidi tumekusikia
Tena na Askari aliyekuwa kwenye difenda. Mungu akakataa Kama alivyokataa kwa LisuAlishawahi pigwa risasi morogoro akifanya mihadhara anajiheshimu anaheshimika namuheshimu sana
Waliokuaminisha wakitaka uwe na chuki kwa mtu ambaye anapenda haki. Ndiyo ujue nchi ina mashetani sana hiiNilipokuwa mdogo sekondari skuli niliamini na kuaminishwa kuwa sheikh Ponda ni mtu mbaya.. asiyefaa katika jamii, muuaji, gaid n.k
Nashukuru nimekuwa mtu sasa naamini kinyume chake.
Naomba Mungu anisamehe kwa fikra zile utotoni.
Una umri gani Mkuu??Nilipokuwa mdogo sekondari skuli niliamini na kuaminishwa kuwa sheikh Ponda ni mtu mbaya.. asiyefaa katika jamii, muuaji, gaid n.k
Nashukuru nimekuwa mtu sasa naamini kinyume chake.
Naomba Mungu anisamehe kwa fikra zile utotoni.
Huyu mwamba waliaminisha umma kama in mchochezi.miongoni mwa mashekhe wachache ninaowakubali sana
Shahidi naye alifungwa kitambaaAwe kada au si kada, anayehubiri dhidi ya dhuluma ana kukwaza nini wewe shahidi uliyepeleka watuhumiwa Mbweni ambako hukuwahi kufika?
Shahidi naye alifungwa kitambaa
Huyu mwamba waliaminisha umma kama in mchochezi.
Ukweli husimamia kile anachokiamini ktk Mungu wake
39Una umri gani Mkuu??
huyo kipalangonto ni yule jamaa wa wizara ya nguvu za kiumeWalivyo kama wamepigwa upofu vile:
View attachment 2021274
Hivi inawezekana je kushindwa kutambua hupendeki kiasi hiki?
Sasa Mbona unavyoelezea ishu za Shekhe Ponda,unaelezea km vile wewe ni mtoto wa juzi?. Sababu kwa Umri wako na jinsi unavyoelezea haviendani.