Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndiyo alipaswa awe Shelhk mkuu wa Tanzania na siyo yule kada wa CCMSheikh Ponda, mwanazuoni maarufu nchini asiyeupa nafasi unafiki amefunguka bayana:
View attachment 2021205
Kwenu viongozi wengine wa madhehebu zingine:
"Ninyi dhuluma hizi kwa wengine haziwafikirishi kabisa?"
Ni mkweli sana lakini utawala katili hautaki watu wa haki kama hawaKiukweli mm CCM makini,nilikuwa na fikra ya hovyo juu ya Shekh huyu jmn, Dah! Mungu anisamehe sana maana sikuwa nimemuelewa uzuri.
Mimi Mkristo-Katoliki mwenye msimamo mkali wa Kikatoliki lakini huyu Shekh ni bonge ya mtu, Mungu ampe afya njema!
Akisema anapigania HAKI unajua kabisa anacho kiongea anakiishi; barikiwa mzee wetu.
Unaomba mvua huku unaua watu wa MUNGU na kuwafunga bila sababu za msingiNi kweli Mungu hapendi dhuluma tatizo tunatamka lakini mioyo yetu imegubikwa na dhuluma nyingi mno ni bahati tu maovu yenu hayajawekwa bayana.
Yule ni kada wa CCM fullKama lile sheikh Ubwabwa la DSM, linafiki kama shetani!
Huyu ni mtumishi wa MUNGU wa kweli na siyo yale makada ya CCMHawa ndiyo walio mashujaa wa kweli wa taifa hili. Kwa hakika historia itawakumbuka.
Umesamehewa mkuuNilipokuwa mdogo sekondari skuli niliamini na kuaminishwa kuwa sheikh Ponda ni mtu mbaya.. asiyefaa katika jamii, muuaji, gaid n.k
Nashukuru nimekuwa mtu sasa naamini kinyume chake.
Naomba Mungu anisamehe kwa fikra zile utotoni.
Hapo hapo wanasema CHADEMA imekufa sasa kama imekufa inatumaje watu?Kila msema kweli mtamuita Chadema,hata Jenerali Ulimwengu ambaye ni Kada wa CCM mlianza kusema ni Chadema.
Jaji Warioba mlikuwa mnasema anatumwa na Chadema.
Na sasa Sheikh wetu Ulamaa Ponda Issa Ponda mliemshindwa kumuua kwa kummiminia risasi pale Morogoro.
CCM wanaona ile Monopoly yao ya kutawala inaelekea ukingoni kama ilivyokuwa kwa UNIP na KANU 😀Hapo hapo wanasema CHADEMA imekufa sasa kama imekufa inatumaje watu?
Akiyeokota urais ,adui wa machinga namuona hapo.Walivyo kama wamepigwa upofu vile:
View attachment 2021274
Hivi inawezekana je kushindwa kutambua hupendeki kiasi hiki?
Akiyeokota urais ,adui wa machinga namuona hapo.
Hizo propaganda za viongozi wa dini kujihusisha na sihasa sasa nani kadhurumiwa wakati watu wanatekeleza majukumu yao huku mnawaona wabaya.
Viongozi wengine wa dini ni wanafiki au waoga,hawana ujasiri kama shehe Ponda.
Wale kazi yao iliyobakia ni kutembea na Ndizi mbivu kwenye mfuko wa kanzu na kutafuta wapi kuna ubwabwa.Huyu ndiyo shekh
Sio wale mashehe ubwabwa wa bakwata
Wapo wengi viongozi wa Dini wasiokuwa wanafiki.Viongozi wengine wa dini ni wanafiki au waoga,hawana ujasiri kama shehe Ponda.
WALIOKO NDANI NIKUTOKANA NA MABAYA YAO HIVI UNASEMA MBOWE ATOKE NJE WAKATI KUNA WATU KAUA KINA WANGWE KINA SAANANE KWAAJILI TYU YA UCHU WA KUWA MWENYEKITI HALAFU UNAKUJA KUHARISHA HAPA KUWA WAACHIWE WATU MAGEREZANI SI UJINGA HUO KAA KIMYA KAMA HUWEZI KUONGEA YA MAANASheikh Ponda, mwanazuoni maarufu nchini asiyeupa nafasi unafiki amefunguka bayana:
View attachment 2021205
Kwenu viongozi wengine wa madhehebu zingine:
"Ninyi dhuluma hizi kwa wengine haziwafikirishi kabisa?"
MTETEA MAOVUWale kazi yao iliyobakia ni kutembea na Ndizi mbivu kwenye mfuko wa kanzu na kutafuta wapi kuna ubwabwa.