Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hivi hapo Allah wake anaweza kumuona kweli 😀😀😀😀Maneno anayoyatoa na vitendo ni tofauti kabisa. Anaonekana kabisa akiwa ana khofu kubwa sana. Inasemekana hapo akiwa amejificha mbali sana. Hakuna AC na hakuna Ventillation. Anaishi kwa wasiwasi na mateso makubwa.
Ukimtizama anaonekana kujawa woga,khofu na wasiwasi. Nadhani Dunia ikemee Israel vitendo inavyofanya vya kuua viongozi wa wenzao. Maana sasa wanaishi kama Digidigi katika pori la Simba.
View attachment 3111850
Jionee Video Kamili
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1840746880378048699?t=0zex9-eKSPEL3FRPBv0etg&s=19
kimsboyManeno anayoyatoa na vitendo ni tofauti kabisa. Anaonekana kabisa akiwa ana khofu kubwa sana. Inasemekana hapo akiwa amejificha mbali sana. Hakuna AC na hakuna Ventillation. Anaishi kwa wasiwasi na mateso makubwa.
Ukimtizama anaonekana kujawa woga,khofu na wasiwasi. Nadhani Dunia ikemee Israel vitendo inavyofanya vya kuua viongozi wa wenzao. Maana sasa wanaishi kama Digidigi katika pori la Simba.
View attachment 3111850
Jionee Video Kamili
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1840746880378048699?t=0zex9-eKSPEL3FRPBv0etg&s=19
Wanaogopa kutumia simu!
Hivi Allah anahusikaje na ugaidi wa Hawa waabudu majini?Hivi hapo Allah wake anaweza kumuona kweli 😀😀😀😀
Hataki kuwahishwa kwa bikra 72Dah gaidi jasho linamtoka
Wamuombe Arsis Awasaidie maana yeye haonekan ila ana balaa
Ushindi ni kumpokea KRISTO siyo kubeba masilahaMungu wa kweli awape neema ya kumfahamu yeye ili waache kuabudu imani zinazowapeleka jongomeo, Amina 🙏
Wanavyo ua wenzao wao wanajisikiaje..? Muuaji unamwoneaje huruma. Kill the killer b4 the killer kill uNimetazama video yote Al Jazeera nimejisikia uchungu na kuwahurumia sana..,alafu unakuta mtu anashangilia na kusema wauwawe! Hivi hata kama ni kweli jamaa ni magaidi, binadam wa kawaida unapata wapi ujasir wa kushangilia mateso ya binadam mwenzio namna hii..,namuomba mola awape mwanga na maharifa waache kushindana na taifa la Israel!
Haha mnachekesha sana nyie mabwege hata Nasurlah alikuwa akitoka Jasho sababu yuko sehemu ambayo haina AC kwa ajili ya usalama wake mnataka aende kwenye majumba kama hoteli wanafiki wawambie Israel yuko hapa 😄Maneno anayoyatoa na vitendo ni tofauti kabisa. Anaonekana kabisa akiwa ana khofu kubwa sana. Inasemekana hapo akiwa amejificha mbali sana. Hakuna AC na hakuna Ventillation. Anaishi kwa wasiwasi na mateso makubwa.
Ukimtizama anaonekana kujawa woga,khofu na wasiwasi. Nadhani Dunia ikemee Israel vitendo inavyofanya vya kuua viongozi wa wenzao. Maana sasa wanaishi kama Digidigi katika pori la Simba.
View attachment 3111850
Jionee Video Kamili
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1840746880378048699?t=0zex9-eKSPEL3FRPBv0etg&s=19
FaizaFoxy vipi hapa ustaadhatManeno anayoyatoa na vitendo ni tofauti kabisa. Anaonekana kabisa akiwa ana khofu kubwa sana. Inasemekana hapo akiwa amejificha mbali sana. Hakuna AC na hakuna Ventillation. Anaishi kwa wasiwasi na mateso makubwa.
Ukimtizama anaonekana kujawa woga,khofu na wasiwasi. Nadhani Dunia ikemee Israel vitendo inavyofanya vya kuua viongozi wa wenzao. Maana sasa wanaishi kama Digidigi katika pori la Simba.
View attachment 3111850
Jionee Video Kamili
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1840746880378048699?t=0zex9-eKSPEL3FRPBv0etg&s=19