Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,271
- 2,903
Haha mnachekesha sana nyie mabwege hata Nasurlah alikuwa akitoka Jasho sababu yuko sehemu ambayo haina AC kwa ajili ya usalama wake mnataka aende kwenye majumba kama hoteli wanafiki wawambie Israel yuko hapa 😄
Anaishi kama panya buku... Maisha haya hivi Mtume naye alikutana nayo? Mwanaume huishi hivi...unatoka unajibu mapambano. Huishi kama dikdik