Haha mnachekesha sana nyie mabwege hata Nasurlah alikuwa akitoka Jasho sababu yuko sehemu ambayo haina AC kwa ajili ya usalama wake mnataka aende kwenye majumba kama hoteli wanafiki wawambie Israel yuko hapa π
Tuendelee kujifariji namna hii. Nacheka lakini moyoni nalia. Jamaa wanatembeza kipigo. Imagine huyu anayeongea anatokwa jasho hivyo. Halafu mimi nipo Buza huku natetea na kujimwambafy. Israel wanatembeza kipigo hatari.dogo tulieni kichapo kimeanza mtamkumbuka Nasurlah alikuwa hataki kuwauwa civilian Leo huko Tela Aviv kunawaka moto
View: https://youtu.be/McQVafZ7eCo?si=e0nUaLrfMZ7hsZOB
Afu hio eti jeshi la Israel limeingia Lebanon wameingiza miguu wamepigwa wakakimbia zao. Jeshi la America wanajidai wao wataingia wacha tuwaone kama watabaki π
Haya ndio makafrii halisi yenye roho ya uuaji ndani yake
Kabisa mkuu.Hivyo waache kutaka ligi na yeye
Kweli kabisa Kuna saa huruma inakuja sema shia wabishi sana kusikia kwao hadi wapitie kashikashi kwanzaNimetazama video yote Al Jazeera nimejisikia uchungu na kuwahurumia sana..,alafu unakuta mtu anashangilia na kusema wauwawe! Hivi hata kama ni kweli jamaa ni magaidi, binadam wa kawaida unapata wapi ujasir wa kushangilia mateso ya binadam mwenzio namna hii..,namuomba mola awape mwanga na maharifa waache kushindana na taifa la Israel!
Leo kwa mara ya Kwanza umezungumza pointNimetazama video yote Al Jazeera nimejisikia uchungu na kuwahurumia sana..,alafu unakuta mtu anashangilia na kusema wauwawe! Hivi hata kama ni kweli jamaa ni magaidi, binadam wa kawaida unapata wapi ujasir wa kushangilia mateso ya binadam mwenzio namna hii..,namuomba mola awape mwanga na maharifa waache kushindana na taifa la Israel!