Sheikh Rusaganya: Kwa mujibu wa Hadithi za Mtume Mohamad, Watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi

OK
 
Da bora mana nilikuwa nafikiria huko peponi nitaenda kuishi vipi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Akiki za huyu shehe ubwabwa ni zaidi ya akili za mbwa!
 
Alichokosa kufafanua hapo ni kuwa, watenda mema watakao ingia Peponi, hawatakuwa na miili ya hapa Duniani bali Watapewa miili mipya na maumbo mapya anayoyajua Muumba wa Mbingu na Ardhi
Alishawahi fika huko peponi? Amejuaje
 
ilo jina tu linaendana na akil zake aache kuupaka uislam najis aonyeshe haya inaosema ivo mbwa uyo
 
Hekaya za abunuasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…