Hizo habari za kutakuwa na mabadiliko zote nimezifikiria, ila bado ni za ujinga tu.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kubagua na kunyanyapaa watu wafupi ni contradiction.
Ingekuwa ufupi ni kitu kibaya kisichotakiwa peponi, asingewaumba watu wafupi hata duniani.
Contradiction hiyo inaonesha habari nzima za kuungaunga kwamba kutakuwa na mabadiliko ni za kutungwa na watu tu.
Habari nzima ya Mungu kuwepo ni uongo usioweza kuthibitishwa. Ina contradiction ya "the problem of evil".
Habari nzima ya peponi kuwapo ni uongo na ujinga tu, ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu anayeweza kuthibitisha peponi kupo.
Bado ni ujinga mtupu.
Ukibisha, thibitisha Mungu yupo na peponi kupo.
Hizo Hadith na Quran zimejaa ujinga na uongo mwanzo mwisho, nikikuwekea hapa huwezi kuupangua.