Sheikh Sharif Jeylan: Niliwafungisha Ndoa Jini Na Binadamu na hadi sasa wanaishi pamoja..

Sheikh Sharif Jeylan: Niliwafungisha Ndoa Jini Na Binadamu na hadi sasa wanaishi pamoja..

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
29,909
Reaction score
32,414


Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Hawa mashekhe nao wamekua na muamko mkubwa sana kwenye mitando kila shekhe anaibua lake kutafuta umaarifu
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Majini na Uislam ni kitu kimoja
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Dalili za wazi za mtu mshirikana, hakuna mafungamano baina ya viumbe ivyo viwili....ni wa kupuuzwa na alichokisema kisifungamaniswe na uislamu.
 
Back
Top Bottom