Sheikh Sharif Jeylan: Niliwafungisha Ndoa Jini Na Binadamu na hadi sasa wanaishi pamoja..

Sheikh Sharif Jeylan: Niliwafungisha Ndoa Jini Na Binadamu na hadi sasa wanaishi pamoja..

View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv

Wanazaa na huyo jini? Ili iweje? Akili za kuambiwa changanya na za kwaako
 
Uislam umeshaingiliwa kama ulokole tu🤣🤣😅

Hapa ni matangazo ya biashara yanaendelea....kwa wale wanaotaka kuoa jini sasa mmeshapata sehemu kuanzia.

Sioni tofauti na kiboko ya wachawi
Hakika
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Wengi uislamuni ni majini akina maimuna, Abdul na wengine.
 
Afadhali jamani wanaume wapate wanawake majini.

Pathological liar! Muongo wa asubuhi, mchana na jioni. Jumatatu mpaka jumatatu.
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Kavuta cha wapi sijui huyu😂😂😂
 
Sipati picha namna gani namfikisha kileleni mpenzi jini
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Haya ndio wabongo wanajua!
 
View attachment 3093114

Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.

Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.

Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
ata mimi nilishawahi kuoa nyoka!!
 
Back
Top Bottom