njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Dunia hii nyie acheni acheni acheni ila kwa kifupi majini yanakua na joto kali sana huko. Full stop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu bado watu mtaendelea kusema hii dini ya mnyeezi mungu🤣🤣🤣View attachment 3093114
Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.
Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.
Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Sheikh, ikiwa Majini nao ni Viumbe vya Mwenyezi Mungu na wapo walio wazuri, haiwezekani kwa Bin Adam kumuoa Jini mzuri wa jinsia tofauti na yeye?MSHIRIKINA TUH HUYO,HANA CHA USHEIKH WALA NINI.
Nafuu umenifungua Sheikh, kumbe kuna Modern na Old Muslims?MAKAFIR MKISIKIA UISLAM HALISI MNAGHAFIRIKA.
moden Muslims ni tatazo katika uislam ndiyo maana bokoharam na makundi mengine ya uislam hayacheki na nyie.
ALLAH AKBAR....!!!Takbiiiiir
Naam, ila huyo Mwanamke atakuwa ni Miongoni mwa majini wazuri nao ni viumbe vya Allah (S.A.W)Sishangai,ndio mambo yso upande wa pili
Kwamba hakuna Majini wazuri wawezao kuolewa na Bin Adam ilihali nao ni Viumbe vya Allah?Dalili za wazi za mtu mshirikana, hakuna mafungamano baina ya viumbe ivyo viwili....ni wa kupuuzwa na alichokisema kisifungamaniswe na uislamu.
TAKIBIIIIRProud to be Muslim
👍 goodNaam, ila huyo Mwanamke atakuwa ni Miongoni mwa majini wazuri nao ni viumbe vya Allah (S.A.W)
Hayo makundi yana kazi ya kuua maskini wasio na hatia huku wanaouharibu ulimwengu huu wakiwalipa kufanya hivyo.Matajiri wanaosababisha dini zisiwe na maadili huwa hawaguswi na hao boko haram wako.Ila ukweli utawakuta ndio wako marekani wakila bata huku wakigharimia vita visivyo vya haki.MAKAFIR MKISIKIA UISLAM HALISI MNAGHAFIRIKA.
moden Muslims ni tatazo katika uislam ndiyo maana bokoharam na makundi mengine ya uislam hayacheki na nyie.