MSHIRIKINA TUH HUYO,HANA CHA USHEIKH WALA NINI.
Unamkataa shehe wako sio?MSHIRIKINA TUH HUYO,HANA CHA USHEIKH WALA NINI.
😄 nakuunga mkono hojaMSHIRIKINA TUH HUYO,HANA CHA USHEIKH WALA NINI.
Shekhe yuko sahihi au kapotoka?Proud to be Muslim
MAKAFIR MKISIKIA UISLAM HALISI MNAGHAFIRIKA.MSHIRIKINA TUH HUYO,HANA CHA USHEIKH WALA NINI.
Hawa mashekhe nao wamekua na muamko mkubwa sana kwenye mitando kila shekhe anaibua lake kutafuta umaarifuView attachment 3093114
Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.
Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.
Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Majini na Uislam ni kitu kimojaView attachment 3093114
Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.
Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.
Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Dalili za wazi za mtu mshirikana, hakuna mafungamano baina ya viumbe ivyo viwili....ni wa kupuuzwa na alichokisema kisifungamaniswe na uislamu.View attachment 3093114
Manara TV imepata fursa ya kuzungumza na Sultan Sheikh Sharifu ( @shekhsharifjeylan ) na amezungumza mengi sana.
Moja ya vitu alivyoweka wazi ni kwamba alishawahi kuwafungisha ndoa Jini na Binadamu na hadi leo wanaishi pamoja.
Kuitazama Full Interview Ingia Youtube Kwenye Channel Ya Manara Tv
Source manata tv
Allha yupo barTakbir