Sheikh Sharif Jeylan: Niliwafungisha Ndoa Jini Na Binadamu na hadi sasa wanaishi pamoja..


Wanazaa na huyo jini? Ili iweje? Akili za kuambiwa changanya na za kwaako
 
Uislam umeshaingiliwa kama ulokole tuπŸ€£πŸ€£πŸ˜…

Hapa ni matangazo ya biashara yanaendelea....kwa wale wanaotaka kuoa jini sasa mmeshapata sehemu kuanzia.

Sioni tofauti na kiboko ya wachawi
Hakika
 
Wengi uislamuni ni majini akina maimuna, Abdul na wengine.
 
Afadhali jamani wanaume wapate wanawake majini.

Pathological liar! Muongo wa asubuhi, mchana na jioni. Jumatatu mpaka jumatatu.
 
Imani na ujinga vimetenganishwa na uzi mwembamba Sana. Wapo watakao amini
 
Kavuta cha wapi sijui huyuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sipati picha namna gani namfikisha kileleni mpenzi jini
 
Haya ndio wabongo wanajua!
 
ata mimi nilishawahi kuoa nyoka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…