Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nashangaa hawa mashekhe akili ndogo kwa hiyo kisa Rais muislamu basi akifanya mambo ya hovyo kuhusu nchi basi asipingwe na wakristu kwa kigezo cha dini kwan kinachopingwa ni mkataba mbovu au dini??Hivi ni wapi kwenye waraka wa TEC umeongelea kuhusu dini? Na pia kwenye vipengele vya mkataba wa Tanzania na Dubai ni wapi pameandikwa Uislamu? Maana kinapingwa ni vipengele vya kumkabidhi mwarabu sehemu nyeti za nchi. Uwekezaji maalum ndo umeifanya China kufika ilipo leo. Inakuaje tunampa mtu vyote kwa consideration ha Tsh sifuri? Vipi na njia yetu ya kuingia nchini? Bandari ni lango. Langoni hakai adui yako. Kila Taif lingine ambalo sio Tanzania ni adui yetu. Humkabidhi adui lango akulindie
Usijitoe ufahamu Mzee mbona Huwa mnakosa aibu jamani? Hivi mpaka utukanwe matusi ya nguoni ndio uone umewasilisha pumba Mzee?Odhiambo,
Nifahamishe vizuri ningempelekea sheikh kitu gani?
Shekh kama huyu ndo anafanya waislama waonekane amnazoTAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Huyu shehe hata ukisimama nae mta argue nae nn.kwanza hana facts zaidi ana mihemuko tu.Mbona SAMIA amesifiwa na watanzania woooooote nchi nzima kwa kurejesha Democracy nchini na wakristu wakiwa mstari wa mbele kabisa,mbona mashehe hawakusema wanaenda kufunga siku tatu kuwalaani wanao mpongeza Rais Samia kwa kurejesha Democrasianchini,kwa hiyo shehe hataki Rais ashauliwe.Rais ashaliwe vzr na wachungaji,mashehe,mapadri na maaskofu wetu,tusiingize DINI maana ajenda yetu ni BANDARI PEKEE na si DINI.Serikali yetu haina dini na kila mtu anajua hilo,hivyo basi tusiibatize Serikali yetu na kuipa DINI Maana tutaichanganya itashindwa kutuhudumua.Tumsaidie SAMIA SULUHU HASSAN Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kuivusha nchi salama ktk misukosuko hii.MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE.Kweli ufinyu we elimu ni mzigo kwa hawa masheikh ubwabwa. Nayeye kaamka kwa kubwatuka na jazba pasina sababu za msingi wala hoja. Ni viongozi gani hao wa kikristo waliomtukana samia suluhu hassan au nae anazusha taharuki.
Sheikh inatakiwa ajue maslahi ya rasilimali za nchi sio swala la waislam au wakristo au wasio na dini bali ni suala la watanzania wote.
Ukosoaji wa uwekezaji huo sio kwa wakristo tu bali hata umma wa waislam nao hawaridhii mkataba huo.
Sheikh inatakiwa afahamu kuwa hata utawala wa bwana magufuli ulikabiliwa na ukosolewaji mkubwa kutoka Kwa viongozi wa kanisa. Pastor mwingira, pastor James makulo, wito wa Tec kwa serikali au sheikh alikuwa asikilizi kipindi hicho! Miradi mingi ilikosolewa ikiwemo ule uwanja wa chato hatukusikia anasema anakosolewa kisa ni mkristo.
Viongozi wa dini na watu baki baada ya mh. Lissu kushambuliwa kwa risasi na nchi kusimama kwa muda huku umma wote wa watanzania ukilaani huku kila mmoja wetu akitoa matamko sheikh huyo akuwepo!. Katika utawala uliokabiriwa na ukosolewaji mkubwa basi ni wabwana magufuli, amini mtu yule alikataliwa na mamilioni ya Watanzania lakini hakuna hata mmoja aliefungua kinywa na kusema anakosolewa kisa ni mkristo au kuna dalili ya udini kwene ukosoaji, huenda sheikh alikuwa kalala.
Umma wa watanganyika hauupingi uwekezaji bali unapinga aina ya mkataba kwa maana watu wanahitaji kujua mashali ya tanganyika katika mkataba. Ni suala dogo tu, Watu wanahitaji mkataba ulio na maslahi kwa taifa. Utampaje mtu uhuru wa bandari zote na hata zitakazo kuwepo si baharini tu hata ziwani au mtoni au iwapo kutatokea fursa za bandari basi DPW wajulishwe.
Suala hili halina chembe ya udini hata kidogo, bali kuna watu wanazusha taharuki za udini ikiwemo sheikh mwenyewe, tawala zote zilizopita zilikumbwa na ukosolewaji lakini watu hawakuona ukosoaji huo kwa minajili ya udini bali kwa maslahi mapana ya taifa.
Ni juzi tu rais Samia alipongezwa na kusifiwa na umma wa watanzania ikiwemo mamilioni ya wakristo nchini, hakuibuka mtu akasema wanamsifia kwasababu ni muislam, Leo kuna ukosolewaji ambao ni jambo la kawaida hata kwa tawala zote zilizopita gafla mtu anasema kuna udini, ohhhh watu wanataka mh raisi eti ajiuzuru, huu ni upuuzi na ujinga unaopaswa kupuuzwa na kila mtanzani mwene akili timamu.
Mtu akisifiwa watu wapo kimya, akikosolewa watu kwa vinywa tena vipana wanasema kisa ni muislam. Pumbafu.
Sema bongo za waislam very special mpaka unaona huruma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Taarifa imeletwa na Mohamed Said.TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Naunga Mkono hoja hii!Ni kwa msingi huo tunamshauri tena @Mohamed Said kuwa mwangalifu wakati wa 'kubeba mizigo' ambayo mingine inachuruzika shombo na hivyo kuichukiza kanzu yake nadhifu achilia mbali kuweka mshangao kwa macho ya mamia ya Wapendwa wake wanaomtazama kwa mahaba, mfano na wivu mkubwa!
TEC wamejadili na kutoa ufafanunuzi wa kipengele kwa kipengele, nyie mnajadili udini na personalities, aiseee mna safari ndefu sanaTAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Tamko la mtu mmoja..!!!TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023