uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Atalaaniwa yule anayepanga kuuza TANGANYIKA kwa waarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio think tank wa dini ya kiislamu, kama Shekh Yuko hivi vuta picha waumini anaowangoza wakoje?TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Msumari wa kichwa kwa kanisa umeshapigiliwa.Dp world Bandarini milele![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitu gani hivyo tunahitaji uthibitisho ili tuvijue au unazani kanisa katoliki ni kama vigango vyenu. Mtaletewa sana tende na nyama mvaa makubazi akipewa bandari lakini kamwe hatokaa kuwapa njia za kushika uchumi.
Mambo ya Kaisari muachieni Kaisari lakini ajabu Dp world mnaijadili kanisani![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shikamaneni kwenye mambo yanayohusu uislam huko misikitini.
Jamii yetu ni pana sana na ina mchanganyiko wa imani mbalimbali.
Si busara kudhani kuwa wewe u bora kuliko imani zingine.
Je kila mtu akijitenga kwa kufuata imani yake tutakuwa na Taifa?
Na mimi imani yangu inasema hivi "Amwaniye mwana yuna uzima wa milele; asiye mwamini mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia. Yoh 3:36.
Ngoja tusubiri Rastafarian, Budha, Hindu, Wapagani nk nao waje na mistari yao.
Maamuma huyoTAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Hii ndiyo akili za hawa viumbe wanaosema hapana Kwa wale wanaotaka kutoa rasimali za nchi Kwa ulaghai walaaniwe ,lakini wanaotoa raslimali za watanganyika na vizazi vyao wabarikiwe! Kwli miungu ni tofauti sanaTAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023
Hili oa bandari ndilo litakalo onesha bayana kabisa udini wa watanzania... lengo lake ni KIKRISTO; hayo mengine geresha tu.
IKwani yeye anasemaje kuhusu mkataba wa DP WORLD, anaukubali kama ulivyo au warekebishe vipengele tata. Maana na yeye anaonekana kuongea kwa jaziba kama hao anaowatuhum.,
Huyo yupo chuo kuanzia ana miaka 3.Tupe level ya elimu yake.
Tunaitaji watu wajadili mkataba kisomi kwakua ni mkataba wa kisheria utakayoifunga Tanzania na Watanzania na rasimimali zao kimataifa.
Hatuwezi kuwasikiliza watu waliishia darasa la saba na wanao endeshwa na stori za viviweni ama imani za kidini, dini ya Mwaarabu ama dini ya Mzungu zilizoletwa kuwateka Waafrika kifikra.
Tupe level ya huyo Arab pet!
Tatizo ni "ilim" finyu.Sema wafuasi wa bakwata wakiibuka kuongelea mambo ya kitaifa huwa wanatema upupu kuliko hata watoto wa primary school.
Tatizo nini ?
Hao jamaa chenga sanaTatizo ni "ilim" finyu.
Nikurekebishe hapo kwa NECTA kuhujumu shule za waislam hilo si kweli shule nyingi za waislam zimejaa mambumbumbu na wanafunzi wengi wa mwambao wa pwani pamoja na shule zake nyingi wanafunzi ni wazito sana kuelewa tena sana kifupi hapa usiwaonee NECTA waislamu wengi ni vilaza sana asee hili nina uzoefu nalo kabisaFundi...
Upendo gani huu wa kuivunja EAMWS kuzuia Waislam wasijenge Chuo Kikuu 1968?
Upendo gani huu serikali kukataa OIC wasijenge Chuo Kikuu Tanzania miaka ya 1970?
Upendo gani huu Wizara ya Elimu kuhodhiwa na kuwekwa mkakati wa kuzuia Waislam wasipate elimu ya juu?
Upendo gani huu NECTA kuhodhiwa na kuhujumu shule za Waislam?
Au haya huyajui?
Hivi ndiyo kuishi kwa upendo?
Imefikiwa hadi kufuta historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika kuwakwepa Waislam.
Nikairejesha historia hii kupitia kitabu cha Abdul Sykes.
Haya tunayazungumza hapa huu sasa mwaka wa 10.
Yapo mengi ikiwa utapenda nitayaweka hapa kwa ushahidi tujadiliane.
Uko tayari?
Polo...Nikurekebishe hapo kwa NECTA kuhujumu shule za waislam hilo si kweli shule nyingi za waislam zimejaa mambumbumbu na wanafunzi wengi wa mwambao wa pwani pamoja na shule zake nyingi wanafunzi ni wazito sana kuelewa tena sana kifupi hapa usiwaonee NECTA waislamu wengi ni vilaza sana asee hili nina uzoefu nalo kabisa
Unaongea ongea tuu shule za waislamu nyingi zimejaa vilaza pamoja na shule za mwambao wa pwani, wakati wenzenu wakristo wanajenga shule nyie mlikazana kujaza misikiti pwani sahiz mnalalama nini? Kila mtu akale aliko peleka mboga.Polo...
Unazungumza kitu usichokijua.
Waislam tulitishwa kuwa endapo tutaandamano tutapambana na nguvu za dola.
Tuliandamana vyombo vya dola vilizuiliwa wasitushambulie kwa kuwa tulikuwa na ushahidi wa hujuma.
Ikiwa Waislam watashambuliwa labda pakatokea vifo kisha wakautoa ushahidi wa dhulma za NECTA serikali itakuwa matatani.
Baada ya maandamano yale mitihani ilisahihishwa upya na vijana wa Kiislam wakapata haki zao.
Unaongea ongea tuu shule za waislamu nyingi zimejaa vilaza pamoja na shule za mwambao wa pwani, wakati wenzenu wakristo wanajenga shule nyie mlikazana kujaza misikiti pwani sahiz mnalalama nini? Kila mtu akale aliko peleka mboga.
Hujajibu swali dada yangu. Chuo Madrassa tangu ana miaka mitatu ni aya za kiarabu tu atakua anazijua kwa ufasaha na sio elimu na upeo wa akili.Huyo yupo chuo kuanzia ana miaka 3.
Huwezi mpata kabisa kiwango chake. Usipime.
sasa kijana elimu ipi duniani hapa Duniani ambayo haijaanzia au kupaishwa na wasomi kutokea madrassa?Hujajibu swali dada yangu. Chuo Madrassa tangu ana miaka mitatu ni aya za kiarabu tu atakua anazijua kwa ufasaha na sio elimu na upeo wa akili.
Mimi nimesoma seminary, Catholic Seminary. Utaratibu wa kuwapata Mapadre uko hivi:
1. Ni lazima uwe na uwezo mkubwa wa kiakili darasani, yaani huchukua wanafunzi wenye ufaulu wa juu tu.
2. Nilazima upasi kwa maski za juu tuu na ni all the way to hugher learning institutions na ndio masomo mengine ya upadre ufuta kuanzia daraja la USHEMASI.
On the other hand, Mapastors wa kikristu ni self-appointed wachungaji na ni kama masheehe tu Wakislam, yaani unaweza amaka na kuukaa madrassa ukawa shekhe, ndio maana, mapastor, mashekhe wanaleta sana taaruki kwenye jamii kwasababu ya uwezo mdogo wa kiakili uliochanganyika pandikizi la mambo wasioyajua kwa undani kama (Imani, Dini ni nini?)
Ukisoma bandiko hili na ukitazama orodha ya wahutubiaji mkutano wa kesho , kama taifa kuna tatizo sehemuTAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI
Utangulizi
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.
Hoja na mwelekeo wake
Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.
Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.
Wito
Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.
Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..
Sheikh wa Mkoa, MWANZA
Tarehe 6 Julai 2023