Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Wewe huitaji kuelimishwa,kwa unavyodhania umefikia level kubwa sana kielimu kiasi kwamba huwezi kujifunza kwa watu wengine what an arrogance!Tukikufuatilia sana ww na kipenzi chako sheikh Mohammed mmefundishwa na kuelimishwa na Makafiri.Ambao kama wangeamua ku boast kama nyie kwa academic excellency pangechimbika.
Kuwa na akiba ya maneno kuna watu wana elimu na uelewa mpana wa elimu kuanzia historia na fani nyinginezo nyingi ila wameamua kukaa kimya.
NB:One thousand muslim clerics in Tanzania =One Jesuit parish priest
Binafsi ni mwanafunzi daima, sijaacha kusoma na ln shaa Allah sitaacha kusoma.

Hilo la kusoma ni amri kwangu kutoka kwa Allah, halina mjadala.

Point is, hao wasomi wako wote uliowataja hakuna aliyekuja na historia ya uhuru wa Tanganyika kama nnayojifunza kwa Alama Mohamed Said.

Walikuwa wapi?

Unamfahamu Mshume Kiyate na mchango wake katika uhuru wa Tanganyika?
 
Huyu shekh kasomea elimu ahera haya ya elimu dunia ni mbumbumbu ulimwengu hupo huku.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Kwani kipindi cha awamu ya tano kiongozi wa sasa alikuwa nje ya mfumo?
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Weka CV yake kwanza.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Mzee
Hebu tupe mtazamo wako ktk hili
 
Kuna mambo 'interesting' na sijui kama watu wanayaona

Waraka wa Shura sikumbuki kama Mo aliuleta hapa kwasababu ulikuwa na ''Facts'
Huu wa Sheikh wa Bakwata ambayo Mo anaipinga kwa maneno na maandiko kauleta - ' Fanatic'

Sheikh Mohamed Said atachukua upande kama hoja ina 'fit narrative' yake.

Wabunge walimshambulia Mbowe kwasababu hawakuwa na hoja za kutetea mswada.
Mjadala wa Bunge ukazama kwa Mbowe na si Mkataba (Tulia A) uliopelekwa Bungeni.
Mbowe akaziba Ombwe la hoja kwasababu Wabunge wengine hata kuelewa kimendikwa nini sina hakika

Hoja yao dhidi ya Mbowe ni kutahadharisha, wakachukua maneno ya Utanganyika na Uzanzibar wakayafanya agenda. Wabunge hawasemi kuhusu Utanganyika na Uzanzibar unaonezwa kwa chuki na ACT Wazalendo ya akina Jussa, Duni na Othman Masoud

Wanamtuhumu Mbowe eti kwa kugusa muungano, lakini Wabunge hao hao hawasemi lolote wakati Jussa, Duni Haji na Masoud Othman wakitaka mamlaka kamili kwa maana moja, kuvunja muungano.

Upotoshaji umetumika kusema Wananchi hawataki uwekezaji. Hakuna anayekataa uwekezaji, Wananchi wanahoji maudhui (contents) za mkataba ambazo hatma yake itakuwa kama ile ya umeme wa Dowans.
Ndege za ATC haziruki kwasababu ya mikataba mibovu ya huko nyuma. Ubaya wa kuhoji upo wapi!

Na Ombwe la kujibu hoja limepelekea kuchomeka hoja ya udini. Watu wanaoshadidia hoja hii hawajibu hoja za maudhui ya mkataba, wamekomalia fulani ni mwislam na wawekezaji ni Waarabu.

Hivi Netgroup ya Mkapa, Dowans na Richmond za Kikwete zilikuwa za Waarabu!
JNHPP ya JPM si ya Waarabu, SGR si inajengwa na Edogan wa Turkiye anayelinda maslahi ya Waislam duniani kuliko Waarabu. Je, lini tuliacha kusema ya Mkapa, JK na JPM?

Suala zima ni upungufu wa hoja za kujibu na wanaposhindwa kujibu wanakimbilia Vihoja vya Mbowe na Udini.
Naomba kuuliza hivi Mohamed Said na FaizaFoxy ni mtu na mpwae?
Maana linapokuja suala la kiongozi muislam kukosolewa wanakuwa wakali km kuku kwa vifaranga.
Wapo radhi kuongea UONGO bila hata aibu.
Utaifa kwao sio kitu zaidi ya udini.
Leo sheikh Mohamed Said kapandisha tamko la shehe 'kunuti' wa Mwanza lenye mapungufu na ubaguzi wa kidini ulio wazi bila hata haya.
Watu wa aina hii ni wakuwaogopa sana ktk jamii ni hatari sana kuwa na watu wenye fikra za aina hii.
 
Naomba kuuliza hivi Mohamed Said na FaizaFoxy ni mtu na mpwae?
Maana linapokuja suala la kiongozi muislam kukosolewa wanakuwa wakali km kuku kwa vifaranga.
Wapo radhi kuongea UONGO bila hata aibu.
Utaifa kwao sio kitu zaidi ya udini.
Leo sheikh Mohamed Said kapandisha tamko la shehe 'kunuti' wa Mwanza lenye mapungufu na ubaguzi wa kidini ulio wazi bila hata haya.
Watu wa aina hii ni wakuwaogopa sana ktk jamii ni hatari sana kuwa na watu wenye fikra za aina hii.
3_103.gif

Qur'an 3:103. Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
 
3_103.gif

Qur'an 3:103. Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
Shikamaneni kwenye mambo yanayohusu uislam huko misikitini.
Jamii yetu ni pana sana na ina mchanganyiko wa imani mbalimbali.
Si busara kudhani kuwa wewe u bora kuliko imani zingine.
Je kila mtu akijitenga kwa kufuata imani yake tutakuwa na Taifa?
Na mimi imani yangu inasema hivi "Amwaniye mwana yuna uzima wa milele; asiye mwamini mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia. Yoh 3:36.

Ngoja tusubiri Rastafarian, Budha, Hindu, Wapagani nk nao waje na mistari yao.
 
Shikamaneni kwenye mambo yanayohusu uislam huko misikitini.
Jamii yetu ni pana sana na ina mchanganyiko wa imani mbalimbali.
Si busara kudhani kuwa wewe u bora kuliko imani zingine.
Je kila mtu akijitenga kwa kufuata imani yake tutakuwa na Taifa?
Na mimi imani yangu inasema hivi "Amwaniye mwana yuna uzima wa milele; asiye mwamini mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia. Yoh 3:36.

Ngoja tusubiri Rastafarian, Budha, Hindu, Wapagani nk nao waje na mistari yao.
Wote wakusanyike hakuna atakae kuja na mistari kama ya Qur'an. Hiyo ni challenge iliyomo ndani ya Qur'an.


Unafahamu kuwa Qur'an ni muujiza tunaoishi nao na tunaojivunia nao Waislam kwa zaidi ya miaka 1,400 sasa?
 
Wote wakusanyike hakuna atakae kuja na mistari kama ya Qur'an. Hiyo ni challenge iliyomo ndani ya Qur'an.


Unafahamu kuwa Qur'an ni muujiza tunaoishi nao na tunaojivunia nao Waislam kwa zaidi ya miaka 1,400 sasa?
Yes kuruhani ni muujiza maana mwenye kuimiliki hatambui lugha nyingine zaidi ya kiarabu. Na kufuata desturi za kiarabu kuanzia kula, kuvaa, hadi miziki ni ya asili ya kiarabu.
Yes ni muujiza maana hata mungu wa kuruhani ni Mwarabu.
Na huwezi kuwasiliana nae lazima ujifunze kwanza kiarabu.
Maana hasikii lugha nyingine zaidi ya kiarabu
Kuna muujiza zaidi huu?
 
Yes kuruhani ni muujiza maana mwenye kuimiliki hatambui lugha nyingine zaidi ya kiarabu. Na kufuata desturi za kiarabu kuanzia kula, kuvaa, hadi miziki ni ya asili ya kiarabu.
Yes ni muujiza maana hata mungu wa kuruhani ni Mwarabu.
Na huwezi kuujua uislamu lazima ujifunze kwanza kiarabu.
Kuna muujiza zaidi huu?
Hayo uliyoandika yote hayana ukweli, unacheza na akili yako na unajidanganya tu.

Fanya adabu kidogo, inaitwa Qur'an.
 
Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.
Hawa vilaza ndio ccm wanawataka kwani hawana mbele wala nyuma!
Hawa ndio janga la Taifa!
 
Du! huyu Shehe ni mjinga kupitiliza.
Huyu Sheikh anaongoza Watanzania mamilioni, wameshiriki kuleta Uhuru wa Tanganyika hadi tuko hapa tulipo, huwezi kumkebehi. Dr Slaa naye ni Kiongozi kama Sheikh, ni Padri, lakini alisaliti Kiapo chake Kanisa Katoliki likamfukuza. Usiropoke wala kutukana, ajenda hii inaendeshwa na Wasaliti waliohongwa na mabeberu. Wengi wao ni wakimnizi majuu, huishi Ulaya wakifanya kazi za upagazi waliikimbia Nchi yetu, hawatutakii mema.
 
Faiza, wewe ni muongo au haujaelimika au vyote viwili. Nitajaribu kukuelimisha ingawa najua hauwezi kuelewa. Sultani au absolute Mfalme/ Malkia hajawahi kuwatumikia watu wake. Ndio maana watu hao wanaoitwa "subjects" wake na sio raia wake. Mifano hai tunaiona Saudi Arabia, Brunei, Eswatini, Morocco n.k. ambako neno la mfalme ni la mwisho.

Kama unasema hakuna Chifu aliyemtumikia Sultani utasemaje Sultani alitawala sehemu yote iliyokuja kujulikana kama Tanganyika? Ukweli ni kuwa Sultani wa Zanzibar hajawahi kutawala sehemu yote hiyo isipokuwa miji michache iliyokuwa katika pwani ya sehemu hiyo na michache iliyokuwa mwambao. Sehemu kubwa ya sehemu hiyo ilikuwa chini ya utawala wa viongozi wa kiafrika wa kiasili ambao kwa kiingereza waliitwa "chiefs" au machifu kwa kiswahili. Viongozi hao waliitwa majina mengine ( Mangi, Mtemi, Kabaka n.k.) kwa lugha za makabila yao.

Baadhi ya viongozi hao ndio walioingia mikataba ya maghumashi na Karl Peters. Karl Peters alifanya hivyo kwa sababu alitambua kuwa walikuwa viongozi huru na hawakuwajibika kwa huyo Sultani wako. Kuonyesha jinsi Sultani wako alivyokuwa hana nguvu, hakuhusishwa hata kwenye makubaliano ya Heligoland na Zanzibar! Najua hata hiyo Treaty hauijui.

Amandla...

Msiwe mnaongea kama vitu hamvijui mkuu, ona sasa unavyo aibika, yani unashindana na mohamed said kweli! Faiza pia kaanae mbali ana elimu kukuzidi wewe mkuu. Waabheja sana nkoi
 
Back
Top Bottom