Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Sheikh wa Mkoa Mwanza (Kuhusu Mjadala wa Bandari): Walaaniwe wote wenye nia ovu na Rais Samia

Tatizo huuelewi Usultani wala Ufalme.

Na huelewi kuwa hakukuwepo hata neno "chifu" kwenye utawala sultani. Hata hao "machifu" wenyewe walikuwa hawalijuwi neno "chifu" mpaka alipokuja Muingereza.

Rudi kafanye homework kabla hujaja kulumbana na mimi..

Naona hoja ya neno "chifu" ilikukwida umekuja na kubwabwaja na kuhororoja mpaka povu. sasa mimi tu linakutoka povu, wewe ndiyo wa kumuelimisha Alama Mohamed Said kuhusu historia ya Tanganyika?

Usianzishe vichekesho.
Nimesema nakuelimisha wewe. Huyo Mohammed Said ametokea wapi? Naona unajaribu sana kumvuta ili aje akutetee.
Nilijua toka mwanzo kuwa napoteza muda wangu maana hauelimiki. Sina haja ya kuendelea kupoteza muda wangu kwa mtu ambae hata kusoma hajui. Nimekwambia neno chifu linatokana na "chief" la kiingereza na kuwa watawala wa kiasili walikuwa na majina yao yanayotokana na kabila lake. Majina kama Mangi, Mtemi n.k. Kwa sababu hawakuitwa machifu haina maana kuwa hawakuwa watawala kamili katika makabila yao. Hili hulioni. Wewe unashikilia tuu kuwa masultani wako ndio waliotufundisha mambo ya utawala. Pathetic. Unanipotezea muda. Kwaheri ya kuonana Faiza.

Amandla...
 
Nimesema nakuelimisha wewe. Huyo Mohammed Said ametokea wapi? Naona unajaribu sana kumvuta ili aje akutetee.
Nilijua toka mwanzo kuwa napoteza muda wangu maana hauelimiki. Sina haja ya kuendelea kupoteza muda wangu kwa mtu ambae hata kusoma hajui. Nimekwambia neno chifu linatokana na "chief" la kiingereza na kuwa watawala wa kiasili walikuwa na majina yao yanayotokana na kabila lake. Majina kama Mangi, Mtemi n.k. Kwa sababu hawakuitwa machifu haina maana kuwa hawakuwa watawala kamili katika makabila yao. Hili hulioni. Wewe unashikilia tuu kuwa masultani wako ndio waliotufundisha mambo ya utawala. Pathetic. Unanipotezea muda. Kwaheri ya kuonana Faiza.

Amandla...
Mimi unielimishe nini wewe? Unanletea habari za "machifu" wakati wa Sultan?


Huko ni kutaka kunifundisha ujinga ulionao. Hunipati kihivyo.

Kama huelewi walikuwa wanaitwa nani wakati wa Sultan, niulize kiheshima na adabu nikupe ilm.
 
Kikao kilifanyika cha viongozi wa dini zote, serikali waziri mwenye dhamana na wanasheria walio itwa na Mshehe kuwatafsilia mkataba na IGA. Siwezi kumtambua na kumsikiliza kiongozi wa dini ataeongea baada ya kile kikao. Wote walipewa nafasi ya kutoa maoni siku ile na pale pale.
 
Wamefungua mlango uliokuwa ukisubiriwa kufunguliwa kwa muda mrefu.

Yatasikika sasa mengi yaliyokuwa yanatafutiwa nafasi yasemwe hadharani kama hivi.

Kuna maswali mengi yanayotakiwa kujibiwa.

Bahati mbaya kwao ni kuwa hawana majibu ya maswali haya.

Ashakum si matusi.
Wamechamba kwa jani la mgomba.

Matokeo yake watabakia na uchafu wao.
Allah akuhifadhi Sheikh Mohamed
 
Bahati mbaya Mohamed hatafuata ushauri wako kwa sababu yeye anaangalia kila kitu kwa msingi ya kutetea dini yake na wafuasi wenzake wa dini hiyo dhidi ya udhalimu wa wakristu na dini yao. Wakati wakristu kama Lissu waliwatetea kwa sauti kubwa masheikh waliokuwa mahabusu na walikemea yaliyotokea Kibiti, Mohamed hajawahi kunyanyua sauti yake pale wakristu kama Lissu, Mbowe na wengine walipokuwa wanapitia wakati mgumu. Kwake yeye utu unapimwa kwa misingi ya Umma. Inasikitisha lakini haishangazi kumuona akipigia debe ya hoja kuwa Rais wa sasa anapingwa kwa sababu ya dini yake au/na uzawa ( lakini sio jinsia yake maana hata yeye ana tatizo na hilo) wake.
Profesa Lipumba ni mmoja wa wasomi wa kwanza waliolalamikia huu mkataba. Jopo la TLS lililopitia huu mkataba lilijumuisha waislamu. Profesa Shivji ni msomi mwingine muislamu aliyeukosoa huu mkataba. Hao wote hawaoni anawaona wakina Anna, Tundu, Freeman, John na wamisheni wengine. Hajiulizi kwa nini huu mkataba hautetewi at full throttle na wanasheria wabobezi wa serikali na viongozi wengine?
Humu ndani hakuna Rais aliyepita ambae hajawahi kukosolewa. Wakati wa JPM watu kutoka dini zote walikuwa wakimkosoa. Sikusikia hata siku moja akitetewa kuwa wanaomkosoa wanafanya hivyo kwa sababu wana chuki na wamisheni.
Mohamed anachezea kiberiti petrol station bila kujali kuwa mlipuko wake utatuathiri wote pamoja na yeye. Msingi wa nchi yetu ni secularism na jamii yetu imeishi kwa upendo na ushirikiano bila kujali dini zetu. Mohamed na wenzake wasiruhusiwe kutuharibia nchi yetu.

Amandla....
Nguruvi3 Mag3 JokaKuu
Yaani pamoja na usomi wake na kazi alizofanya bado ana inferiority complex !sasa sijui imani wenzake ambao wengi hajaenda shule sijui inakuaje.
 
Huyu naye ameonyesha wazi kwamba anamtetea muislamu mwenzake, yaani ameleta hoja ya kidini kuliko kuuangalia mkataba wa DpWorld ulivyo na mapungufu mengi.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Sheikh tufafanulie yafuatayo kama yako sawa: IBARA 4 (2) ya mkataba huu inasema, endapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi, je, Nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa mali zake? kwako Sheikh iko sawa? Fafanua ukomo wa mkataba miaka mingapi? Maliasili Zina Sheria zake, kwa Nini mkataba ulisainiwa mwaka jana kimya kimya Hadi mzalendo mwema alipouvujisha? Unawezaje kusaini maliasili za nchi bila wenye nchi kujulishwa.
 
Huyu muislam mwenzetu hapa amekengeuka tena vibaya sana! Hili suala halina hata chembe ya udini.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
TAKBIIR
 
Mimi unielimishe nini wewe? Unanletea habari za "machifu" wakati wa Sultan?


Huko ni kutaka kunifundisha ujinga ulionao. Hunipati kihivyo.

Kama huelewi walikuwa wanaitwa nani wakati wa Sultan, niulize kiheshima na adabu nikupe ilm.
Wewe huitaji kuelimishwa,kwa unavyodhania umefikia level kubwa sana kielimu kiasi kwamba huwezi kujifunza kwa watu wengine what an arrogance!Tukikufuatilia sana ww na kipenzi chako sheikh Mohammed mmefundishwa na kuelimishwa na Makafiri.Ambao kama wangeamua ku boast kama nyie kwa academic excellency pangechimbika.
Kuwa na akiba ya maneno kuna watu wana elimu na uelewa mpana wa elimu kuanzia historia na fani nyinginezo nyingi ila wameamua kukaa kimya.
NB:One thousand muslim clerics in Tanzania =One Jesuit parish priest
 
Huyu muislam mwenzetu hapa amekengeuka tena vibaya sana! Hili suala halina hata chembe ya udini.
Ni Kanisa ndiyo mnufaika wa kupitisha mambo yao bure pale Bandarini.Sasa hofu ni kubwa sana kwao kwa kuwa waarabu hawatakuwa nachembe ya kuruhusu utapeli huo.
 
Ni Kanisa ndiyo mnufaika wa kupitisha mambo yao bure pale Bandarini.Sasa hofu ni kubwa sana kwao kwa kuwa waarabu hawatakuwa nachembe ya kuruhusu utapeli huo.

Vitu gani hivyo tunahitaji uthibitisho ili tuvijue au unazani kanisa katoliki ni kama vigango vyenu. Mtaletewa sana tende na nyama mvaa makubazi akipewa bandari lakini kamwe hatokaa kuwapa njia za kushika uchumi.
 
Wewe huitaji kuelimishwa,kwa unavyodhania umefikia level kubwa sana kielimu kiasi kwamba huwezi kujifunza kwa watu wengine what an arrogance!Tukikufuatilia sana ww na kipenzi chako sheikh Mohammed mmefundishwa na kuelimishwa na Makafiri.Ambao kama wangeamua ku boast kama nyie kwa academic excellency pangechimbika.
Kuwa na akiba ya maneno kuna watu wana elimu na uelewa mpana wa elimu kuanzia historia na fani nyinginezo nyingi ila wameamua kukaa kimya.
NB:One thousand muslim clerics in Tanzania =One Jesuit parish priest
Nanta...
Mimi kabla ya shule nimepelekwq chuoni kusoma Qur'an.

Walimu wangu alikuwa Maalim Mussa, Maalim Badi na Maalim Juma.

Kisha ndiyo nikaanza darasa la kwanza Lutheran Primary School Moshi mwalimu wangu alikuwa Mwalimu Paul.

Nilipoanza shule baada ya shule niliendelea kusoma Qur'an Msikiti wa Ijumaa Moshi Mtaa wa Chini.

Si kuwa nilisomeshwa St. Joseph's peke yake.

Elimu kubwa nimeipata kwa Sheikh Haruna ambae kanisomesha ilm nyingi pamoja na hii ilm ya kufanya mjadala.

Nilitaka uelewe hili.
 
TAMKO LA SHEIKH WA MKOA MWANZA KUHUSU MJADALA WA BANDARI

Utangulizi

Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja kumekuwa na mjadala kuhusu uwekezaji na uendeshaji wa bandari zetu na kampuni kutoka Dubai. Mjadala ulianzishwa na wanasiasa na wanasheria lakini baadae ukachukua sura mpya na ya hatari ambayo nchi yetu haijawahi kushuhudia.

Hoja na mwelekeo wake

Wakati mjadala ulipoanza, hoja kubwa ilikuwa Wazanzibari wawili wanauza bandari za Tanganyika. Baada ya muda si mrefu, mjadala ukachukua sura mpya na kusisitizwa kuwa ni waarabu ndio waliouziwa nchi. Wakati mjadala unaendelea, ulihama kutoka sura ya kisiasa na kuingia udini.

Sote tumeshuhudia viongozi mbalimbali waandamizi wa dini ya kikristo walivyokuwa mstari wa mbele kupinga suala hili na wengine wamediriki kumkejeli Rais Samia Suluhu Hassan. Hii sio mara ya kwanza kwa viongozi wa dini ya kikristo kumkejeli Rais Samia.

Baadhi ya viongozi wa dini ya kikristo wamedai kuwa Rais Samia amevunja Katiba na kwa maana hiyo anastahili kuondolewa madarakani. Mmoja wao ameenda mbali zaidi kwa kutishia kufanyike Mapinduzi ya kumuondoa Rais Samia madarakani. Jambo la ajabu ni kuwa mpaka sasa hakuna hata mtu mmoja ambaye ameupinga mkataba wa bandari kwa hoja za kiuchumi.

Wote waliozungumza na hasa viongozi wa dini ya kikristo wamezungumza kwa jazba na kumshambulia Rais Samia bila sababu za msingi. Kama viongozi hawa wana uchungu na wananchi, tuliwatarajia kupaza sauti zao wakati wa utawala uliopita ambao tumeshuhudia watu wengi kupoteza maisha yao bila maelezo. Pia tumeshuhudia serikali iliyopita imeingia kwenye miradi mikubwa kinyume cha utaratibu. Sote ni mashahidi, hakuna kiongozi hata mmoja wa kiislamu aliyeushambulia uongozi uliopita.

Wito

Mimi ninaamini kuwa mjadala huu umetawaliwa na UDINI na una lengo la kumtoa Rais Samia madarakani kabla ya muda wake. Hivyo basi, kama sheikh wenu wa Mkoa, natoa wito kwa kila mwislam popote alipo katika Mkoa huu, afunge kwa siku 3 na katika kila swala ya Ijumaa kuanzia Ijumaa hii ya tarehe 7 Julai 2023 misikiti YOTE 700 ya Mkoa wa Mwanza isome dua ya kunuti kuwalaani WATU WOTE wenye nia ovu na Rais Samia.

Sheikh Hassan Kabeke ………………………………..

Sheikh wa Mkoa, MWANZA

Tarehe 6 Julai 2023
Wewe Mzee ni Udini ndio unakusumbua
Pumbafu kabisa
 
Nashangaa sana na Udini unaozungumziwa hapa. Si shwari ukiona hivi, kuna mifukuto.
 
Mbona kaegemea kwa wakristo tu.
Wale wachungaji waliopewa Dola kadhaa na kuutetea huu mkataba wa hovyo mbona hawasemi.
Namshukuru kwa kutukumbusha kwamba Ni wazanzibari wawili walio saini mkataba mbovu wa kuhujumu bandari zote za Tanganyika.
 
Back
Top Bottom