Wapi nimesema na elimu? Mimi sina elimu yoyote elimu yangu ni basic tu kama watu wengine. Nadhani nenda kaangalie timbwili huko youtube halafu uje hapa na mrejeo. Wewe unapigiwa simu saa saba usiku kesho asubuhi omba msamaha kabla ya swala ya Eid halafu unasema hakuna shida?Huyu naye mleta amepuyanga mbona na wewe elim yako kama muft hivyo ulikuwa na haja gan kukimbilia kuleta mada hapaa ovyoo na kutuaminisha kuna bifu kumnee bure kbs na wewe
Huwezi kutenganisha Uislamu na ushirikina vinaendana sambamba na pamoja.Najuwa hilo lakini mzee Mufti hilo hataki anasema yeye ndio mwenye mamlaka na yuko busy kila mara kugombania mamlaka. Ndio kila mara akiitwa sehemu basi anahitaji sana kuitwa kwa majina ya kutukuzwa sijui mheshimiwa mkuu na makorokoro mengi kutukuzwa. Lakini yote mimi ya hawa jamaa kuvaa mipete kama waganga wa kienyeji mpaka leo sielewi ya nini yale? na sio Mufti wengi 95%, je hawa wanaamini kweli Mungu au nyuma ya pazia washirikina.
Sasa mbona sisi waislamu na hapa naongelea mimi na pete moja tu kadogo cha ndoa yale ya kwao 100% ushirikina na mimi nakataa kuongozwa na mshirikina haijalishi una elimu kubwa kiasi gani mimi nakungalia wewe hapo mbele. Mipete ya rangi rangi mpaka mtu unatisha.Huwezi kutenganisha Uislamu na ushirikina vinaendana sambamba na pamoja.
Hivi mpaka leo kuna mbwa wanawafuatilia bakwata? Mbwa koko nyieLeo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan.
Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita "Busati" , Mufti alisema siku ya shaka ni 29 Ramadhan kwa maana hujui mwezi umeandama au hapana lakini baada ya kuondoka Shekh wa msikiti akasema kwa heshima tu Mufti ulimi umeteleza kidini imeandikwa siku ya shaka ni 30 sio 29. Bwana jamaa wakapigiwa simu saa 7 usiku watu wameshalala kuwa lazima waombe radhi msikitini kabla swala ya Eid kuanza na wakafanya hivyo.
Kwa maoni yangu Mufti ni kweli aliteleza lakini namuona ni mtu fulani anapenda kutukuzwa sana na yuko busy kupigania kitu kinaitwa mamlaka hata mambo ya mwezi alitumia dakika 15 kulilia mamlaka ya kutangaza mwezi kuwa ni yeye tu, sasa shida yote hii ya nini? yuko busy kutishia watu wanao pingana naye kielimu tu watu wakitaka kutoa matamko kwa kudai mamlaka hiyo ni yake tu lakini kikubwa kuliko yote, mtu ukiwa unashaka na elimu yako hujiamini basi unakuwa muoga kulinda kiti chako lakini kama elimu imejaa basi wala asingetafuta heshima kwa nguvu heshima ingemfuata tu. Mufti umekuwa muoga sana nini unaogopa? au unahisi wako watu nje huko wamekuzidi elimu kwa mbali sana. Mimi naamini kuwa Mufti ni lazima elimu yako iwe juu ya wengine hapo heshima itakuja tu automatic.
Acha matusi wewe toa hoja kama unayo basi mambo ya Mbwa koko ya nini? Mimi sifuatilii Bakwata lakini sina sababu ya kuwatukana matusi mepesi kama hayo. Kitu unaona wazi wanafanya mbele yako kosoa lile unalo ona sio Mbwa Koko, siajabu kukawa na Baba yako au Mama yako anafuata Bakwata sasa sijui tusi ni hilo hilo au....Hivi mpaka leo kuna mbwa wanawafuatilia bakwata? Mbwa koko nyie
ni ya baadhi ya waislam, waislam gani wakati unasema uislam ni mmoja?Bakwata siyo taasisi ya Kiislam ni ya baadhi ya Waislam.
Kwanini sio waislamu?BAKWATA sio waislamu
Nini maana ya bakwata?Bakwata siyo taasisi ya Kiislam ni ya baadhi ya Waislam.
Kwanini sio waislamu?
Kuwadhibiti waislamu dhidi ya nini?ni Taasisi ya serikali / CCM iliyoundwa kwa ajili ya kuwadhibiti waislamu
Huyo mleta mada hata hajui kinachozungumzwa kasikia sikia tu, na yeye kaongeza yake Kaleta.Khaa, labda sijaelewa...lkn siku ya shake ni mwezi 29!! Au umekusudiaje?
Bakwata wamefunga siku 29
Sunni wamefunga siku 30
Qur'an ni ile ile
Je siku ya Shaka ni ipi? Karibu [emoji209]
Iko siku nikiwa kwenye darasa zao nitainuka na kuwauliza mipete kazi yake ni nini? Mimi binafsi nikiona mtu na mipete mikubwa utasema hirizi hapo hapo namdharau tu. Pete ya ndoa tu vaa lakini mahirizi hapana.
π π π πHicho nacho kilete utata jamani au kuna mengine ?
28Bakwata wamefunga siku 29
Sunni wamefunga siku 30
Qur'an ni ile ile
Je siku ya Shaka ni ipi? Karibu πΌ
Hakujazungumzwa lolote kuhusu mamlaka ya mwezi, are you sure una information sahihi mkuu?Ila wanachafua dini tunaonekana vituko tu sababu ya hawa watu. Kugombani mamlaka na mwezi basi ndio kazi yao. Narudia tena ile mipete mikubwa kazi zake ni nini? sio hawa wanaamini Allah pekee? au na majini pia.