Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Huyu naye mleta amepuyanga mbona na wewe elim yako kama muft hivyo ulikuwa na haja gan kukimbilia kuleta mada hapaa ovyoo na kutuaminisha kuna bifu kumnee bure kbs na wewe
Wapi nimesema na elimu? Mimi sina elimu yoyote elimu yangu ni basic tu kama watu wengine. Nadhani nenda kaangalie timbwili huko youtube halafu uje hapa na mrejeo. Wewe unapigiwa simu saa saba usiku kesho asubuhi omba msamaha kabla ya swala ya Eid halafu unasema hakuna shida?
 
Huwezi kutenganisha Uislamu na ushirikina vinaendana sambamba na pamoja.
 
Huwezi kutenganisha Uislamu na ushirikina vinaendana sambamba na pamoja.
Sasa mbona sisi waislamu na hapa naongelea mimi na pete moja tu kadogo cha ndoa yale ya kwao 100% ushirikina na mimi nakataa kuongozwa na mshirikina haijalishi una elimu kubwa kiasi gani mimi nakungalia wewe hapo mbele. Mipete ya rangi rangi mpaka mtu unatisha.
 
Hivi mpaka leo kuna mbwa wanawafuatilia bakwata? Mbwa koko nyie
 
Hivi mpaka leo kuna mbwa wanawafuatilia bakwata? Mbwa koko nyie
Acha matusi wewe toa hoja kama unayo basi mambo ya Mbwa koko ya nini? Mimi sifuatilii Bakwata lakini sina sababu ya kuwatukana matusi mepesi kama hayo. Kitu unaona wazi wanafanya mbele yako kosoa lile unalo ona sio Mbwa Koko, siajabu kukawa na Baba yako au Mama yako anafuata Bakwata sasa sijui tusi ni hilo hilo au....
 
Mleta mada kwanz utawambia siku ya shaka ni nini ama siku gani kisha ndio tutapata ufumbuzi.
 
Naona siku hizi anatambulishwa kama Mufti Sheikh Dr Abubakar Bin Zubeir.,😁.

Hakuna asiyependa mamlaka.
 
Khaa, labda sijaelewa...lkn siku ya shake ni mwezi 29!! Au umekusudiaje?
Huyo mleta mada hata hajui kinachozungumzwa kasikia sikia tu, na yeye kaongeza yake Kaleta.

Siku ya Eid mtoro walitolea ufafanuzi kuhusu Darsa ya Ramadan 29 ambapo kulikua na mtu alipingana na Mufti kuhusu Siku ya shaka Mufti alisema 29 na huyo jamaa alisema 30 that's it, sio mtaalam wa kilichozungumzwa ila Mufti alipiga simu kwa mshauri wake na Imamu wa mtoro saa 7 usiku wakajadili na kesho yake (siku ya Eid) mshauri wa Mufti akaja kulitolea ufafanuzi,

Hayo mambo ya Mufti kulazimishwa kuomba msamaha, sijui mwandamo wa mwezi na maneno mengine aliosema mleta mada sijayasikia, source nilikuwepo msikiti wa mtoro swala ya Eid wakati mshauri wa Mufti anaelezea.
 
Bakwata wamefunga siku 29

Sunni wamefunga siku 30

Qur'an ni ile ile

Je siku ya Shaka ni ipi? Karibu [emoji209]

Siku ya shaka ni 29.

Ukitimiza 30 ni lazima ufungue kwa sababu hakuna Ramadan ya siku 31.

Sunni walianza kutazama mwezi siku ya J3 ambapo ilikuwa siku ya 29 kwao sababu waliwahi kuanza kufunga. Bakwata hawakuwa na uhalali wa kuanza kutafuta mwezi siku hiyo maana wao walikuwa wana siku 28 za Funga na hamna funga yenye siku 28( ni siku 29 au 30 ).

Sunni waliukosa mwezi siku hiyo ya J3 wakaamua kukamilisha siku 30 za Funga na J5 ikawa ni siku ya Eid kwa lazima kwao hata kama mwezi usingeandama. Bahati nzuri mwezi ukaandama Duniani kote na Bakwata wakawa hawana kipingamizi, wakati huo washatimiza siku 29 za Funga na wanaruhusiwa kufungua, ndipo walipofungua.
 
Iko siku nikiwa kwenye darasa zao nitainuka na kuwauliza mipete kazi yake ni nini? Mimi binafsi nikiona mtu na mipete mikubwa utasema hirizi hapo hapo namdharau tu. Pete ya ndoa tu vaa lakini mahirizi hapana.

πŸ˜‡

Naona unatafuta nongwa...

Mipete wanavaa hadi maaskofu wa Kikristo...
 
Ila wanachafua dini tunaonekana vituko tu sababu ya hawa watu. Kugombani mamlaka na mwezi basi ndio kazi yao. Narudia tena ile mipete mikubwa kazi zake ni nini? sio hawa wanaamini Allah pekee? au na majini pia.
Hakujazungumzwa lolote kuhusu mamlaka ya mwezi, are you sure una information sahihi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…