Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Hapo ni ndani ya msikiti wa Manyema, napajua vizuri sana. Na huyo ni imamu wa msikiti huo. Na hii clip naijua.Hapo hapakuwa msikitini mkuu.....ilikuwa ni mhadhara wa nje. Hata msikitini wanawake huingia pia lakini hukaa mbali na wanaume......hawachanganyiki......ndio maana kwenye hiyo video unawaona wanaume tu. Wanawake wamekaa upande wa kushoto.
Huyo Sheikh ni Msenge, Msenge sana.Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.
View attachment 2622866
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
Pia soma:
https://www.bbc.com/swahili/habari-58843546
Inaonekana akili yako haina akili Kijana....Usitake tuje hapa kuyasema maovu ya Kiislam, rudi tu ukanyeShehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.
View attachment 2622866
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
Pia soma:
https://www.bbc.com/swahili/habari-58843546
Tatizo la hawa vijana wa jeshi la Kiislam ndiyo hili, wana mihemko sana, yote hii ni kwa sababu hawajasoma.Mkuu huyu shehe ametoa maoni na msimamo wake (na waislamu wenzake). Maoni sio utafiti wala hitimisho; na ametoa angalizo pia (hebu msikilize vizuri).
Rekebisha hapo, sio 'light'NO RESERCH NO LIGHT TO SPEECH.
sijui AMEFANYA wapi UTAFITI.
Tukiwasema WAJINGA mnatulaumu.
Yani mihadharra Yao hakuna wanachofundisha Cha maana.
Mara nyingi utasikia.
USHOGA.
Makalio
NGUVU za kiume nk.
Huwa MNASEMA Quran ni sayansi wakati hata Kutengeneza Dawa HAMUWEZI MNAHANGAIKA na dawa za WAZUNGU .
Shame.
Hajui lolote jinsi Nchi inavyoendeshwa na ni kutokana na uduni wa elimu. Amewahi kujiuliza chapati na mikate anayokula unga wake unatoka wapi na umewekwa nini. Ice cream za bakhresa ingidients zake zimetoka wapi. Drip za wagonjwa hosp zimetoka wapi. Je Tanzania ni Nchi inayojitegemea Kwa Kila kitu. Kuna TBS na TFDA anajua kazi zake. Alipaswa atie wasiwasi kwenye tende na nyama ya ngamia kama anajitambuaAmesema chanjo zinazotoka huko zichunguzwe kwa makini
Mkuu umeongea kwa uchungu sana lakini Shekhe yupo sahihi; ametumia uhuru wa kujieleza kutoa maoni yake. Yupo sahihi kabisa. Tuwe makini na hivi vitu tunavyoletewa na wazungu wasije wakatutilia homoni za kishoga ndani yake.Hajui lolote jinsi Nchi inavyoendeshwa na ni kutokana na uduni wa elimu. Amewahi kujiuliza chapati na mikate anayokula unga wake unatoka wapi na umewekwa nini. Ice cream za bakhresa ingidients zake zimetoka wapi. Drip za wagonjwa hosp zimetoka wapi. Je Tanzania ni Nchi inayojitegemea Kwa Kila kitu. Kuna TBS na TFDA anajua kazi zake. Alipaswa atie wasiwasi kwenye tende na nyama ya ngamia kama anajitambua
Na wewe ni walewale. Je hormones nini. Halafu unasema Yuko sahihi kabisa Kwa kipimo kipi. Wewe ni elimu ahera au duniaMkuu umeongea kwa uchungu sana lakini Shekhe yupo sahihi; ametumia uhuru wa kujieleza kutoa maoni yake. Yupo sahihi kabisa. Tuwe makini na hivi vitu tunavyoletewa na wazungu wasije wakatutilia homoni za kishoga ndani yake.
Huo ni msikiti wa mtoro au kwasababu umedanganya wengi unadhani utadanganya wote? Hebu punguza mizahaKwani wanawake ni marufuku kuingia msikitini mkuu? BTW hapo walikuwa nje kwenye mhadhara wa wazi.
Sasa wewe unachobishia ni nini? Hebu chagua hapa:Huo ni msikiti wa mtoro au kwasababu umedanganya wengi unadhani utadanganya wote? Hebu punguza mizaha
Majibu:Na wewe ni walewale. Je hormones nini. Halafu unasema Yuko sahihi kabisa Kwa kipimo kipi. Wewe ni elimu ahera au dunia
Asante mkuu kwa kunisogezea huu uzi. Kwa kuwa baadhi ya watu ni matomaso sasa wataanza kunielewa polepole.Waafrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation!
Juhudu kubwa zimekuwa zikifanywa na mataifa ya magharibi kuhakikisha idadi ya waAfrika weusi inabaki kuwa minority na hivyo oppressed zaidi duniani. Hili limefanyika kwa kusambaza magonjwa ya kuua watu wengi kwa mpigo kama 'Ebola', 'ARV na Ukimwi', Tuskegee syphilis experiment - Wikipedia...www.jamiiforums.com
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.
View attachment 2622866
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
Pia soma:
https://www.bbc.com/swahili/habari-58843546