Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Hebu nitizame mara mbili, unaona sura ya kushika dufu hii? dufu? aliekwambia uislamu umeruhusu wanaume wazima na ndevu zao kukata viuno huku wanapiga madufu hewani ni nani?.

Hawapigi madufu isipokuwa walio makhanithi katika wanaume, kama alivyosema shaykhul islaam ibn taymiyyah allah amrehemu.

Ama Qur'an haiimbwi na ni haramu kuiimba Qur'an, Qur'an inasomwa, una swali lingine?.
Quran inasomwa? Kwa nini huisomi Quran kama unavyosoma hii comment yangu?
Kwa nini unaisoma kwa kuiimba?

Mimi naweza kukuandikia noten za mziki kwa kile mnachokisema kwenye quran...kwa sababu mnakisema kwa kuimba.

Ukishaanza kuweka rhythm/harmony kwenye maneno (kama mnavyofanya kwenye quran) huko tayari ni kuimba.

Au unadhani kuimba mpaka uweke na vinanda na ngoma?

Unajua hata mziki ni nini? Nyie huwa mnaimba, Like it or not.
 
Hebu nitizame mara mbili, unaona sura ya kushika dufu hii? dufu? aliekwambia uislamu umeruhusu wanaume wazima na ndevu zao kukata viuno huku wanapiga madufu hewani ni nani?.

Hawapigi madufu isipokuwa walio makhanithi katika wanaume, kama alivyosema shaykhul islaam ibn taymiyyah allah amrehemu.

Ama Qur'an haiimbwi na ni haramu kuiimba Qur'an, Qur'an inasomwa, una swali lingine?.
Hata kama wewe hushiki dufu... wenzako wanashika na tunawaona mtaani na ni waislam wenzako.

Na sijawahi kuona mkikemea madufu, sanasana naona mkiya entertain kwenye shughuli zenu.

Madufu ndio nyimbo za waislam
 
Quran inasomwa? Kwa nini huisomi Quran kama unavyosoma hii comment yangu?
Kwa nini unaisoma kwa kuiimba?

Mimi naweza kukuandikia noten za mziki kwa kile mnachokisema kwenye quran...kwa sababu mnakisema kwa kuimba.

Ukishaanza kuweka rhythm/harmony kwenye maneno (kama mnavyofanya kwenye quran) huko tayari ni kuimba.

Au unadhani kuimba mpaka uweke na vinanda na ngoma?

Unajua hata mziki ni nini? Nyie huwa mnaimba, Like it or not.
Sisi tumeamrishwa kughani wakati wa kuisoma quran, Qur'an haisomwi kama unafanya kampeni sisi tunaghani wakati wa kuisoma, na sio kuimba, mfano mwema ni huu.

Kisha fananisha na hizo takataka mnazoimba huko.
 
Hata kama wewe hushiki dufu... wenzako wanashika na tunawaona mtaani na ni waislam wenzako.

Na sijawahi kuona mkikemea madufu, sanasana naona mkiya entertain kwenye shughuli zenu.

Madufu ndio nyimbo za waislam
Mkristo akikamatwa anafuga fisi huko geita ni ukristo ndio umemfundisha afuge?.

Hizo ngoma zinakemewa sana tu ni vile umejaa chuki haufuatilii mambo.

 
Sisi tumeamrishwa kughani wakati wa kuisoma quran, Qur'an haisomwi kama unafanya kampeni sisi tunaghani wakati wa kuisoma, na sio kuimba, mfano mwema ni huu.

View attachment 2623117 Kisha fananisha na hizo takataka mnazoimba huko.
Kughani ndio kuimba mzee.... Au wewe kuimba ni mpaka usikie gitaa?

Kughani ni kuimba kama vile kughani mashairi.

Mimi hapa naweza kukuchorea noten za mziki kwa kile mnachokighani na ninaweza kukipiga kwenye kinanda kwa sababu ule ni MZIKI.

Nitakuuliza swali na unijibu directly.
Shairi ni Wimbo au sio wimbo?
 
Huyu akaungane na yule Dr. Mchg. Askofu na Mhe wa Kaa weee!
 
Ndio namna ya kukimbia hoja sio, umeshindwa kuhusisha uislamu na taarabu unaleta mambo yasiyohusiana.
Mkuu naona unataka ligi isiyo na maana yoyote. Taarab ni mziki wenye mahadhi ya kiislamu, sasa ww unataka kuniletea habari za qoran inasemaje. Sina muda wa kusubiri unieleze Quran inasemaje kuhusu muziki, lakini uhalisia ndio huo. Sasa hiyo ligi yako mimi sina muda nayo.
 
Kughani ndio kuimba mzee.... Au wewe kuimba ni mpaka usikie gitaa?

Kughani ni kuimba kama vile kughani mashairi.

Mimi hapa naweza kukuchorea noten za mziki kwa kile mnachokighani na ninaweza kukipiga kwenye kinanda kwa sababu ule ni MZIKI.

Nitakuuliza swali na unijibu directly.
Shairi ni Wimbo au sio wimbo?
Shairi ni shairi na sio music, kinachoharamishwa na uislamu ni music na mashairi yenye maana mbaya.

Fuata kiunganishi hapo juu nimekuwekea mambo yote yameelezwa humo.
 
Mkuu naona unataka ligi isiyo na maana yoyote. Taarab ni mziki wenye mahadhi ya kiislamu, sasa ww unataka kuniletea habari za qoran inasemaje. Sina muda wa kusubiri unieleze Quran inasemaje kuhusu muziki, lakini uhalisia ndio huo. Sasa hiyo ligi yako mimi sina muda nayo.
Kwa majibu haya mimi mwenyewe sina muda.
 
Ukisoma Sana maandishi yaliyopo reverse au ant clockwise na akili inabadilika inakuwa kinyumenyume. Hivi Kila kitu , dawa zooote tunazotumia na anazotumia formula wameitengeneza hao wazungu, na yeye pamoja na kujinadi kuwa kitabu Chao kimekamilika kina elimu zote, hao wahitimu wa hicho kitabu hatujawahi kuona wametengeneza hata asprini zaidi ya kuuza madawa ya kienyeji na kutengeneza makombe ?
 
Shairi ni shairi na sio music, kinachoharamishwa na uislamu ni music na mashairi yenye maana mbaya.

Fuata kiunganishi hapo juu nimekuwekea mambo yote yameelezwa humo.
Wewe hujui hata Music ni nini.. Unabishana tu.

Nakuwekea hapa definition ya Music kutoka Oxford dictionary: [emoji116]

Music: the art of combining vocal or instrumental sounds (or both) to produce beauty of form, harmony, and expression of emotion

[emoji115]

Shairi linatumia VOCAL(Maneno) na lina produce HARMONY and expression of EMOTION kwa wasikilizaji wake.

Mziki sio mpaka uwe na kinanda na gitaa. Jifunze hilo kwanza.

Shairi ni Muziki...ni muziki wa aina ya shairi. Hata Rap ni mziki (ingawa ipo kama kuongea-ongea) ila unaitwa mziki wa kufokafoka... ni aina ya mziki hiyo.

So, Kughani shairi ni kuimba nyimbo/muziki wa aina ya shairi.
 
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.

View attachment 2622866
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.

MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.

Pia soma:

https://www.bbc.com/swahili/habari-58843546
Huyo sheikh akiumwa anaenda hospital kupewa dawa za Ulaya?
 
Shehe mwenyewe BWABWA kundu wazi, anajifanya kuogopa ushoga!
Mkuu hata kama hupendi maneno ya Shehe hebu punguza ukali wa maneno. Huyo shehe ni sawa na baba yako. Usimtukane. Au una hamu na ban niwaite mods waje kukutia kitanzi?
 
Back
Top Bottom