Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Mtu kashiba huko, eti hataki chanjo. Elimu ni muhimu, kuelimika ni jambo lingineKwani wewe unaamini chanjo za Malaria zina "hormone" za ushoga? Angekuja na scientific proof kutoka mahabara angalau alichokuwa akikisimamia kingeeleweka