Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao kila siku wanatutukana sisi Watanganyika wakidai tunawanyonya. Uvunjwe huu muungano na tunawafukuza warudi kwao tuone kama watabeba haya majumba yao. Hakuna Mtanganyika mwenye mali isiyohamishika huko visiwani. Tumechoka matusi na dharau zao. Majuzi tu wamesamehewa deni la umeme bilioni 65.Kuna watu watalia nyie acheni tu.
Tanganyika ni ngombe wa maziwa asiye na mmiliki kila mtu anajipigia tu.
Unataka ukamchinje nani tena?Sheikh wangu bhana huyo tunasubiri tu muongozo wake ili tuyanoe majambia.
Tatizo hawana adabu na ndiyo wao wanaanza chokochoko sasa bora tukate mzizi wa fitna yeshe.Tukiuvunja huu muungano tutawatesa sana ndugu zetu wazanzibari ni heri tuwape muda wajipange kwanza.
Ukisema uvunje ghafla maana yake itabidi umeme nao ukatwe kwa ghafla hili moja.
Pili bado hawana jeshi la ulinzi
Tatu wajifunze kwanza kulima
Ndugu yangu ponda tulia kwanzaa
International loans and grants,mgao wao tumewachinjia baharini Mara nyingi kiasi umejirundika,sababu kwa mkataba wa muungano Zanzibar hairuhusuwi kukopa,inakopa tz Kisha Zanzibar inagaiwaIliiikopesha?
Punguza ujuajiInternational loans and grants,mgao wao tumewachinjia baharini Mara nyingi kiasi umejirundika,sababu kwa mkataba wa muungano Zanzibar hairuhusuwi kukopa,inakopa tz Kisha Zanzibar inagaiwa
Umetahiriwa!!?..wenye magovi huwa hamna akiliPunguza ujuaji
Wazanzibari walijikomboa kwa majambia sasa ni zamu yetu Watanganyika tujikomboe na kikundi hichi cha wapigaji.Unataka ukamchinje nani tena?
Mkuu sidhani kama kuna majungu bali ni ukweli mtupu. Huwezi kuwa na muungano ambapo kila kitu cha upande mmoja ni cha wote, lakini cha upande mwingine ni cha mmoja tuu.Yuko sahihi kabisa
Tuvunje huu Muungano..
Tuondoe majungu na matusi yasiyo na ulazima
Naunga mkono hoja ✍️✍️Shekhe Ponda amesema:
Tanganyika na Zanzibar ugomvi mpaka lini? Mara nyingi tumewazindua kutoka kwenye Jinamizi la " MUUNGANO' Dawa kila Taifa lirudi kama zamani tuishi kama Kenya na Uganda, Malawi na Msumbiji
Shekhe Ponda amezungumza kupita Ukurasa wake wa twitter
My take; Shekhe Ponda badala ya Kujenga anataka Kubomoa
Mungu ni hakimu wa haki naamini haja ya moyo wako na Watanganyika wote itatimia kipindi hiki,dalili zote zimeshaonekana. Sakata la bandari ni blessings in disguise.Kati ya vitu ambavyo ninamuomba Mwenyezi Mungu kunipa haki ya kuvishuhudia hapa nchini;
1. Anguko la ccm.
2. Kuvunjika kwa huu Muungano wa changu changu, chako changu.
Wanaoutetea huu Muungano ni CCM tu na Jumuia zake kwasababu wao ndio waliotuunganisha bila kura ya maoni.
Then tutauzia kenya halafu kenya watawauzia wao.Upeo wako mdogo..
Kama wananunua chakula Bara wanaweza nunua Kenya au Uganda au Pengine..
Kwanza aliekwambia kuvunja Muungano ni kuvunja biashara nani??
Hii miungano bandia na ya kulazimishana, kamwe hauwezi kudumu milele. Tutaendelea kulazimisha kwa muda tu, lakini kuna siku utavunjika tu.Sheikh Ponda anastahili pongezi,namsubiri na Askofu Mwamakula nisikie rai yake kwenye sakata hili la Bandari.