Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Mikopo, wana uwezo wa kuilipa? Zanzibar ina deni kubwa sana kwa Tabganyika,buwa wanaamua tu kuweka siri.Zanzibar inaidai Tanganyika zaidi ya tril 3 za mikopo,misaada mzee
Pesa yote inayokopwa na JMT, sehemu inayopelekwa Zanzibar, haijawahi kulipwa hata mara moja.