Sindio ukitumia hisia badala ya akili kinakulamba sekundeKaka angeaua π
Nguvu ya K ni hatari sana, kuna jamaa yangu kapoteza kibarua kisa mke wa bosi wake walipishana kidogo mno, mke kaenda mwambia boss kijana wako anasema unampa hela sana ananitaka.
Amgegegegede ila hahahahahahaSasa sii ungemwambia basi njoo nikugegegede ili nasi tuwe tunaongea tukiwa uchi
Rafiki yangu aliambiwa hivi;Kweli maisha ni safari ndefu sana......
Nimekumbuka kisa kimoja miongo kadhaa nyuma.....wakati najitafuta nilijikuta nimepata hifadhi kwa Kaka yangu( Mola amrehemu).........Shemeji ilionekana hakuridhia uwepo wangu pale ingawa nilikuwa muda mwingi sipo nyumbani.....
Niliyajua hayo kupitia matendo yake maovu dhidi yangu kama vile kuninyima chakula....na kunifungia mlango ili nilale nje kipindi ambacho kaka amesafiri kikazi.......
Nikavunja ukimya na kumwambia kaka baada ya kuona mambo yanazidi kuwa magumu.....hapo ndio nilijua nguvu ya Shem kwenye nyumba ile.......
Sikujua kaka alifikisha ujumbe wangu kwa njia ipi lakini asubuhi baada ya kaka kwenda kazini... Shem alinifata na kuniambia kuwa..."Wewe unaongea na kaka yako mkiwa mmevaa nguo....mimi naongea na kaka yako nikiwa UCHI...je atamsikiliza nani..."
Nashukuru Mungu baada ya siku kadha kaka alinipangishia chumba cha bei chee maeneo ya manzese na kunihudumia hela ya matumizi mpaka nilipoweza kusimama mwenyewe kimaisha......
NILICHOJIFUNZA......
KUISHI KWENYE FAMILIA ZA WATU UNATAKIWA UWE MPOLE HUKU UKIPAMBANA UONDOKE HAPO HARAKA IWEZEKANAYO ILI AMANI IWEPO KATI YAKO WEWE NA NDUGUYO.....
Hakika yule Shem alikuwa na roho ngumu sijapata kuona alafu ukimuona wala humdhanii.....yeye ndio alimuambia kaka niende pale maana nilikuwa na hali kiuchumi wakati huo.....Kaka yako alitumia akili kukulinda ila alioa mwanamke mjinga.
Dah!!Rafiki yangu aliambiwa hivi;
Shemeji, tutakusaidia mpaka lini? Jiongeze basi utoke!
Kuzungumza tu masuala ya uchi wake na namna anavyoutumia kunadhihirisha namna akili yake ilivyo.Hakika yule Shem alikuwa na roho ngumu sijapata kuona alafu ukimuona wala humdhanii.....yeye ndio alimuambia kaka niende pale maana nilikuwa na hali kiuchumi wakati huo.....
Mara nyingi inakuwa sio mtu katawaliwa bali anaepuka matatizo ili kuinusuru familia maana anajua hawa wenzetu huwa wanafanya maamuzi kwa mihemko lakini baadae hujutia....maamuzi magumu hufanyika kama wakivuka mipaka......Nje ya mada kidogo:
Hivi huwa inakuwaje mwanaume timamu anatawaliwa na mke wake wandugu?.
Ila kaka yako alikuheshimisha sana Mkuu, hakutaka mambo yawe mengi.
NI wale wanawake wenye "USWAHILI" mwingi sana....ambao wao wanaamini mwanaume dawa yake pekee ni shimo la chini....Kuzungumza tu masuala ya uchi wake na namna anavyoutumia kunadhihirisha namna akili yake ilivyo.
Mambo ya mapenzi ya watu ni ya kuyakalia mbali Sana.....Sindio ukitumia hisia badala ya akili kinakulamba sekunde
Asante sana mkuu....Pole mkuu kwa changamoto uliyopitia
Alifanya jambo la maana na nilikuja kumuelewa baadae sana.....Kaka Yako licha ya kufikisha ujumbe,alifanya jambo la maana kukupangishia chumba kwani aliona mbele mambo yataharibika
Uso umeumbwa na haya ndugu yangu....huko ningefika mbali sana....ingekuwa kama nimemvua nguo kaka yangu......Sasa sii ungemwambia basi njoo nikugegegede ili nasi tuwe tunaongea tukiwa uchi
Nilimwelewa kwa kuwa huyo Shem alikuwa ni wale wanawake wasiokuwa na adabu wala stara..... lakini kwa heshima yangu nisingethubutu kufanya vile.....lile ni jambo baya sana kumfanyia nduguyo hata mkewe ni malaya kiasi gani...alikuwa anataka sema hakumwelewa
Vp Kwa sasa mahusiano na huyo shemeji Yako.Nilimwelewa kwa kuwa huyo Shem alikuwa ni wale wanawake wasiokuwa na adabu wala stara..... lakini kwa heshima yangu nisingethubutu kufanya vile.....lile ni jambo baya sana kumfanyia nduguyo hata mkewe ni malaya kiasi gani...
Umemvuaje tena nguo kaka yako wakati umemvua shemejiUso umeumbwa na haya ndugu yangu....huko ningefika mbali sana....ingekuwa kama nimemvua nguo kaka yangu......
Suala la yeye kunitafutia chumba nadhani hakumuambia mkewe alifanya kimya kimya....hata mimi aliniambia baada ya kuwa ameshalipa Kodi na kuweka fenicha kadhaa za kuanzia maisha.....nadhani ulikuwa mpango wake tangu nafika paleShemeji yako alikua ana tabia za kibinadamu za kawaida tu!
Bro wako alikua na akili kubwa sana, ila binafsi naona angekufanyia maarifa ya room kimya kimya bila kumdokeza chochote mke wake
Kuna mashemu ni mashetani