Shemeji; Mimi naongea na Kaka yako nikiwa sina nguo, tuone atamsikiliza nani

Shemeji; Mimi naongea na Kaka yako nikiwa sina nguo, tuone atamsikiliza nani

Kabisa . Ndugu wengi mizinguo. Kitu kidogo tu tayari mke ashatangazwa kwa ndugu wengine ili
aonekane mbaya.

Kuna kipindi nilikosana na bro alipotaka kumtangazia sifa mbaya mke wangu mbele ya ndugu wengine.

Mke wangu alipishana kauli kidogo na dada yangu upande wa mama mdogo.Lilikuwa suala dogo tu lakini bro aliposikia akaitisha kikao na kuanza kumsema vibaya mke wangu, weweee niling`aka nikamwambia mbona mke wako hujawahi kumwitishia vikao je hajawahi kukosea? Wote kimya na baada ya kikao kuvunjika akaanza kusema pembeni mara ooh sijui fulani ukimgusa mke wake anakuwa mkali.

Ukikaa kiulegevu ndugu wanakuvurugia familia kwa jambo dogo tu.
Nakupongeza Kwa Hilo utakuta yeye mkewe anatabia mbovumbofu tu, afadhali wewe unajielewa sasa mmoja alikuwa anamsena mkewe daa mpaka aibu anapiga simu Kwa sauti MUNGU wangu unajiuliza hivi huyu hao ndugu ndiyo analalaga nao kitandani? Unamtukana mke Kwa ndugu halafu unaendelea kuwa naye humuachi , wanawake wapitia magumu sana.
 
Hawa viumbe wana ubinafsi by nature


Kwasasa hasira zitaongezeka zaidi Sheria ya trump kutotaka wagawanywe 50|50 after divorce..


Hapa tutaona kila rangi
 
Pamoja na hayo lakini ndugu ufanye ukali kwa kiasi ndugu usiongee ukamaliza.....hao unaowaona wanamsema vibaya wanaweza kuja msaada mkubwa kwako siku za usoni kipindi ambacho yule unamtetea kwa kugombana na ndugu ameshaondoka.......

Dunia ina mambo
Mkuu wanawake so wakudhaminika..

Mm bro alienda mkoa fulani kikazi yeye ni fundi furniture.

Alikaa kwa muda pasi na kumtumia Hela shemeji, hivyo nikapata taarifa Kwa shemeji kama mdogo mtu.

Bro alipokua anaondoka aliacha Kuna meza imeandaliwa Bado kuuzwa tu.

Mm nikamwambia shemeji unaonaje tuuze hii meza upate mahitaji hata kiasi, shemeji akalibariki wazo.

Siku nimepata mteja naenda nae Kwa bro nikakuta shemeji ameficha meza na kabadilika, nikauliza vipi?

Akanambia meza hamna nimeuza tayari nikasema poa nikapiga chini

Kumbe alikuwa amempigia bro kamwambia mdg wako anataka kuuza meza eti anakudai Hela.

Aisee Kwa ufupi bro si mzungumzaji sana na tuliongea kiume.

Ila shemeji nilimfuata nikawasha full na mpaka Leo Sina ukaribu nae mkubwa.
 
Mkuu wanawake so wakudhaminika..

Mm bro alienda mkoa fulani kikazi yeye ni fundi furniture.

Alikaa kwa muda pasi na kumtumia Hela shemeji, hivyo nikapata taarifa Kwa shemeji kama mdogo mtu.

Bro alipokua anaondoka aliacha Kuna meza imeandaliwa Bado kuuzwa tu.

Mm nikamwambia shemeji unaonaje tuuze hii meza upate mahitaji hata kiasi, shemeji akalibariki wazo.

Siku nimepata mteja naenda nae Kwa bro nikakuta shemeji ameficha meza na kabadilika, nikauliza vipi?

Akanambia meza hamna nimeuza tayari nikasema poa nikapiga chini

Kumbe alikuwa amempigia bro kamwambia mdg wako anataka kuuza meza eti anakudai Hela.

Aisee Kwa ufupi bro si mzungumzaji sana na tuliongea kiume.

Ila shemeji nilimfuata nikawasha full na mpaka Leo Sina ukaribu nae mkubwa.
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣
Pole sana
 
Ila tuwe wawazi kuishi na ndugu kazi sana. Maana hata kwa ufanye fadhila bado utalaumiwa. Tena macho ya ndugu hadi huko vijijini yako active kujua mnaishije. Hiyo ni story yako, but kuna story yake na ukweli. Familia ni baba mama na watoto.
Unaweza furahia sana msemo wa familia ni baba mama na watoto na kuona ndugu wengine kama mavi ila Kuna Leo na kesho familia inaweza hitaji ndugu sio kifedha hata kimaadili maana unaweza ukawa hai Leo kesho haupo
 
Kweli maisha ni safari ndefu sana......

Nimekumbuka kisa kimoja miongo kadhaa nyuma.....wakati najitafuta nilijikuta nimepata hifadhi kwa Kaka yangu( Mola amrehemu).........Shemeji ilionekana hakuridhia uwepo wangu pale ingawa nilikuwa muda mwingi sipo nyumbani.....

Niliyajua hayo kupitia matendo yake maovu dhidi yangu kama vile kuninyima chakula....na kunifungia mlango ili nilale nje kipindi ambacho kaka amesafiri kikazi.......

Nikavunja ukimya na kumwambia kaka baada ya kuona mambo yanazidi kuwa magumu.....hapo ndio nilijua nguvu ya Shem kwenye nyumba ile.......

Sikujua kaka alifikisha ujumbe wangu kwa njia ipi lakini asubuhi baada ya kaka kwenda kazini... Shem alinifata na kuniambia kuwa..."Wewe unaongea na kaka yako mkiwa mmevaa nguo....mimi naongea na kaka yako nikiwa UCHI...je atamsikiliza nani..."

Nashukuru Mungu baada ya siku kadha kaka alinipangishia chumba cha bei chee maeneo ya manzese na kunihudumia hela ya matumizi mpaka nilipoweza kusimama mwenyewe kimaisha......


NILICHOJIFUNZA......
KUISHI KWENYE FAMILIA ZA WATU UNATAKIWA UWE MPOLE HUKU UKIPAMBANA UONDOKE HAPO HARAKA IWEZEKANAYO ILI AMANI IWEPO KATI YAKO WEWE NA NDUGUYO.....
ni kweli uliyosema
 
Back
Top Bottom