Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Akikuta anatoa tu majimaji ya mwisho wa mkojo wa kawaida si atamuomba msamaha mkewe huku baba mtoto halisi anataka mama na mtoto wakaishi masaki
Ha ha ha unaona eee , sababu huyo baba halisi atajulishwa tunaenda kupima jibu lahuko nitakujulisha ni ile jibu mtoto si wako nawewe huna lolote [emoji23][emoji23] Baba wa mtoto huyo [emoji13][emoji13][emoji13]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeisoma mpaka six, nimeichimba sana
Asipofanana sura, Kuna rangi, mdomo, urefu n.k
Ila kama hakuna chochote, umepigwa.

Ww nae na mtu alie soma iko kitu 4m 4 c kuna tofauti aje dactari kidogo basi ww na form 6 yako peleka kulee
 
Ha ha ha unaona eee , sababu huyo halisi atajulushwa tunaenda kupima jibu lahuko nitakujulisha ni ile jibu mtoto si wako nawewe huna lolote [emoji23][emoji23] Baba wa mtoto huyo [emoji13][emoji13][emoji13]

Nataman ata uyo mtoto ningekuwa mm
 
Kwani diamond alipowapima DNA watoto wake alienda na zari na hamisa mobeto si aliwapeleka kimya kimya akajua ukweli

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Ukweli ulikuwaje? Maana naona siku hizi sizisikiii zile tambo za kina Hamisa au mambo yalienda kombo?
 
Halafu badala yakukaa kimya anashirikisha wenzie, huko wanakokuwa na mkewe nako kawasimulia?[emoji3] kuna watu niwabishi wakati uwezo huo hana, mtu anakutunzia siri halafu yeye anapiga kelele yatamshuka mwache akapime.
😅😅😅bora kukosa kuliko kubambikiwa
 
Kama hawaaminiani waachane
 
DNA ni hatua ya awali ya kumkataa mtoto. Mtu timamu yoyote ataifanya kwa siri. Ukikuta mtoto ni wako na ulipayuka kila sehemu kuwa unahisi huyo si mwanao ni doa tayari. Utaishi ukitamani mwanao akikua asijue hiyo historia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…