Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Na matokeo ya DNA skhz hawatak watoto wa mtaan, so mtoto ni wake even through DNA test
 
Yuko tayari kuvunja Ndoa?

Mnasubiri nn? Anataka apate sababu ya kuhalalisha ukosefu wake, ionekane kwamba mtoto wa ni wajamaa, ila amemkataa.


Sasa Basi, mwambie jamaa akomaez bila DNA, hamna ndoaa.


Ikibidi aanze mchakato za kibabe kabisaz kumwambia asepe .


Siku hizi Kila mtu anashinda mechizake.
 
Daah itakuwa hasara kubwa sana kwa hii familia. Kama kweli Mke kachepuka nje amemuumiza sana Bro wangu mchapa kazi. Furaha yoote imeingia shubiri
 
Na matokeo ya DNA skhz hawatak watoto wa mtaan, so mtoto ni wake even through DNA test
Nyie mbona mnataka kuchezea standards za watu. Yaani mtoto apimwe upewe majibu hasi kwa sababu za kitoto kama hizo?
 
Mwanaume ndo kichwa Cha familia, we ndo mwenye maamuzi, usipoonyesha uanaume wako, mwanamke huyo atakudharau na atakuletea mtoto mwingine wa nje.
Baiolojia ya kawaida tu, ni kwamba wewe na yeye mnachangia chromosome 23, so kiumbe anakua na 46 huku akiwa na sifa zenu zote, usikubali ya kuwa mtoto anafanana ujombani, huo ni ujinga mtupu hata mwenye elimu ya kidato Cha nne atakucheka.
Ukionyesha udhaifu mwanamke atakudharau mwisho utaachika kama Ricardo Momo.
Kampime DNA, Kwa lazima, muambie asipopima basi asitumie ubini wako Wala jina lako la ukoo.
Be a man.
 
😅😅😅😅sawa mkuu huu ushauri umefika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…