Nimesoma genetics, hakuna kitu kama hicho.
Genotype ndo inajenga phenotype, anaweza asifanane Kwa asilimia 90%, ila lazima kuwe na 10% la sivyo uwe hujachangia chromosomes.
Acha upotoshaji.
Mkuu uhangaike na mtoto si wako? Biblia inakataa kubebe geneology isiyoyako.Hata wewe ukiwa na Familia jitahidi kuchukulia mambo poa, utawin!! Mkuu itakusaidia nini endapo utajua kuwa sio mtoto wako lakini amezaliwa nyumbani kwako?
Hii inashida gani? hata kama sio wa kwako na ukamlea tu
Na inaleta dharau miaka yoote utakayoishi na mke aliyezaa nje ndani ya nyumba yako anakuona boya tu.Akalelewe na baba yake, huu ndo mfumo wa Kibiblia.
Yes anaweza akaanzia kwenye blood group kwanzaMfano una group AB huzai group O
😂😂😂Nimeisoma mpaka six, nimeichimba sanaWewe umesoma genetic, lkn wengine tumesoma na kujionea.
Anaweza kusema akazua balaa lingine kwamba hata huyo wa Mwanzo si wako[emoji28]
Umesoma lin mkuu, ktabu gan?Nimesoma genetics, hakuna kitu kama hicho.
Genotype ndo inajenga phenotype, anaweza asifanane Kwa asilimia 90%, ila lazima kuwe na 10% la sivyo uwe hujachangia chromosomes.
Acha upotoshaji.
Ndivyo ilivyo au mfanyakazi mwenzie 😂🤣🤣🤣 Acha bhana?
Kumbuka Waoongoza kujiua ni Wanaume
Uyo mtoto ana umri gan mpk sas?Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Kumbe hadi Mate?Hahitaji hata kumwambia au ruhusa ya mwanamke kupima DNA, nywele au mate ya mtoto yanamaliza kila kitu 100%, akipata majibu yasiyofaa uamuzi wa kuvunja au kuendelea ni wa kwake
7monthUyo mtoto ana umri gan mpk sas?
HatujuiUnajua kwanini wanajiua sana?
Yan miez saba tu[emoji23]muacheni dogo akue bhn, aachane na ishu za DNA kwnza na mambo ya kufananisha vtu7month
wako kwenye kikao wanapanga Attack itakuwaje.Vijana wa "kataa ndoa" hawajauona huu uzi?