Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Nimesoma genetics, hakuna kitu kama hicho.
Genotype ndo inajenga phenotype, anaweza asifanane Kwa asilimia 90%, ila lazima kuwe na 10% la sivyo uwe hujachangia chromosomes.
Acha upotoshaji.

Wewe umesoma genetic, lkn wengine tumesoma na kujionea.
 
Hata wewe ukiwa na Familia jitahidi kuchukulia mambo poa, utawin!! Mkuu itakusaidia nini endapo utajua kuwa sio mtoto wako lakini amezaliwa nyumbani kwako?

Hii inashida gani? hata kama sio wa kwako na ukamlea tu
Mkuu uhangaike na mtoto si wako? Biblia inakataa kubebe geneology isiyoyako.

Ndio maana wazee wanajiua mwishoni baada ya kujua mtoto aliye mhangaikia hakuwa wake na Mama alificha.

Ukumbuke Kiroho iko hivi. Mtoto kama si wako ukamlea kwa kudanganywa ni wako. Hata kama unampenda kivipi siku atakayogundua Baba yake wa Damu sio wewe na ni mwingine atakushangaza na wala usilaum ni Nature.
 
Hahitaji hata kumwambia au ruhusa ya mwanamke kupima DNA, nywele au mate ya mtoto yanamaliza kila kitu 100%, akipata majibu yasiyofaa uamuzi wa kuvunja au kuendelea ni wa kwake
 
Asee mbna kaz ipo.
Aje huku ndungu Kuna Mtaalam wa DNA za kienyeji, hapo haihitajiki hata mtoto kuwepo.

Na usikute mtoto wa mtoa mada rafiki. Ko kaka yako ajiandae na Majibu yotee🤣😲
Na huku Kwa Fundi wetu utaambiwa Hadi baba halisi wa mtoto.
 
Nimesoma genetics, hakuna kitu kama hicho.
Genotype ndo inajenga phenotype, anaweza asifanane Kwa asilimia 90%, ila lazima kuwe na 10% la sivyo uwe hujachangia chromosomes.
Acha upotoshaji.
Umesoma lin mkuu, ktabu gan?
 
Uyo mtoto ana umri gan mpk sas?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…