- Thread starter
- #281
Mimi siingilii ndoa ta watu. Ni msikilizaji tu wao ndio waamuzi wa mambo yao.Sasa hapo wewe umetoa ushauri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siingilii ndoa ta watu. Ni msikilizaji tu wao ndio waamuzi wa mambo yao.Sasa hapo wewe umetoa ushauri gani?
Anatafuta demokrasia ili iweje. Achukue kucha tu za mtoto, mkapime wenyewe. Akishapata majibu ndo maamuzi yafate. Now mwanamke ana kiburi coz anajua hamjapima bado.Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Bado hujawajua wanawake that's why unatoa comment based on feelings.Muache mimi naamini jamaa hamna kitu hapo mke hawezi akawa na ujasili
Kiasi icho kama jamaa ana fiti kwenye sita kwa sita na zina leta good impact
DNA ni mwiba mkali kwa ma sniperAna hisi DNA itadanganya
Kwa comment hii napata wasiwasi hata na bro wako akili zenu,, halali tu mpigwe.Sisi tunao oa ndio tutapiganiwa kwa nguvu. Nyie msiotaka kaeni pembeni sisi tule mbususu
Mwambie brother yako achukue nywele za mtoto na zake zinatosha kuwa sampuliWakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Mimi siingilii ndoa ta watu. Ni msikilizaji tu wao ndio waamuzi wa mambo yao.
Bado hujawajua wanawake that's why unatoa comment based on feelings.
😅😅😅DNA ni mwiba mkali kwa ma sniper
Kwa Tanzania hilo haliwezekani, lakini kwa nchi za Ulaya na Marekani inawezekana.Mbona rahis sana. Kulikuwa hakuna haja ya kutangaza, inafanywa kimya kimya yanaouja onyeshwa majibu
Siyo rahisi kama unavyodhani mkuu. Mamlaka ya kupima DNA yamekasimishwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali. DNA haipimwi bila amri ya Mahakama au maombi ya Wakili.Man kuna namna ya kufanya kimya kimya. Hizi mission nzito huwa zinafanyika bila hata mzazi kujua. Wahusika tu wasijue lolote, aje tu kupewa majibu.
Si rahis mtu kukwepa majibu yenye udhibitisho
Pole sana kwa maswahibu yalokukutaHuwa mnapenda sana hio kauli ya kama huniamini tuachane ili kuficha ouvu wenu flani. DNA unpimwa na kuachana tunaachana vile vile 😀😀😀
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Maswahibu gani tenaPole sana kwa maswahibu yalokukuta
😅😅😅 Wale vijana sometimes nawakubali sana , hasa ukishuhudia mambo ya hovyo hovyo ndani ya ndoaVijana wa "kataa ndoa" hawajauona huu uzi?
Sheria inasema majibu yatolewe kwa kuzingatia ustawi wa ukuaji wa mtoto, kwa muktadha huo lazima uambiwe wewe ndio baba wa mtoto kwani tayari sheria imewaelekeza hivyo, labda kama mpo wawili mnaogombea mtoto na pia lazima waangalie anaejiweza ndio anapewa mtotoWhy yawe ya uongo?
Hiyo sasa ni maabara au utopolo?? Hakuna maabara za hivyo zinaweza kupindishe geneology ya mtu kwa maslahi ya kulea mtoto kisa una uwezo.Sheria inasema majibu yatolewe kwa kuzingatia ustawi wa ukuaji wa mtoto, kwa muktadha huo lazima uambiwe wewe ndio baba wa mtoto kwani tayari sheria imewaelekeza hivyo, labda kama mpo wawili mnaogombea mtoto na pia lazima waangalie anaejiweza ndio anapewa mtoto