Shemeji yangu naona amevuka mstari mwekundu. Nifanye kweli kutunza heshima ya homie au nimuache ajiendee tu

Shemeji yangu naona amevuka mstari mwekundu. Nifanye kweli kutunza heshima ya homie au nimuache ajiendee tu

Mkaza
Habari zenu wanaJF wenzangu

Nina rafiki yangu ambae tumekuwa nae, tumesoma nae na kucheza nae toka utotoni. Homie huyu tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi ya kimaisha, mpaka kupelekea baadhi ya watu wasiotufahamu kuhisi kuwa sisi ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja.

Miaka miwili iliyopita rafiki yangu huyu akaamua atimize nguzo muhimu ya maisha kwa kuoa kabinti keupe na kazuri ka kirangi kutoka kondoa. Baada ya harusi maisha ya ndoa yakaanza kila mmoja wao akifurahia kuoa/kuolewa na mwenzake.

Rafiki yangu huyu ni dereva wa matraki makubwa yanayokwenda nje ya nchi, hivyo muda mwingi humkuta akiwa safarini, na anaporudi huwa ni mtu wa kuchoka choka na kulala lala muda wote. Kwa kipindi cha mwaka mmoja wao wa ndoa jamaa angu alikuwa anajitahidi kutimiza haki za mkewe kwa upande wa kodi ya meza, haki ya kitanda, tiba kwenye maradhi nk hivyo ndoa ilikuwa inakwenda vizuri tu.

Mwaka uliofuatia ambao ndio huu wa pili, hali imekuwa tofauti kwa rafiki yangu kurudi safarini akiwa amechoka sana na hivyo muda mwingine kushindwa kutimiza haki ya kitanda kwa ukamilifu wake. Kwa mujibu wa shemeji yangu, anadai yeye huwa anapenda mtu wa kuchukua angalau dakika 35 na kuendelea akiwa juu ya kifua. Na round takriban angalau ziwe 2 au tatu ndo atatosheka. Shemej anasema mwanzoni homeboy alikuwa anajitahidi kwenda sawa, lakini jinsi miezi na miaka sasa inavyokwenda ndo jinsi mwamba anavyozidi kupunguza speed aliyokuwa nayo mwanzo. Mara kabla ya kumaliza povu linamtoka na kuishia njiani bila kumaliza mechi. Mara akimaliza round 1 hawezi kurudia ya pili.

Hali iliendelea hivyo mara shem uzalendo ukamshinda akawa ananiletea kesi niongee na jamaa angu. Jamaa nikiongea nae ananambia anashindwa kukamilisha kile alichozoea kwa sababu ya mchoko wa kazi zake za safarini. So akawa anaomba amvumilie tu kila kitu kitakuwa sawa mbeleni.

Baada ya kuona hakuna mabadiliko ndo akaamua kuniambia kuwa atachukua hatua ambayo hatohitaji lawama, maana hatimiziwi vizuri haja zake. Au kama inawezekana basi niingilie kati kuokoa jahazi mapema kabla halijazama.

So wazee hapa nichukue uamuzi gani ili kusave tatizo la jamaa angu? Maana ni kama vile anahitaji mimi niwe namkaza sawa sawa ili kuziba pengo la mwanangu analoliacha kutokana na safari pamoja na mchoko wa safari kila anaporudi.

MKAZA...HUKAZWA
 
kuoa kabinti keupe na kazuri ka kirangi kutoka kondoa
Hapa ndio kosa lilianziaaa ..............jamaa ajiandae kutoa talaka tu aendelee kufanya kazi yake ya malori na c kuacha kazi kisa akae kuridhisha mwanamkee..
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Nina rafiki yangu ambae tumekuwa nae, tumesoma nae na kucheza nae toka utotoni. Homie huyu tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi ya kimaisha, mpaka kupelekea baadhi ya watu wasiotufahamu kuhisi kuwa sisi ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja.

Miaka miwili iliyopita rafiki yangu huyu akaamua atimize nguzo muhimu ya maisha kwa kuoa kabinti keupe na kazuri ka kirangi kutoka kondoa. Baada ya harusi maisha ya ndoa yakaanza kila mmoja wao akifurahia kuoa/kuolewa na mwenzake.

Rafiki yangu huyu ni dereva wa matraki makubwa yanayokwenda nje ya nchi, hivyo muda mwingi humkuta akiwa safarini, na anaporudi huwa ni mtu wa kuchoka choka na kulala lala muda wote. Kwa kipindi cha mwaka mmoja wao wa ndoa jamaa angu alikuwa anajitahidi kutimiza haki za mkewe kwa upande wa kodi ya meza, haki ya kitanda, tiba kwenye maradhi nk hivyo ndoa ilikuwa inakwenda vizuri tu.

Mwaka uliofuatia ambao ndio huu wa pili, hali imekuwa tofauti kwa rafiki yangu kurudi safarini akiwa amechoka sana na hivyo muda mwingine kushindwa kutimiza haki ya kitanda kwa ukamilifu wake. Kwa mujibu wa shemeji yangu, anadai yeye huwa anapenda mtu wa kuchukua angalau dakika 35 na kuendelea akiwa juu ya kifua. Na round takriban angalau ziwe 2 au tatu ndo atatosheka. Shemej anasema mwanzoni homeboy alikuwa anajitahidi kwenda sawa, lakini jinsi miezi na miaka sasa inavyokwenda ndo jinsi mwamba anavyozidi kupunguza speed aliyokuwa nayo mwanzo. Mara kabla ya kumaliza povu linamtoka na kuishia njiani bila kumaliza mechi. Mara akimaliza round 1 hawezi kurudia ya pili.

Hali iliendelea hivyo mara shem uzalendo ukamshinda akawa ananiletea kesi niongee na jamaa angu. Jamaa nikiongea nae ananambia anashindwa kukamilisha kile alichozoea kwa sababu ya mchoko wa kazi zake za safarini. So akawa anaomba amvumilie tu kila kitu kitakuwa sawa mbeleni.

Baada ya kuona hakuna mabadiliko ndo akaamua kuniambia kuwa atachukua hatua ambayo hatohitaji lawama, maana hatimiziwi vizuri haja zake. Au kama inawezekana basi niingilie kati kuokoa jahazi mapema kabla halijazama.

So wazee hapa nichukue uamuzi gani ili kusave tatizo la jamaa angu? Maana ni kama vile anahitaji mimi niwe namkaza sawa sawa ili kuziba pengo la mwanangu analoliacha kutokana na safari pamoja na mchoko wa safari kila anaporudi.
kaa tayari na uwe makini, kifo kipo mlangoni mwako. uzinzi haujawahi kumwacha mtu salama. usijesema hatukukuambia.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Nina rafiki yangu ambae tumekuwa nae, tumesoma nae na kucheza nae toka utotoni. Homie huyu tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi ya kimaisha, mpaka kupelekea baadhi ya watu wasiotufahamu kuhisi kuwa sisi ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja.

Miaka miwili iliyopita rafiki yangu huyu akaamua atimize nguzo muhimu ya maisha kwa kuoa kabinti keupe na kazuri ka kirangi kutoka kondoa. Baada ya harusi maisha ya ndoa yakaanza kila mmoja wao akifurahia kuoa/kuolewa na mwenzake.

Rafiki yangu huyu ni dereva wa matraki makubwa yanayokwenda nje ya nchi, hivyo muda mwingi humkuta akiwa safarini, na anaporudi huwa ni mtu wa kuchoka choka na kulala lala muda wote. Kwa kipindi cha mwaka mmoja wao wa ndoa jamaa angu alikuwa anajitahidi kutimiza haki za mkewe kwa upande wa kodi ya meza, haki ya kitanda, tiba kwenye maradhi nk hivyo ndoa ilikuwa inakwenda vizuri tu.

Mwaka uliofuatia ambao ndio huu wa pili, hali imekuwa tofauti kwa rafiki yangu kurudi safarini akiwa amechoka sana na hivyo muda mwingine kushindwa kutimiza haki ya kitanda kwa ukamilifu wake. Kwa mujibu wa shemeji yangu, anadai yeye huwa anapenda mtu wa kuchukua angalau dakika 35 na kuendelea akiwa juu ya kifua. Na round takriban angalau ziwe 2 au tatu ndo atatosheka. Shemej anasema mwanzoni homeboy alikuwa anajitahidi kwenda sawa, lakini jinsi miezi na miaka sasa inavyokwenda ndo jinsi mwamba anavyozidi kupunguza speed aliyokuwa nayo mwanzo. Mara kabla ya kumaliza povu linamtoka na kuishia njiani bila kumaliza mechi. Mara akimaliza round 1 hawezi kurudia ya pili.

Hali iliendelea hivyo mara shem uzalendo ukamshinda akawa ananiletea kesi niongee na jamaa angu. Jamaa nikiongea nae ananambia anashindwa kukamilisha kile alichozoea kwa sababu ya mchoko wa kazi zake za safarini. So akawa anaomba amvumilie tu kila kitu kitakuwa sawa mbeleni.

Baada ya kuona hakuna mabadiliko ndo akaamua kuniambia kuwa atachukua hatua ambayo hatohitaji lawama, maana hatimiziwi vizuri haja zake. Au kama inawezekana basi niingilie kati kuokoa jahazi mapema kabla halijazama.

So wazee hapa nichukue uamuzi gani ili kusave tatizo la jamaa angu? Maana ni kama vile anahitaji mimi niwe namkaza sawa sawa ili kuziba pengo la mwanangu analoliacha kutokana na safari pamoja na mchoko wa safari kila anaporudi.
Aisee
 
Hata wewe baada ya muda mfupi atakutangaza kwa mshkaji mwingine kwamba ni mchovu.

Huyo ni malay.a kwa asili anavyoonekana maana haiwezekani mke wa mtu anayejiheshimu akaenda kumueleza mambo ya ndani rafiki wa mumewe.
Ndomaana hata mimi mwenyewe nipo njiapanda. Najiuliza kwanini kesi zao za siri ananiletea mimi tu. Lengo lake nimle au nitatue tatizo.. yani simuelewi huyu binti wa kirangi.
 
Chai.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    38.6 KB · Views: 5
😂 😂 😂
Story umecopy hii Facebook na hiyo page picha yake ndio hiyo avatar yako, halafu kwanini mnapenda kuwachosha watu akili?
 
Back
Top Bottom