Shemeji yangu ni mchafu sana. Jana nilimtembelea akanialika chakula nikatapika mbele ya familia

Wewe una gubuu,

Unajiarika kwa watu alafu unakuja kutangaza hapa..

Uchafu wako ww anausemea Nani, na tuna uhakika gani kama haya unayoyasema uliyaona kama yalivyo.

Unayoyakuta kwa watu yaache palepale usiondoke nayo ndugu,

Eti anajikuna sehem yasiri ulikuwa unaangalia nn huko!?

Kwa haya matukio uliyataja hayawezi kufanywa na mtu mwenye akili timamu mbele ya watu.

Au mzee hujammaindi huyo demu kukaa na mshikaji wako!?

Angalia man, sio Kila unachokiona kwa watu yakupasa uchukue na useme.

Ulikuwa na haja gani yakula chakula na kujitapisha!?

Ungesema tu Asante, kama kweli umechafukwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole zako lakini ungeweza kuepuka kula kama ulishaona hali ya uchafu.
 
Hivi yule alieimba " hainaga ushemeji, tunakulaaaga' hainaga ushemeji tunakulaaaa " [emoji2960][emoji2960] yule hayupo kama wewe[emoji16] si eti ee![emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna makabila Yana Wanawake wavivu na wachafu sana aseeee
 
Siwezagi kula sehemu ambayo naona dalili za uchafu. Ikitokea nikaletewa chochote natafuta sababu:

1. Tangu niumwe vidonda ya tumbi vyakula vingi situmii, eg vyakula vyote vilivyoungwa sili nakula mchemusho.
2, kama ni chai, mimi situmii sukari, majani.
3. Nina diet ikishafika saa moja jion sili.

Ila sisi tuonajifanyaga wasafi tuna nyodo sana. Kila kitu kwangu nafanyaga mwenyewe siwezi kula katika mazingira machafu.
Ingawa hata huko hotelin majikon hatujui yanayo endelea ila sio uchafu wa wazi wazi.

Mleta mada siku nyingine ukienda kwa shem wako wewe mwambie una diet, salimia ondoka.
 
Tamaa zako zimekuponza. Ukiona hujaridhika na hali ya usafi usile hiyo sehemu.
 
Siwezagi kuishi na mtu mwenye kinyaa aisee.
wanakera sana kushangaa kila kitu unachokula na kupima usafi wake.

Na mbaya zaidi ndo wanaongoza kwa kuumwa matumbo kwa kula uchafu
 
Jinsia Yako tafadhari, yaani unatapika kisa Bata! Watu ugali anakula mbwa tunamfukuza tunaliendeleza alipoishia. Hivi unaweza Kula ugali na sondo(ng'oni ng'oni/ funza wa kwenye miti) wewe?
Ni ugumu wa maisha tu,haijakaa sawa
 
uchafu wa shemejio na wanaume kwenye ndoa wanavumilia mengi vina uhusiano gani? ila pia jifunze unapotembelea majumbani kwa watu uende mida ambayo watakuwa wamemaliza kula.
 
Aisee!Hivi huwa mnawezaje kutapika kwa urahisi kutokana na matukio madogomadogo hivyo?Pole sana.Kwa hiyo haukula tena?Cheki afya.Utakuwa na homa.
 
Nimecheka saana kusikia Bata kadokoa mboga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe nae c ungekaa sebuleni

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Hatujakaa sawa, bata wake akadokoa mboga kwenye sufuria, lakini kiumbe huyu wala hakujali, like nothing happened. Wakati wa msosi ulipofika nikakumbuka hayo matukio nikajikuta natapika, nikasingizia Malaria
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…