Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
sawa shepu inaweza kua nzuri ila sasa miyeyusho huwa yaliyomo dah! huwa inavunja moyo na kukaribisha majutroo kwa haraka sana π πKuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.View attachment 2900753
Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.
Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.
Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?
Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.
HAwa wacheza dubwi??Hivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! π«£
Ee ndyo ππHivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! π«£
ππππwatoke wapiHivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! π«£
sio magari tu hadi mahekalu na majumba ya kifahari sana πHivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! π«£
Hahahπππππππwatoke wapi
Kutokana na muonekano wake tu; tatizo la nguvu linakuwa halipo, kila dakika mnara uko juu.Hawanaga utamu wowote hawa, haujakutana na kina fatuma wewe.
Kama anakupa yote, na uwezo unao; inabidi tu kutimizaHuyo mzinga wake wa kwanza tu, atakuambia umnunulie Crown or Ist.
Wanakuwa na miyeyusho mingi kwa sababu soko lake liko juusawa shepu inaweza kua nzuri ila sasa miyeyusho huwa yaliyomo dah! huwa inavunja moyo na kukaribisha majutroo kwa haraka sana π π
Geita kuna nini mkuu?
Habari ya Geita ngosha?
[emoji16][emoji16]HAwa wacheza dubwi??
Ngoja waje watupe ushuhudaHivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! π«£
Inategemea wanawanunulia watu wa namna gani, au ndio kuingia chaka?sio magari tu hadi mahekalu na majumba ya kifahari sana π
Kuhonga mwanamke asiyekuwa na shepu hii, ni matumizi mabaya ya fedha.View attachment 2900753
Wengi wanajisifia kuhonga vipato vyao kwa wapenzi wao mbalimbali; wengine wanasema pesa ya mwanaume lazima itumiwe na mwanamke.
Na kwa sasa tunapokaribia siku ya wapendanao, wapo wanaume wameshaanza kupigwa mizinga ya hapa na pale.
Swali la kujiuliza, anayekupiga mzinga ana shepu ya namna gani?
Hii ndio shepu ya kupiga mizinga, kama hana muonekano huu vaa viatu ukimbie haraka.