mpaka umnunulie kwanza ndio sasa utajua na kufahamu vizuri kwamba hili ni chaka , chocho, cheche au pasua kichwa🐒Inategemea wanawanunulia watu wa namna gani, au ndio kuingia chaka?
Nakubaliana na wewe; ingawa muonekano kwanza ndio unaosisimua mwiliAlyways, kuku wa kienyeji ni bora for consumption
Haya nimewawekea pisi kali inayokubalika kimataifa, jitahidini muwahonge wa namna hiyo.mpaka umnunulie kwanza ndio sasa utajua na kufahamu vizuri kwamba hili ni chaka , chocho, cheche au pasua kichwa🐒
bila hivyo ni ngumu kujua...
Biashara ya mapenzi ni ngumu sana ndrugo zango 🐒
Vuta picha mmesimama wote huku umekamatia hicho kiunoKuna style ukimuweka hiyo shape yote inapotea still utaiona kama ya Mwajuma uliyemuacha hapo Tandale.
Binadamu kulidhika ndio mwisho usio fikwa
🤣🤣🤣Yaani nimecheka ilihali sijui hata "dubwi" ni kitu gani?HAwa wacheza dubwi??
Kuna sehemu ukiingia, unatamani kila siku uwe nayeBinadamu kulidhika ndio mwisho usio fikwa
Kuoa ni mada pana sana, ukioa pisi kali ni kuongeza msongo wa mawazo huko mbeleni.Ndugu Zangu Oeni Elimu Ni Bure
Mhhh Utakuwa una ota🤔😂Hivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! 🫣
Wasiokuwa na hiyo shepu, inabidi kupeana tu bila kuhongana 😀Tunanyanyasika sana, lazima tufikishe malalamiko yetu kwa Katibu
Kwa nini isiwe ya kizaramo?thread za kisukuma..
Nakubaliana na wewe; ingawa muonekano kwanza ndio unaosisimua mwili
Haiwezekani. Umnunulie dem Gari halafu awe anatembea nalo na boyfriend yake anayempenda kwa dhati?Hivi humu JF ni kweli watu wananunulia mademu magari?! 🫣