Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Sherehe ya Mwaka Mpya ni ya Kikristo, Waislamu tumeivamia tu bila kujua

Mkuu una cheti cha kuzaliwa?
Kama unacho kinaonesha mwaka gani ?
Inatakiwa hata vyeti vya kuzaliwa vyenye miezi na miaka ya vipagani tuvikatae
Kabla hujaniuliza kuhusu cheti cha kuzaliwa unapaswa kuniuliza kwanza, kuwa na cheti cha kuzaliwa ni ibada au ni taratibu za kinchi? ukipata jibu njoo niulize tena.
 
IMG-20230102-WA0015.jpg
 
Unavuka kwenda wapi na kalendar haikuhusu,hizi kalendar ni vitu vya kubuni,wachina wana calendar yao inaanza mwezi wa pili,waarabu wanayao ila zimeouuzwa na ulimwengu
Huko mbali mkuu Ethiopia tu hapo wana kalenda yao.
 
Dah! Kwa mtazamo wangu ulichokifanya ni sahihi ila 50/50 kumfananisha binadamu na mnyama huo ni ubaguzi (racism) hata wewe hutajisikia poa mtu wa race nyingine akufananishe na mnyama.

Wewe umekosewa na mwarabu mmoja ila wewe umewakosea waarabu wote.
Ungemkata vibao vya uso chap halafu ungemchana aache ujinga.
Sijawahi kujali, maoni yako ishi nayo hayanisaidii mimi
 
Hata kama siwezi kuitenganisha na kuzaliwa kwa Yesu lakini kuzaliwa huko ni historia tu ambayo mimi hainisaidii kitu katika matumizi yangu ya hiyo kalenda, hiyo kalenda inanisaidia kujua nyakati mbalimbali, kwa ugunduzi huo wa kalenda inayosaidia watu huyo Papa siku ya Qiyama Mungu atamlipa ujira wake.

mungu huyu wa waarabu au mungu gani
 
Sawa, usahihi ni kwamba utume ulishakoma zaidi ya miaka 1000 iliyopita sasa hivi tunasubiri siku ya qiyama tu.

Hao mitume wa kupokea sadaka za kujimaliza kazi mnayo ninyi.

"Hakuwa muhammad ni baba wa yeyote katika wanaume wenu, lakini ni mjumbe wa allah na wa mwisho katika manabii, na daima amekuwa allah ni mjuzi wa kila kitu.."

quran 33:40

Ndio mlovyodanganywa nanyi mkaamini hizo porojo?
 
Tatizo islamic wengi wana misimamo ya kifamba sana, nakumbuka wakati niko sec tulisoma na waarabu, sasa kuna mwarabu mmoja alinishika kama kunitomasa(siwapendagi hawa binadamu), nakumbuka nilimwambia we na nywele kama nguruwe unikome kabisa,, he he he he heeeeee kulikuwa na wadada waafrika wenzangu ila waislam walinishukia km mwewe eti niombe samahani niliwaambia kateni shingo yangu mtupe siombi msamaha na nikasisitiza anafanana na nguruwe kabisaaa kuanzia macho sura na nywele,, wakanitishia kunisomea albadiri nikawaambia wakasome ila kabla haijafika kwangu itaanzia kwao wakaufyata na sikuwahi kuelewana nao mpaka tunamaliza shule,
Vimisimamo vya kisenge kisenge ushari na ubaguzi tu

Wengi wao wapuuzi
 
Ndio mlovyodanganywa nanyi mkaamini hizo porojo?
Waambie: ikiwa mimi nimepotea, basi nimepotea kwa kuidhuru nafsi yangu mwenyewe na nikiongoka basi ni kwa sababu ya kunifunulia mola wangu mlezi, hakika yeye ni mwenye kusikia, aliye karibu.."

Quran 34:50
 
Utasherehekea vipi kitu bila kujua asili yake,jifunze udadisi na kuhoji sio kufuata mkumbo
Unaongea haya wakati ww mwenyewe tarehe yako ya kuzaliwa unaiandika kwa kalenda hii hii. Acha unafki na udini wa kipumbavu. Elimika alafu mwaka mpya sio sikukuu ni Mwaka Mpya kama vile ww ukinunua TV mpya jioni ukoo wako wote unakaa kuangalia TV na mwaka mpya watu husubiri hivohivo maana maisha ni mafupi unaeza kufa dakika 3 kabla so ni jambo la kufurahi na kumshukuru Mungu
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?

hakuna muislamu alioivamia sikukuu ya mwaka mpya wala hana habari nayo walioivamia ni waislamu jina waislamu mwaposa au waislamu bakwata,
 
sherehe zozote za kikiristo zimepwaya hazina mvuto utafikiri msiba ngoja uone ramadhani ulimwengu unarindima ngoja uone eid zote nchi nzima furaha huku na kule
 
Huko mbali mkuu Ethiopia tu hapo wana kalenda yao.
Mkuu hizo zote siyo widely accepted uwe una elewa. Shi ji ping Rais wa china juzi alikuwa akihutubia katika hotuba ya kuukaribisha mwaka wa 2023 so hata wachina wanatumia Gregorian calendar. Hiyo kalenda Yao ni traditional but not official
 
sherehe zozote za kikiristo zimepwaya hazina mvuto utafikiri msiba ngoja uone ramadhani ulimwengu unarindima ngoja uone eid zote nchi nzima furaha huku na kule

Unauhakika mkuu au kwakuwa unaishi zenji ndio unaamini dunia nzima iko hivyo?

Vipi huwa mnakesha na kulipua ma fataki kama mwaka mpya ama kuweka maua na taa za kuwaka kama xmas?

Nachokijua mwezi wa ramazani ukifika wavaa kobazi waananza kulia maisha magumu serikali iwasaidie wafanyabiashara wapunguze bei za vyakula ili wasife njaa kipindi cha mfungo.
 
Unaongea haya wakati ww mwenyewe tarehe yako ya kuzaliwa unaiandika kwa kalenda hii hii. Acha unafki na udini wa kipumbavu. Elimika alafu mwaka mpya sio sikukuu ni Mwaka Mpya kama vile ww ukinunua TV mpya jioni ukoo wako wote unakaa kuangalia TV na mwaka mpya watu husubiri hivohivo maana maisha ni mafupi unaeza kufa dakika 3 kabla so ni jambo la kufurahi na kumshukuru Mungu
Sio sikukuu kivipi ba wakati hatuendi makazini,ficha ujinga wako
 
sherehe zozote za kikiristo zimepwaya hazina mvuto utafikiri msiba ngoja uone ramadhani ulimwengu unarindima ngoja uone eid zote nchi nzima furaha huku na kule
Xmas italy ikoje
 
Hii kalenda tunayotumia,Gregorian Calendar ilikuja baada ya Julian Calendar, zote zina uhusiano na Issa ndio maana utakuta maneno kama AD au BC yote yanamrefer Nabii Issa.

Sasa sisi Waislam imekuwaje hatulijui hili au kufuata mkumbo? au ndio dunia inaongozwa na mfumo Kristo?
Dooh! Tafuta dunia yako afu tumia hiyo calender unayo taka
 
Back
Top Bottom